TANAPA wametuma taarifa za usahili, angalieni email zenu

TANAPA wametuma taarifa za usahili, angalieni email zenu

Ni zaidi ya 4 Months. Au wewe ndo umeiona leo iyo email?? Heb check tarehe
Habari wana jukwaa! kwa wale waliofanya usaili wa kazi kama zilivyotangazwa na mamlaka ya hifadhi ya wanyamapori Tz (TANAPA) miezi kadhaa iliyopita angalieni barua pepe zenu wametuma ujumbe.
 
Habari wana jukwaa! kwa wale waliofanya usaili wa kazi kama zilivyotangazwa na mamlaka ya hifadhi ya wanyamapori Tz (TANAPA) miezi kadhaa iliyopita angalieni barua pepe zenu wametuma ujumbe.
mhh mbona hueleweki
 
Ndo wameitwa kuwasili mwezi ujao 13 Nov hapo kazi mpka Dec. Ni December to December. Hizi kazi zilitangaz wa December 2017 kazini wanaenda December 2018 zaidi ya recruitment ya TISS
hahaaa,kwahyo hicho kipindi chote hapo kati ulikua ni mchakato tuu a year aisee,hongera zao lkn kwa waliopata
 
Habari wana jukwaa! kwa wale waliofanya usaili wa kazi kama zilivyotangazwa na mamlaka ya hifadhi ya wanyamapori Tz (TANAPA) miezi kadhaa iliyopita angalieni barua pepe zenu wametuma ujumbe.
Hivi TNPSS E ni sh ngap Jaman?
 
Habari wana jukwaa! kwa wale waliofanya usaili wa kazi kama zilivyotangazwa na mamlaka ya hifadhi ya wanyamapori Tz (TANAPA) miezi kadhaa iliyopita angalieni barua pepe zenu wametuma ujumbe.
Mkuu mbona tuliambiwa hata wale ambao hatujaitwa tutatumiwa emeil za kutaatifiwa kuwa hatukufanikiwa lakini naona kimyaa au watatuita kwa phase nyingine?Nimeshangaa hata aliyepata marks za chini yangu kaitwa ila mimi kimyaaa nimepekua mpaka kwenye sperm huko kwenye emil hakuna daaah any ways hongereni mliopata Mungu akawatangulie Mascretary wenzangu.
 
Mkuu mbona tuliambiwa hata wale ambao hatujaitwa tutatumiwa emeil za kutaatifiwa kuwa hatukufanikiwa lakini naona kimyaa au watatuita kwa phase nyingine?Nimeshangaa hata aliyepata marks za chini yangu kaitwa ila mimi kimyaaa nimepekua mpaka kwenye sperm huko kwenye emil hakuna daaah any ways hongereni mliopata Mungu akawatangulie Mascretary wenzangu.
relax tu ndo phase za maisha ,,,, hata mimi sikutumiwa ila wenzangu ndo waliopata hizo email kikubwa tuwatakie kila la heri
 
relax tu ndo phase za maisha ,,,, hata mimi sikutumiwa ila wenzangu ndo waliopata hizo email kikubwa tuwatakie kila la heri
Sawa sawa Mkuu ila kuna mdau alisema TANAPA wanapanua Mbuga zaidi yani wanageuza mapori kua hifadhi na hivyo idadi ya kila kada itaongezeka nakumbuka alisema hifadhi Tano zinaongezwa labda badae tutaitwa mkuu Tumuombe Mungu labda wametuweka kwenye database
 
Mkuu mbona tuliambiwa hata wale ambao hatujaitwa tutatumiwa emeil za kutaatifiwa kuwa hatukufanikiwa lakini naona kimyaa au watatuita kwa phase nyingine?Nimeshangaa hata aliyepata marks za chini yangu kaitwa ila mimi kimyaaa nimepekua mpaka kwenye sperm huko kwenye emil hakuna daaah any ways hongereni mliopata Mungu akawatangulie Mascretary wenzangu.
Kiongozi hizo marks mnazingalia wapi ?
 
Watu wa fani gani walioitwa?Maana zilikua fani tofauti sidhani kama wameita fani zote kwa pamoja.
 
Back
Top Bottom