Kama kweli aliyeandika taarifa hii ni kiongozi wa uvccm basi hafai hata kuwa kiongozi kwenye ccm yenyewe maana mwenye macho haambiwi tazama, kila mmoja ameona wewe (nyie) magamba. Tumesema hivi; mmetugambalaiz vya kutosha bila ridhaa yetu....sasa itakula kwenu.