Tamko la Umoja wa Kizazi cha kuhoji Tanzania (UTG) kuhusu suala Ben Saanane kutojulikana alipo

Leo tumepata wasaa ya kufanya mkutano na waandishi wa habari kuhusu mambo mawili.

#1. Tumeuliza mamlaka husika Ben Saanane yuko wapi? Tunamtaka akiwa hai.
#2. Tumelaani vitendo visivyo vya haki dhidi ya binadamu. Hasa 'saga' ya miili 7 iliyo okotwa mto ruvu.
#3. Tumetoa Saa 72 tuwe tumepata majibu.
Hayo ni machache, baadaye nitatoa nini kifanyike kuanzia kesho katika mitandao ya kijamii... Kuhakikisha Ben anapatika!!

Tamko limetolewa na
Mwenyekiti : Malisa GJ
Naibu K/Mkuu : Noel C Shao
Pia alikuwepo mwanasheria wa kamati : Bob Chacha Wangwe
View attachment 445044 View attachment 445044 View attachment 445047
View attachment 445025
wahuni.kajiteka!
 
Leo tumepata wasaa ya kufanya mkutano na waandishi wa habari kuhusu mambo mawili.

#1. Tumeuliza mamlaka husika Ben Saanane yuko wapi? Tunamtaka akiwa hai.
#2. Tumelaani vitendo visivyo vya haki dhidi ya binadamu. Hasa 'saga' ya miili 7 iliyo okotwa mto ruvu.
#3. Tumetoa Saa 72 tuwe tumepata majibu.
Hayo ni machache, baadaye nitatoa nini kifanyike kuanzia kesho katika mitandao ya kijamii... Kuhakikisha Ben anapatika!!

Tamko limetolewa na
Mwenyekiti : Malisa GJ
Naibu K/Mkuu : Noel C Shao
Pia alikuwepo mwanasheria wa kamati : Bob Chacha Wangwe
View attachment 445044 View attachment 445044 View attachment 445047
View attachment 445025
A
 
Nibachokiamini ni kwamba Ben is in a very safe condition na hakuna tatizo lolote naomba tuje hapa hapa kuhakiki hili.
 
Mkuu hapa tuko busy sana na kujenga viwanda.Sidhani kama hata huyo mtu mnayemuongelea anajulikana kama mnavyomtukuza
Nafikiri wewe utakuwa uzao wa Keenani, yule mjukuu wa Nuhu aliyemcheka babu yake akiwa amelewa hivyo kulaaniwa kuwa kicheko kiwe sehemu ya maisha yake hata uhai wa wanadamu wenzake usiwe na maana labda wawe maarufu!!!
 
Leo tumepata wasaa ya kufanya mkutano na waandishi wa habari kuhusu mambo mawili.

#1. Tumeuliza mamlaka husika Ben Saanane yuko wapi? Tunamtaka akiwa hai.
#2. Tumelaani vitendo visivyo vya haki dhidi ya binadamu. Hasa 'saga' ya miili 7 iliyo okotwa mto ruvu.
#3. Tumetoa Saa 72 tuwe tumepata majibu.
Hayo ni machache, baadaye nitatoa nini kifanyike kuanzia kesho katika mitandao ya kijamii... Kuhakikisha Ben anapatika!!

Tamko limetolewa na
Mwenyekiti : Malisa GJ
Naibu K/Mkuu : Noel C Shao
Pia alikuwepo mwanasheria wa kamati : Bob Chacha Wangwe
View attachment 445044 View attachment 445044 View attachment 445047
View attachment 445025


Vifaa vya waandishi wa habari wetu unaweza kudhani ni store ya cherehani. Hii technolojia hadi lini?

Ninaomba uzima kwa Ben Sanane.
 
Nibachokiamini ni kwamba Ben is in a very safe condition na hakuna tatizo lolote naomba tuje hapa hapa kuhakiki hili.
Kama umemteka wewe eleza gharama unayohitji juu yake, maana hapa hatuzungumzii imani bali kupotea kwa Ben, na kwamba Mamlaka inayohusika ifanye jitihada kutoa maelezo sahihi wapi alipo!!
 
Thats why they pre decided to be "no say"!
Halafu we Francis12 tangu lini mashushushu wanaaga familia zao?!

BTW mchango wa Ben kwenye harakati za kimageuzi ni remarkable, hautakufa utadumu milele na milele hata kama wamemfanyia lolote baya.
....Mchango gani uhakiki wa Phd ya Mkulu ndio mchango!??
 
He he sasa kuna watu wanataka maelezo mengi yapi sasa maelezo ndio ayo happ
 
Back
Top Bottom