TAMWA yasisitiza ushirikishwaji wa Wanaume katika mapambano dhidi ya Ukatili wa Kijinsia

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
TAMWA husisitiza ushirikishaji wa wanaume na vijana katika mapambano ya kumaliza ukatili wa kijinsia. Ni vyema wadau wanaotoa semina juu ya elimu ya ukatilikuzingatia maudhurio ya wanaume na wanawake.

Wanaposhirikishwa, inawapa mwanga kujua madhara ya vitendo vya kikatili na hivyo kuwawezesha kutumia njia mbadala kutatua changamoto na jinsia nyingine.

Ili mapambano ya ukatili wa kijinsia yafanikiwe,yanahitaji muungano wa juhudi za makundi yote katika Jamii bila kuacha kundi lolote nyuma.
 
TAMWA husisitiza ushirikishaji wa wanaume na vijana katika mapambano ya kumaliza ukatili wa kijinsia. Ni vyema wadau wanaotoa semina juu ya elimu ya ukatilikuzingatia maudhurio ya wanaume na wanawake.

Wanaposhirikishwa, inawapa mwanga kujua madhara ya vitendo vya kikatili na hivyo kuwawezesha kutumia njia mbadala kutatua changamoto na jinsia nyingine.

Ili mapambano ya ukatili wa kijinsia yafanikiwe,yanahitaji muungano wa juhudi za makundi yote katika Jamii bila kuacha kundi lolote nyuma.
supported japo kibongobongo ukatili wa kijinsia huonekana kwa mwanamke tu kushambuliwa na mwanaume
 
Back
Top Bottom