Tamko la UVCCM Arusha juu ya Husein Bashe na Lema

Tamko la UVCCM Arusha juu ya Husein Bashe na Lema

Mulugo kakununulia mchemsho au kakupa ile ya kuchoma pale mianzini? Amelikoroga best, hata mjitahidi vipi c imekula kwenu. Mwambie akadai kipaza sauti apite nacho mtaani.
 
Afisa habari hajui kuandika, alipewaje huu uafisa habari jamani. Taarifa kwa umma utazani anaongea na mkewe jikoni, Duh kweli ccm hamna kitu.

Hao wananchi wa Arusha walio pamoja na ccm wako upande gani huko Arusha jamani kama sio uongo ama ndoto za mchana kweupe.
Nyie semeni ukweli tu kuwa mnaendelea kubuni mipango yenu ya wizi wa kura na sio vinginevyo, na kwa kata nne mtazibitiwa tu maana mmebakia na huyo Mulongo wenu, RPC, RCO na baadhi ya Polisi wapuuzi wachache.

Hakika kazi mnayo
 
KI ukweli wana JF, shule za kata zimeleta tatizo sana hapa Tanzania, hizi sera za CCM za kukurupuka ni za kipuuzi sana, ona sasa matamko yanayotolewa na UVCCM Arusha, hayana kichwa wala miguu!
 
Mbona haihitaji akili kuujua ukweli? mlikuwa wapi siku zote hizo ndio mje leo? imekula kwenu
 
Hizo ndio products za shule za kata, hao ndio akina Lusinde wa miaka ijayo.

Computer yake sijui alitumia typewriter haina punctuation marks.

Halafu usiseme vijana wa Arusha, sema vigamba vidogo vya arusha.

Mkuu ccm ya arusha ina akili za ki mulongo mulongo.
 
Samahani wewe ni msemaji wa RC au polisi????????
yaelekea si akili za darasani wala za kuzaliwa ZINAKUPA USHIRIKIANO
 
Rest In Peace CCM Arusha. Sidhani kama huyo kiongozi alitafakari kabla ya kupost huu u.pupu
 
umejieeza sana kwa kujichanganya, pima kwanza walengwa ukichukulia teyari wameshafikiwa na habari picha.
 
Vijana wa arusha wanaompenda Mulongo Magessa ni kina nani hao.....embu jitokezeni humu tuwaone ili huyu alopost hii thread ajue anachofanya...
 
muandishi wa tamko hili la uvccm hajatulia ,kimsingi kama unaona uwepo wa lema pale uhasibu ulikuwa ni kinyume na 7/65+7ar/atibu tunaamini pia hata uwepo wa mulongo ulikuwa batili ,hakukuwa na haja ya kuagiza vipaza sauti kwa ajili ya nini , na kama tatizo ni sauti yake mulongo aliteuliwa kwa vigezo gani ,amekosa sifa ya kuwa kiongozi na ukweli unabaki pale pale .na endapo mtaendelea kumbeba kwa staili hii ya uvccm tamko hamfiki mbali ,huyu anastahili adhabu na si matamko kumbuka chuo kimefungwa ,wanafunzi wamepigwa ndani ya fensi na sio nje ya fensi polisi wameiba vitu vyao haoni gharama inayoambatana na vitu hivyo ambavyo kimsingi ilitakiwa busara kidogotu .
 
Nilisoma nikitegemea kuna habari huko mbele, heh ghafla nikafika mwisho. No no no, nadhani huu ulikuwa utangulizi tu labda tamko litafuata baadae
 
  • Thanks
Reactions: Pai
Tamko la Said.A.Said Hahahaha. Niki comment ntahudhi watu.haya shekhe tumekuelewa
 
Tamko la Said.A.Said Hahahaha. Niki comment ntahudhi watu.haya shekhe tumekuelewa
 
Nimecheka sana, natarajia muda wowote huyo "Afisa Habari" akanushe hili sio tamko lake vinginevyo ni aibu kama kweli limeandikwa na "Afisa habari" tena wa ARUSHA, mji wa kimataifa!
 
Inaonekana huyo afisa wa habari UVCCM alikuwa anatumia Dragon NatutallySpeaking (Speech Recognition Software), ambayo hata ilikuwa haijui ni wapi iweke panctuations. Hongereni kwa kupunguza kazi ya ku-type ila mtaongeza kazi ya kuipitia tena kbla hamjairusha kwenye media (Ruka mkojo unakanyaga kinyesi)
 
Hizo ndio products za shule za kata, hao ndio akina Lusinde wa miaka ijayo.
Computer yake sijui alitumia typewriter haina punctuation marks.
Halafu usiseme vijana wa Arusha, sema vigamba vidogo vya arusha.

Usimlaumu, katumia kompyuta ila kulikuwa na wenzake pembeni wakimwomba amalize haraka kwani wanachelewa kujibu sms na jua likizama watapeleka nini kwa bosi wao?
 
Back
Top Bottom