Tamko la serikali ya wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es salaam juu ya ripoti ya makinikia

Huyo ni mwanachuo anayetokea UDSM anaandika kama mtoto wa O'level.

Sijaona Aya hata moja.
Andiko halina ushikamani wa kimawazo, kimuundo n.k.

Umetia aibu Wasomi wenzako wa UDSM. Nakushauri, jifunze kwanza kuandika kwani uandishi unakanuni zake. Na msomi kama wewe hupaswi kuandika kama mtu ambaye hajasoma
 
Hujawahi kusoma Chuo?
Mm ndo sifaham, hebu nieleweshe ni kwa wakati gan, mtu anatakiwa kuitwa Engineer?

1. Je akiwa ni bado mwanafunz?
2. Akiwa amemaliza chuo?
3. Akiwa kahitimu na kusajiliwa ERB?

Naomba majibu kwa maswali yangu halo juu, maana huko kwenu wasomi mm sijafika
 
Ninyi daruso wa kupaka kama jam kwenye kipande cha mkate ziepukeni siasa za kina kibajaji na ndugai! Kama kweli mnaongozwa kwa historia ya wapigania raslimali za taifa mngewataja kina mnyika, lissu,lema na zitto. Kinyume chake ni kujiongoza na kufikiri kwa matumbo yenu ili muajiriwe kwenye mfumo mnaoutetea leo!
Rejesheni kumbukumbu zenu nyuma kidogo mkumbuke juu ya dowans, lugumi, escrow, sheeia za madini na ile ya gesi iliyoptishwa usiku wa manane na kupingwa na haohao mnaowita yuda escariot hadi kufikia hatua za kukamatwa na kushtakiwa na dola. Mtuambie, ni kwanini maazimio ya bunge juu ya dowans na escrow hayajatekelezwa na serikali hadi leo? Kile alichokiona Lissu kule bulyankulu juu ya kufukiwa kwa wachimbaji wadogo waliogomea kuondolewa kwa nguvu ni kwanini hakuna aliyewajibika hadi sasa?
Msifikri kuwa hatuna kumbukumbu na hatuitambui michango ya wabunge wetu wazalendo kina Lissu et al katika kuzitetea raslimali na kwa jinsi walivyo na wanavyoshiriki kuishauri ccm mbinu na njia sahihi za kuzikataa mbinu chafu za hao mabwana zenu mliowapa raslimali za nchi hii bure bwerere! Kwa uroho wenu mkajitia upofu na uziwi na eti leo mnakuja kama yule kipofu aliyeponywa na Yesu kwa kupakwa tope! Oneni aibu kujiita wazalendo na ni bora mkajiita wanafiki na waroho waliotopea! Eti daruso! Bora mjiite rubbish daruso mlio na akili za makinikia. Mnachefua.
 
Hivi hawa wanafunzi kweli wanasoma ? Nyie chapeni kitabu tu - haya ya madini na uchumi wapo wakubwa wanaya shughulikia chini ya Mh Rais . Kipindi chenu kitakuja sasa angalieni masomo sio siasa.

Ushauri mwingine nyie kama wasomi mnapoandika kitu msiandike kwa hisia ( emotional ) na maneno ya kimtaani ( layman )- andikeni na muweke uchambuzi wa kisomi wenye data na analysis vitakavyo kubaliana au kusapot maoni au conclusions zenu
 
Andiko murua kutoka Kwa wanaojiita wasomi!
Ni kweli kwamba watu hao mnaowaeleza kuwa wapingaji hawakustahili kupata hilo li digrii la hicho chuo, kwani ni aibu kupata hilo li digrii katika chuo chenye wasomi wa aina hii, tena wanaowakilisha wanachuo wenzao.
Kama viongozi ndio mko hivi, hao wengine wakoje?
Duh, wasomi wasiofahamu historia ya taifa Lao, wako wapi na tunatakiwa kwenda wapi!
Eti karume aliongoza mapinduzi matukufu ya Zanzibar ya 1964!
Kuwa Na wasomi wa aina ya kupongeza na kusifia vitu bila utafiti ni heri kuwa na kundi la watoto wa chekechea ambao watauliza na kudadisi kabla ya kutoa mtazamo wao kama hawa wasomi.
Poleni wana habari, nafikiri nisingevumilia kusikiliza utumbo huu hata kama ninaandikia gazeti la Uhuru
Jamaa ni kilaza kwenye ishu nyingi mno ukisoma andiko lake alilolipa jina Tamko.
Historia haijui, uandishi mbovu. Mpango wa kazi na ushikamani wa mawazo niwahovyo.

