Walimu waliunga mkono mgomo huu lakini viongozi wao wamewaangusha, tena wamechangia sana kufanya mgomo ushindwa. Siamini kama viongozi wa cww hawakujua taratibu za kufuata au walishirikiana na serikali kukiuka kanuni makusudi ili mgomo ushindwa. Si ajabu JK alivyoongelea suala lao juzi alikuwa mpole vile?
Je, walimu bado mna imani na viongozi wa ccw katika kutetea maslahi yaenu? Mkoba anasema mgomo umefanikiwa; je, walimu wamepata yale waliyokuwa wanapigania au mmeishia kuwakosesha masomo watoto wetu?
Mkoba inabidi ataueleze iwapo walimu waendelee kumwamini kuandaa mgomo mwingine!