freedolin
Member
- Apr 21, 2015
- 52
- 21
Naona upo kijiweni na wakina mashinji na Mbowe mnakunywa gongo na viroba unaropokwa tuuWeee mtoa mada unatumia AKILI ZA MAREHEMU au masubr....style,STUPID, PUMBAVU
Naona upo kijiweni na wakina mashinji na Mbowe mnakunywa gongo na viroba unaropokwa tuuWeee mtoa mada unatumia AKILI ZA MAREHEMU au masubr....style,STUPID, PUMBAVU
Acha upuuzi wewe jambazi mkubwa wewe ngoja siku yakukute utajua maumivu yake yalivyo makubwa.kama halijakugusa kwa nini usikae kimyaaa?CDM mmesha kosa ya maana ya kufanya!
Mnajiteka wenyewe na kuanza kupima upepo, wananchi
Hili tukio watali chuliaje yaani mnafanya mambo ya kitoto sana ili mradi tu rais aonekane anabana uhuru wa kuogea!
Wananchi sasa tumesha wachoka
Mnacho kifanya ni upupu
Faru Saanane.Ndugu wanajukwaa nimefuatilia sana suala hili suala na hatma yake nimeshindwa kuelewa kabisa je ben yu bukheri wa afya au la?
kasapatikana au la ?
najiuliza haya kwa sababu sisikii chama wala serikali wakilijadili hili sasa najiuliza hii manake nini au ile taarifa ya ben kuibuka ilikuwa kweli inaandaa umma kukaa mkao wa kumuona na kumpotezea?
na kama alionekana mbona hatuoni taarifa kaonekana wapi na alipatwa na nini kipindi chote hicho? mwenye taarifa mawazo tafadhari
Ndugu wanajukwaa nimefuatilia sana suala hili suala na hatma yake nimeshindwa kuelewa kabisa je ben yu bukheri wa afya au la?
kasapatikana au la ?
najiuliza haya kwa sababu sisikii chama wala serikali wakilijadili hili sasa najiuliza hii manake nini au ile taarifa ya ben kuibuka ilikuwa kweli inaandaa umma kukaa mkao wa kumuona na kumpotezea?
na kama alionekana mbona hatuoni taarifa kaonekana wapi na alipatwa na nini kipindi chote hicho? mwenye taarifa mawazo tafadhari
Ndugu wanajukwaa nimefuatilia sana suala hili suala na hatma yake nimeshindwa kuelewa kabisa je ben yu bukheri wa afya au la?
kasapatikana au la ?
najiuliza haya kwa sababu sisikii chama wala serikali wakilijadili hili sasa najiuliza hii manake nini au ile taarifa ya ben kuibuka ilikuwa kweli inaandaa umma kukaa mkao wa kumuona na kumpotezea?
na kama alionekana mbona hatuoni taarifa kaonekana wapi na alipatwa na nini kipindi chote hicho? mwenye taarifa mawazo tafadhari
HahahahaMbowe huyu huku anakula bata tu Ghana, jamaa anacheka tu kila siku!
Kwa kweliWatoto wako wanasoma shule bora,wanapata balanced diet,Je wanatibiwa hospitali bora Na je yote hayo Ni endelevu??? Ya Ngoswe mwachie Ngoswe!!
Waulize CDM hasa Lissu!!Ndugu wanajukwaa nimefuatilia sana suala hili suala na hatma yake nimeshindwa kuelewa kabisa je ben yu bukheri wa afya au la?
kasapatikana au la ?
najiuliza haya kwa sababu sisikii chama wala serikali wakilijadili hili sasa najiuliza hii manake nini au ile taarifa ya ben kuibuka ilikuwa kweli inaandaa umma kukaa mkao wa kumuona na kumpotezea?
na kama alionekana mbona hatuoni taarifa kaonekana wapi na alipatwa na nini kipindi chote hicho? mwenye taarifa mawazo tafadhari