Hata kama anasoma engineering sio Kwa uandishi huo
 
So amino kama hii kitu imetoka DARUSO, kama imetoka huko basi inawezekana mwandishi aliamshwa usiku wa manane chini ya shinikizo la kuandika. Wasomi si wasomi, ijinia si injinia na wala si wanasiasa
 
Siamini kama hii kitu imetoka DARUSO, kama imetoka huko basi inawezekana waaandishi waliamshwa usiku wa manane chini ya shinikizo la kuandika. Wasomi si wasomi, ijinia si injinia na wala si wanasiasa wamejaa hasira, visasi na ghadhabu, ninawashauri waondoe hili tamko na waandike jingine baada ya kufuturu huenda watakuwa makini baada ya kushiba.
 
Hili tamko nimeliona mahali limekanushwa na wanaDARUSO wakidai si lao ni la mtoaji binafsi.Wamedai hawajashirikishwa na hawezi kutoa tamko dhaifu kiasi hicho. Wanasema raise wa DARUSO alijifungia chumbani na kuandika aliyoyaandika kwa maslahi binafsi ya kutafuta ajira au cheo serikalini au huko CCM!
Hahahaah! So engineer kaingia chumbani katoka na tamko...duh
 
Ninyi daruso wa kupaka kama jam kwenye kipande cha mkate ziepukeni siasa za kina kibajaji na ndugai! Kama kweli mnaongozwa kwa historia ya wapigania raslimali za taifa mngewataja kina mnyika, lissu,lema na zitto. Kinyume chake ni kujiongoza na kufikiri kwa matumbo yenu ili muajiriwe kwenye mfumo mnaoutetea leo!
Rejesheni kumbukumbu zenu nyuma kidogo mkumbuke juu ya dowans, lugumi, escrow, sheeia za madini na ile ya gesi iliyoptishwa usiku wa manane na kupingwa na haohao mnaowita yuda escariot hadi kufikia hatua za kukamatwa na kushtakiwa na dola. Mtuambie, ni kwanini maazimio ya bunge juu ya dowans na escrow hayajatekelezwa na serikali hadi leo? Kile alichokiona Lissu kule bulyankulu juu ya kufukiwa kwa wachimbaji wadogo waliogomea kuondolewa kwa nguvu ni kwanini hakuna aliyewajibika hadi sasa?
Msifikri kuwa hatuna kumbukumbu na hatuitambui michango ya wabunge wetu wazalendo kina Lissu et al katika kuzitetea raslimali na kwa jinsi walivyo na wanavyoshiriki kuishauri ccm mbinu na njia sahihi za kuzikataa mbinu chafu za hao mabwana zenu mliowapa raslimali za nchi hii bure bwerere! Kwa uroho wenu mkajitia upofu na uziwi na eti leo mnakuja kama yule kipofu aliyeponywa na Yesu kwa kupakwa tope! Oneni aibu kujiita wazalendo na ni bora mkajiita wanafiki na waroho waliotopea! Eti daruso! Bora mjiite rubbish daruso mlio na akili za makinikia. Mnachefua.
Wamekuchefua! Umeangalia siku zako?
 
Huyu ni engineer anayesomea u-engeneer wa kupakuwa mavi!! Jinga kabisa hili jamaa bado liko semester ya 6 linajiita engineer? Halafu hili tamko amewauliza wana-DARUSO wote wakasema wanamwunga mkono? Ka-uvccm kanasaka tonge hapo kawa kujikomba ili siku ya siku Rais akape ulaji!!
 
Back
Top Bottom