Kwa iyo walitaka Lema aende ofisini aka-sign kitabu cha wageni, wakati tayari kuna vurugu sio?
Je mkuu wa mkoa alisomewa taarifa na kusaini kitabu cha wageni kabla ya kuomba kipaza sauti?
Walioandika hiyo taarifa wamesukumwa na hofu tu, hawajui wakikaa kimya kutatokea nini.wanatumiwa tu kama mpira wa kivulanaKwa iyo walitaka Lema aende ofisini aka-sign kitabu cha wageni, wakati tayari kuna vurugu sio?
Je mkuu wa mkoa alisomewa taarifa na kusaini kitabu cha wageni kabla ya kuomba kipaza sauti?
Eti.... Arusha kushindwa umesikia mitandanoni... KWANI WEWE UNAJITETEA WAPI? KAMA SI MITANDAONI? Mtahangaika sana mwaka huu