Leo usiku mzima mkoa wote wa Mwanza hauna umeme. Tangia saa 12 jioni. Na hakuna taarifa yo yote. Huyu meneja atumbuliwe haraka. Huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu anataka wana mkoa wa Mwanza wamchukie kipenzi wao.
Mkuu tatizo hili haliko Mwanza tu,lipo hata mkoa wa Morogoro.Umeme umekuwa ukikatika Morogoro kati ya saa 10 jioni na saa 12,tena bila taarifa.No,TANESCO ipo shida.Meneja wa Tanesco Mkoa wa Mwanza, acha mambo yako, hii ni wiki ya pili sasa kila ilifika saa moja jioni umeme unakatika.
Tatizo hili sasa limekuwa ni "sugu" kwa muda wa wiki mbili na pindi mnapokata umeme taarifa rasmi haitolewi.
Idara ya Mawasiliano na uhusiano inafanya kazi gani? Kwanini hawatoi taarifa? au kazi yao ni ipi hapo ofisini?
Najiuliza kwanini umeme unakatika muda huu wa saa moja kila siku? kama ni matengenezo yanafanyika taarifa ni muhimu kwetu sisi ambao muda huu tunategemea umeme kufanya shughuli zetu.
Lakini kuna taarifa zinaeleza kwamba meneja huyu kaja na mpango wake wakutaka kumfelisha Rais wetu (John Magufuli) katika mkoa huu.
Hivyo kutokana na hali hii, vyombo husika angalieni huyu mtu na watu wake waliomzunguka asije akafanya mambo mabaya zaidi ya hili analojaribu kulufanya.
Charles Charles
Jana tarehe 16/3/2020 muda wa saa 130 usiku ghafla umeme ulikatika hapa Mwanza. Umeme umerudi mnamo saa 1.40 leo asubuhi tarehe 17/3/2020. Ni vema tukaelezwa sababu za kukatika kwa umeme usiku mzima.
Pole sana mpendwa mteja wetuMeneja wa Tanesco Mkoa wa Mwanza, acha mambo yako, hii ni wiki ya pili sasa kila ilifika saa moja jioni umeme unakatika.
Tatizo hili sasa limekuwa ni "sugu" kwa muda wa wiki mbili na pindi mnapokata umeme taarifa rasmi haitolewi.
Idara ya Mawasiliano na uhusiano inafanya kazi gani? Kwanini hawatoi taarifa? au kazi yao ni ipi hapo ofisini?
Najiuliza kwanini umeme unakatika muda huu wa saa moja kila siku? kama ni matengenezo yanafanyika taarifa ni muhimu kwetu sisi ambao muda huu tunategemea umeme kufanya shughuli zetu.
Lakini kuna taarifa zinaeleza kwamba meneja huyu kaja na mpango wake wakutaka kumfelisha Rais wetu (John Magufuli) katika mkoa huu.
Hivyo kutokana na hali hii, vyombo husika angalieni huyu mtu na watu wake waliomzunguka asije akafanya mambo mabaya zaidi ya hili analojaribu kulufanya.
Charles Charles
Eneo gani na namba yako ya simu mpendwa mteja wetuTanesco wana boa sana sio uko tu hata sisi uku Dodoma ikifika mida ya saa kumi jioni hasa muda wa kutazama mpira huwa wanakata,
Najiuliza kwa hii kata kata ya umeme kweli tutafika kwenye uchumi wa viwanda.
Tunashukuru kwa taarifa tafadhali tusaidie namba yako ya simu kwa hatua zaidiNipo jiji la Mwanza kikazi, na nimefikia Nyasaka kwenye hoteli/guest maeneo ya Bundesliga.
Kila siku saa moja mpaka saa tatu au tano usiku, umeme umekuwa unakatika, bila taarifa wala maelezo.
Huu upumbavu tulikuwa tunauona kipindi cha Kikwete, lakini naona sasa imekuwa too much.
Hawa jamaa hawatoi taarifa wala habari. Wapo wapo tu kama vile wapo.
