TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,807
Yule kijana wa Chadema Ben Saanane aliyepata Vitisho na Kisha Kupotea ameshapatikana? Au tuseme imeshajulikana hatma yake? Kama alihujumiwa Maisha kukaa kimnya baada ya muda mfupi ni motisha mkubwa kwa wanaotenda vitendo vya Kinyama. Ni motisha wa kuwafanya waone kuwa 1) Magic hiyo inawork 2) Wanaweza kuitumia kwa Wengine na Kuget away with it. Hii impunity itakuwa ni hatari kwa mnaokaa kimya!
Na Kama ni kweli kama lilivyovumisha Mwanahalisi kuwa huyu Kijana anaonekana mitaani, Kwa nini asikamatwe basi na kufuunguliwa Shitaka la Kusuumbua umma. Maana ukitoa Taarifa za uwongo za emergency ni kosa kubwa.
Na Kama ni kweli kama lilivyovumisha Mwanahalisi kuwa huyu Kijana anaonekana mitaani, Kwa nini asikamatwe basi na kufuunguliwa Shitaka la Kusuumbua umma. Maana ukitoa Taarifa za uwongo za emergency ni kosa kubwa.