Nakubaliana na wewe 100%, hii ni janja ya nyani, siwaamini CCM na matawi yao hata siku moja, SIDANGANYIKI!Ila wanajamvi tuwe makini sana na hawa jamaa, bado siamini kama kweli wapo kwa ajili ya ukombozi wa kweli.... Nahisi baada ya kuona vijana wamechoshwa na mizengwe ya chama chao sasa wanatumia janja hiyo kuteka akili zao.... tuwe makini sana, tusijejikuta tumetegeka kwa mitego ya kipuuzi na baadae kuja kujilaumu :amen:
kwa hiyo unasema UVCCM wala CCM hawastahili kusema serikali isiilipe DOWANS? nani anayestahili sasa?
Umekazania CCM wamesema wasiilipe Dowans wakati Dowans ni JK ambaye ni mwenyekiti wa CCM unaakili kweli, ni sawa na kutuambia CCM imesema isiilipe CCM kama huo si unafiki ni nini, kama wamedhamilia kweli watuambie nani mmiliki wa Dowans na si kuja na matamko ya kinafiki.kwa hiyo unasema UVCCM wala CCM hawastahili kusema serikali isiilipe DOWANS? nani anayestahili sasa?
Achana na mimi hujui siasa zinavyokwenda ukirushiwa madongo unakimbilia kulia lia kwa kina Invisible kuwa unatukanwa tuache sisi tuliozoea kurushiwa madongo, mtu akininyea mbovu mimi namharishia kichwani haendi mtu kwa mods.Quinine na yeye!!!!
Wakuu mnaweza msiamini kile ninachokipost hapa sasa hivi, lakini ukweli kwa mara ya kwanza leo UVCCM Taifa wametoa tamko zito lililosomwa na katibu mkuu wa taifa ndugu Shigela wameonesha wazi kuchoshwa na ccm na leo ndio wametaja kazi za uvccm ni nini, wamempa angalizo kali JK kwamba hawawezi tena kuvumilia kuangalia nchi inavyozidi kuangamia, na wamesisitiza kimya chao kilikuwa kina maana ya NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK. kwahiyo wamesisitiza hawajakurupuka.
Najitahidi kulipata hilo tamko niliweke hapa jamvini maana ndio limetoka kusomwa jioni hii.
My take: sasa naona ukombozi wa kuirudisha nchi yetu mikononi mwetu upo karibu kuliko vile nilivyotarajia.
Achana na mimi hujui siasa zinavyokwenda ukirushiwa madongo unakimbilia kulia lia kwa kina Invisible kuwa unatukanwa tuache sisi tuliozoea kurushiwa madongo, mtu akininyea mbovu mimi namharishia kichwani haendi mtu kwa mods.
Nijuavyo mimi UVCCM inandeshwa kwa remoti na RIZ 1 kweli na yeye kausishwa ,au ndo tunapigwa changa la macho...?