Wanaweza wakawa wakaeleza kinachoendelea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Juzi walikata saa moja usiku ukarudi saa moja asubuhi, ni zaidi ya kero bado saa sita mchana wakakata mpaka saa kumi ndio ukarudi tenaTulia huyu ndugu yako amekuwa ni mzigo, kwanini kila siku saa moja umeme ukatwe? hakna majungu, yeye afanye majukumu yake aone kama ataguswa. Sisi tunataka umeme hayo mengine atafahamu yeye na ndugu zake.
Je ulitoa taarifa ofisi yetu ya Mwanza? Tunakusihi unapopata hitilafu tupigie simu au pitia TANESCO APP au mitandao yetu ya kijamii kwa kuonyesha taarifa kamili za eneo simu wilaya na tatizoLeo usiku mzima mkoa wote wa Mwanza hauna umeme. Tangia saa 12 jioni. Na hakuna taarifa yo yote. Huyu meneja atumbuliwe haraka. Huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu anataka wana mkoa wa Mwanza wamchukie kipenzi wao.
Yaani karibu mji mzima umeme unakatika Tanesco inakuwa haina habari hadi ipigiwe simu na individuals? Lazima kutakuwa na kitu hakijakaa vizuri kimfumo.Je ulitoa taarifa ofisi yetu ya Mwanza? Tunakusihi unapopata hitilafu tupigie simu au pitia TANESCO APP au mitandao yetu ya kijamii kwa kuonyesha taarifa kamili za eneo simu wilaya na tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza mvua zinazoendelea mnazionaYaani karibu mji mzima umeme unakatika Tanesco inakuwa haina habari hadi ipigiwe simu na individuals? Lazima kutakuwa na kitu hakijakaa vizuri kimfumo.
Tatizo hata mkipewa namba za simu hazitawasaidia isitoshe ni ishu inayowaadhiri watu wengi si individual issue kusolve so nice kweli kata yetu ya Nyasaka centre ikifika saa 12 jioni umeme unakatika kurudi ni asubuhi saa 1 au pia tunatoka majumbani kwa tochi kama vile mnatupimia umeme huu ni upuuzi mnafanya utafikiri tunatumia umeme wa jenereta kumbe Hydro inaonyesha umeme wa bwala la nyerere ukikamilika mtaendelea kuhujumu jitihada za Mheshimiwa.....Tunashukuru kwa taarifa tafadhali tusaidie namba yako ya simu kwa hatua zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninaweza kuamini unayosema hapa.Kifupi nikwamba Tanesco MWANZA iliharibika, kunawatu wamekaa hapo miaka nenda rudi kiasi cha kujiona wao ndo MWANZA
Hata mama alitolewa Kwa kigezo kuwa mkoa umemshinda lkn kiukweli alikuwa anahujumiwa ila hakuwa Na uwezo wakubana watu wake.
Huyu bwana namjua tangia akiwa Ruvuma kwenye Umeme wa mtoni huko Mbinga! Huyo Jamaa yupo vizuri ktk Kazi nanimfuatiriaji mzuri ktk Kazi zawatu wa chini yke.
Nahisi atakuwa amewabana kisawasawa Sasa wanataka kumchafua
Eti kumharibia magufuri MWANZA kwani wanataka uraisi?
Ana ndg yke anagombea uraisi?
Naona mmeanza majungu ili awaogope! Maneger chapa Kazi! Tunawajua wte hao walionyuma yko kutaka uharibikiwe Kazi.
Nitamwandikia mwinuka nimwekeze kila kitu! Chunga sana sukumaland hapo Mkuu.
Tatizo ni la meneja.Maeneo yote ya Nyasaka, Maduka 9,Mecco Nyakato, Kangae kila siku ikifika saa moja usiku umeme unakatika, hatujawahi ambiwa sababu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa lakini kwa nini msitoe taarifa kwa wateja wenu? Mbona zamani mlikuwa mnatoa taarifa? Au siku hizi huyo afisa mahusiano anafanya kazi gani?Kwanza mvua zinazoendelea mnaziona
Pili miundombinu ya tanesco nichakavu kipindi hiki nguzo zinaanguka line zinakatika nadhani ni kuwapa mda wakafuatiria meneja nae anaishi mwanza na watumishi wote wa tanesco wanaishi mwanza cdhani kama watajiweka nawao gizani huyu meneja nimpiga kazi na anajiwa wajibu wake
Sent using Jamii Forums mobile app