TANESCO Mwanza, kuna mgao rasmi unaendelea?

TANESCO Mwanza, kuna mgao rasmi unaendelea?

Na huku Mbeya wanamsaliti nani, make nako ni hivyo hivyo, kila siku kuanzia saa moja hakuna umeme, hata sasa maeneo yote ya nane nane, ilomba n.k hakuna umeme na ni wiki sasa inakuwa hivyo kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huko Mwanza ndiko wamejitanabahisha kuwa ni kipenzi Cha Rais wa wanyonge kwamba ndio waliompa kura nyingi
 
sio huko hata kahama toka saa moja hakuna mpaka hivi sasa...na imekuwa kawaida kama siku nne leo mfululizo
Nipo jiji la Mwanza kikazi, na nimefikia Nyasaka kwenye hoteli/guest maeneo ya Bundesliga.

Kila siku saa moja mpaka saa tatu au tano usiku, umeme umekuwa unakatika, bila taarifa wala maelezo.

Huu upumbavu tulikuwa tunauona kipindi cha Kikwete, lakini naona sasa imekuwa too much.

Hawa jamaa hawatoi taarifa wala habari. Wapo wapo tu kama vile wapo.

Wanaweza wakawa wakaeleza kinachoendelea?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona kila ikifika saa 10 jioni wanakata umeme na wakikata na unaweza usirudi mpaka siku inayofata. Nakumbuka zamani walikuwa na utaratibu wa kutuhabarisha kuwa sasa kuna mgao lkn sikuizi sisikii tena sijui wanakwama sikuizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona kila ikifika saa 10 jioni wanakata umeme na wakikata na unaweza usirudi mpaka siku inayofata. Nakumbuka zamani walikuwa na utaratibu wa kutuhabarisha kuwa sasa kuna mgao lkn sikuizi sisikii tena sijui wanakwama sikuizi

Sent using Jamii Forums mobile app
Sengerema huko kila baada ya dk kadhaa unaka mara una rudi na wala hakuna tamko lolote.
 
Naona kila ikifika saa 10 jioni wanakata umeme na wakikata na unaweza usirudi mpaka siku inayofata. Nakumbuka zamani walikuwa na utaratibu wa kutuhabarisha kuwa sasa kuna mgao lkn sikuizi sisikii tena sijui wanakwama sikuizi

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani haya mafanyakazi ya hiyo idara ya giza sijui ni machawi?
Taarifa tu jamani msemaji anakuwa bubu ghafla.
Mgao umeanza ila hawataki kusema!
 
Hayo yanayotokea Mwanza yanatokea Tanga pia, kila siku umeme unakatika kuanzia saa 1 mpaka saa 3, leo umekatika siku nzima.

Asubuhi nimewaona afisa uhusiano wanasema hakuna mgao, kuna matengenezo.

Hali ni mbaya lakini hawaruhusiwi kutumia neno MGAO, ukilitumia utatumbuliwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muda huu pia hakuna umeme....tangu asubuhi mpaka sasa umeme umekatika mara kibao yaani....kila baada ya muda mchache umeme unakata.....yaan ni shida tuu.....ni jipu kabisa hili...
 
Tanesco mna majibu mepesi sana...hata mtoto mdogo hawezi jibu hivi. ..Utoaji taarifa wa kipi kinaendelea hadi umeme ukatike n moja ya majukum yenu.....Sio mnakuja humu mnaanza kutuomba namba vipi mnataka kuanzisha group la whatsapp au

KUWENI SERIOUS NA KAZI ZENU
 
Hivi nyie Tanesco inakuwaje huduma nzenu mbovu kiasi hiki? Wateja mnao wa uhakika na hamna ushindani mnashindwa vipi kutoa huduma nzuri?
Kila siku huku Kwimba mnatukatia umeme na mikoani mingine naambiwa umeme unakatika katika
 
Muda huu pia hakuna umeme....tangu asubuhi mpaka sasa umeme umekatika mara kibao yaani....kila baada ya muda mchache umeme unakata.....yaan ni shida tuu.....ni jipu kabisa hili...
Maboss wa TANESCO wajitathmini kama bado wanafaa kuendelea na nafasi zao
 
Back
Top Bottom