Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Kila mtu anataka changes hatujali zinaletwa na nani lakini si kwa unafiki kama huu tunataka mtu akisema anataka change ionekane inatoka moyoni, mifano ya matamko ya kinafiki ipo mingi kama wale wabunge wa CCM waliokuwa wanajiita wapiganaji kumbe walikuwa wanapigania matumbo yao huo ndio unafiki tusioutaka.
kwa hiyo wewe unafiki wa UVCCM kwenye hili unaupima kwa lipi? kipimo gani kinatumika kuangalia mioyo ya watu? na chakushangaza hata hilo tamko hujaliona!!!!