beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
TAMWA husisitiza ushirikishaji wa wanaume na vijana katika mapambano ya kumaliza ukatili wa kijinsia. Ni vyema wadau wanaotoa semina juu ya elimu ya ukatilikuzingatia maudhurio ya wanaume na wanawake.
Wanaposhirikishwa, inawapa mwanga kujua madhara ya vitendo vya kikatili na hivyo kuwawezesha kutumia njia mbadala kutatua changamoto na jinsia nyingine.
Ili mapambano ya ukatili wa kijinsia yafanikiwe,yanahitaji muungano wa juhudi za makundi yote katika Jamii bila kuacha kundi lolote nyuma.
Wanaposhirikishwa, inawapa mwanga kujua madhara ya vitendo vya kikatili na hivyo kuwawezesha kutumia njia mbadala kutatua changamoto na jinsia nyingine.
Ili mapambano ya ukatili wa kijinsia yafanikiwe,yanahitaji muungano wa juhudi za makundi yote katika Jamii bila kuacha kundi lolote nyuma.