Tamko la Umoja wa Kizazi cha kuhoji Tanzania (UTG) kuhusu suala Ben Saanane kutojulikana alipo

Si Mbowe, si Lowasa walioshtushwa na kupotea kwa Ben Saanane. Wanajua nini kinandelea

Usidhani wote ni wakukoteza kama wewe pole.Mliomficha ndiyo nyie UVCCM na tunajua fika nyie ndiye mk=liemteka na sababu mnasaidiwa na TAWI lenu la POLICCM basi mnaona raha vijana wengine wakiteswa.Kuna siku mtakuja jutia upumbavu mnaoufanya
 
Ni kama miezi mitatu sasa tangu apotee ndugu na rafiki yetu Ben Saanane, hakuna juhudi za makusudi za kuweza kujua alipo na hakuna alie na muda wa kuhangaika na suala la Ben.
Watu wamepiga kelele wakachoka, kuna rafiki zangu wakaji organize kufuatilia lakini nao mpaka sasa hawatupi mrejesho. tuliowengi tunajiuliza kuna nn kwenye suala hilo?
Chama chake CHADEMA ambacho alikuwa anakitumikia hakikufanya chochote kumtafuta, waliachia mamlaka za kisiasa zifanye kazi hiyo na familia yake na sasa angalau tumelisahau hilo na tunasonga mbele.


Leo katika vita ya dawa z kulevya katikati analetwa mwenyekiti wa chama ajieleze na kabla hata ya masaa manne chama kinatoa tamko la kulaaani!

Walikuwa wapi kwenye suala la Ben hadi mwezi ukapita ndipo wakaibuka na hasa baada ya wananchi kupiga kelele?

Je, wamakubali kuwa Ben kafa?

Kwanini serikali isitangaze hatua zilizofikiwa katika suala la kupotea kwa Ben?
 
Suala la Ben Saanane kamuulize Mbowe. Au Kubenea. Hawa watu wawili hawa wanajua alipo!
2898d1ca1ba4ea873b1cbbf2b7347401.jpg
 
Kama ilivyokuwa kwa Habili aliyeuawa kwa siri na kuzikwa kwa siri na Kaini akadhani amemaliza, lakini damu ya Habili haikunyamaza...ilipiga kelele na Mungu alisikia...na muuaji akapata hukumu aliyostahili.

Kama Mungu wangu aishivyo, damu ya hao marehemu haitanyamaza. Ni suala la muda tu...yaliyodhaniwa kuwa siri yatakapodhihiri.
 
Kama ilivyokuwa kwa Habili aliyeuawa kwa siri na kuzikwa kwa siri na Kaini akadhani amemaliza, lakini damu ya Habili haikunyamaza...ilipiga kelele na Mungu alisikia...na muuaji akapata hukumu aliyostahili.

Kama Mungu wangu aishivyo, damu ya hao marehemu haitanyamaza. Ni suala la muda tu...yaliyodhaniwa kuwa siri yatakapodhihiri.
Amen Ra...
 
Inauma sana damu ya Ben Saa nane ndo imepotea
Kama ilivyokuwa kwa Habili aliyeuawa kwa siri na kuzikwa kwa siri na Kaini akadhani amemaliza, lakini damu ya Habili haikunyamaza...ilipiga kelele na Mungu alisikia...na muuaji akapata hukumu aliyostahili.

Kama Mungu wangu aishivyo, damu ya hao marehemu haitanyamaza. Ni suala la muda tu...yaliyodhaniwa kuwa siri yatakapodhihiri.
 
Back
Top Bottom