Tamko la UVCCM Arusha juu ya Husein Bashe na Lema

Tamko la UVCCM Arusha juu ya Husein Bashe na Lema

Wanaridhika na uongozi wa bosi wao? Wanaridhika kwamba yupo yupo tu huku wanachuo wanauawa? Kweli kuwa CCM ni laana, hata mtu hajui anachoongea.

Kama huyo 'suka' ni bingwa wa kukamata wahalifu, na amkamate muuaji wa wanachuo.
 
CCM imesambaratika mapema sana kinyume na matarajio ya wengi.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
UVCCM-Arusha-mjini-kuhusu-Bashe-na-kukamatwa-kwa-Godbless-Lema-April-29-2013.png

UVCCM-Arusha-mjini-kuhusu-Bashe-na-kukamatwa-kwa-Godbless-Lema-April-29-2013-2.png

.
UVCCM-Arusha-mjini-kuhusu-Bashe-na-kukamatwa-kwa-Godbless-Lema-April-29-2013-3.png
mimi nikiongozi wa chama cha mapinduzi ila kwa ili ccm na mkuu wenu wa mkoa mme mpa umaarufu wa bure bwana LEMA.
hivi wana fahamu kama unapo mweka ndani mtu kama mbuge lina kua niswala la jimbo zima na wananchi wanapo pima ukubwa wa tatizo na kuona lema jupo sawa mna mzalilisha uyo mkuu wa mkoa

umoja wa vijana arusha acheni kukurupuka .muda wa kenda mkuu wa mkoa ulisha pita yeye alitakiwa aende kabla ya LEMA.LEMA alikua dodoma yeye yupo hapo ame kaa ofisini anasubili LEMA aende ndia akumbuke kwenda sasa wana chuo kwa mlicho kifanya .

iwefundisho kwa watuwengine wanaopenda kula AC,hadi mambo ya aribike ndio wanakumbuka kuwekasawa...
ccm mikoa mingine tupo pamoja na bashe
 
aliyeandika hili bandiko akili yake ina malnutrition

Very poor and weak explanation
Mtoto akikosa hekima na busara ni aibu kwa mzazi..........na mtu kama huyo utakuta anamivyeti kibao ya taaluma.!!!!!!!!!!!!!!!!
 
mimi nikiongozi wa chama cha mapinduzi ila kwa ili ccm na mkuu wenu wa mkoa mme mpa umaarufu wa bure bwana LEMA.
hivi wana fahamu kama unapo mweka ndani mtu kama mbuge lina kua niswala la jimbo zima na wananchi wanapo pima ukubwa wa tatizo na kuona lema jupo sawa mna mzalilisha uyo mkuu wa mkoa

umoja wa vijana arusha acheni kukurupuka .muda wa kenda mkuu wa mkoa ulisha pita yeye alitakiwa aende kabla ya LEMA.LEMA alikua dodoma yeye yupo hapo ame kaa ofisini anasubili LEMA aende ndia akumbuke kwenda sasa wana chuo kwa mlicho kifanya .

iwefundisho kwa watuwengine wanaopenda kula AC,hadi mambo ya aribike ndio wanakumbuka kuwekasawa...
ccm mikoa mingine tupo pamoja na bashe

Sasa kama mkuu wa mkoa kajiandikia na kuwapa jamaa watoe tamko?
 
Back
Top Bottom