Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
""NAMUUNGA MKONO FREEMAN AIKAELI MBOWE AGOMBEE URAISI 2015""
Mkuu hiyo sijakubaliana nayo, itatuangusha. Au unaonaje?[/QUOTE]
Zitto kabwe katangaza kugombea Urais 2015 na Mnyika katangaza kumuunga mkono Mbowe kugombea Urais 2015, mmmmh patamu hapo kumbe mpasuko hauko CCM peke yake.!!!!!!!!!