Tamko la Chama Cha Walimu(CWT)

Kaka waalimu watarudi kazini, ninaimani kubwa saba Watoto watakao zalisha kielimu na waalimu hao yatakuwa maboga ya kutupwa, (mgomobaridi utaendelea mpaka selikali itakapojua umuhimu wa elimu Tanzania)
 
mkoba mnafiki, walimu wenyewe sio wanafiki? hivi unajua kama idadi kubwa ya walimu wanaenda kazini kama kawa?


Inawezekana akawa mnafiki. Lakini hebu tupe mchanganuo wa matumizi kwa mshahara wa 300,000/= kwa mfano, mwezi, familia ya baba, mama, watoto 4, nyumba ya kupanga vyumba vitatu, umeme, maji, chakula, matibabu na usafiri.
 
mkoba ni mnafiki mno.
Walimu wanatumika kuzima madai ya madaktari

pumba......walimu nao ni watu muhimu usifikiri ni madaktari tu ndio wanastaili kulipwa vizuri acha dharau .
kwanza madai ya madaktari yamezimwa na madaktari wenyewe kwa usaliti wao kwa ulimboka...trust me madokta baada ya kumsaliti ulimboka na wale madogo waliofukuzwa wamenitoka kabisa.
 
pumba......walimu nao ni watu muhimu usifikiri ni madaktari tu ndio wanastaili kulipwa vizuri acha dharau .
kwanza madai ya madaktari yamezimwa na madaktari wenyewe kwa usaliti wao kwa ulimboka...trust me madokta baada ya kumsaliti ulimboka na wale madogo waliofukuzwa wamenitoka kabisa.
Mkuu huyo alisoma nje kwa kodi zetu ndiyo maana anaona Wlimu si muhimu
 
mkoba mnafiki, walimu wenyewe sio wanafiki? hivi unajua kama idadi kubwa ya walimu wanaenda kazini kama kawa?

ila kweli...kiujumla tuseme nchi hii tatizo sio viongozi tatizo wanaoongozwa...wabongo ni wanafiki na wasaliti sana.
 
Inawezekana akawa mnafiki. Lakini hebu tupe mchanganuo wa matumizi kwa mshahara wa 300,000/= kwa mfano, mwezi, familia ya baba, mama, watoto 4, nyumba ya kupanga vyumba vitatu, umeme, maji, chakula, matibabu na usafiri.

Alafu tupate mchanganuo wa matumizi ya mapato yatokanayo na fedha wanazokatwa Walimu kwenda CWT kama haziliwi na akina Mkoba. Mimi niko huku kijijini Mbeya na ni mwalimu niliyeathirika na makato kwa ajili ujenzi wa MWALIMU HOUSE pale ilala, na sijui nafaidika nini na lile jengo. Nasikia kuna makampuni yamepangisha kwenye jengo letu hilo kiwemo benki sasa tunataka mchanganuo wa matumizi ya mapato yatokanayo na jengo ili isije ikawa nizo zinatumika kufanya vikao vya sisis kugoma jamani.
 
Mgomo baridi ulishaanza siku nyingi, labda watauongezea nguvu. Madhara ya mgomo huu baridi utakuja jidhihirisha mmiaka mingi ijayo ambapo watawala waliyoyasababisha haya hawatakuwepo madarakani, hivyo si athari mbaya ama taadhari kwao kwa sasa. Imefikia mahali Wizara na vyombo husika walishusha viwango vya ufaulu katika madaraja mbalimbali ya sekondari na hata kuingia vyuo vikuu vyetu (nafikiri sasa ni 2.5 point, Mfano E E S anachaguliwa huyo). Nahisi sasa itafikia mahali kuingia chuo kikuu itakuwa kwa idadi, atakayewahi foleni anachaguliwa kuingia moja kwa moja.
 
ila mpaka hapa walipofikia wanastahili pongezi coz sikutegemea kama wangegoma kwa siku hizi kadhaa nilijua ndo zile mbwembwe zao za kila siku tulizozoea.. tusubiri kifuatacho baada ya hukumu
 
walimu ni vyema mkarudi job,chapeni kazi huku mkiendelea kudai maslahi yenu.
 
Wanafiki ni

1. Serikali, fedha hakuna kilasiku wanafanya utalii ughaibuni, wanatoa misamaha ya kodi kwa mafisadi, wanatutoza payee kubwa zinatumika wapi? hatujui. Sasa wanahamia kuchukua akiba zetu kwa kisingizio cha miaka 55 nk.

2. Wanafiki ni ccm kwa kuwadanganya wtz kwa misha bora, kihalisia ni maisha duni zaid kwa wananchi na wafanyakazi wa kawaida.

3. Wanafiki ni mahakama zinazotoa hukumu kutoka maelekezo ya ikulu inataka nin.

4. Wanafiki ni polisi, wanaacha sheria na kukandamiza uma.

5. Wanafiki ni takukuru kwa kushindwa kukabili tuhuma za rada, epa, richmond nk pia rushwa iliyokithili kila kona.

Hawawezi kuwa wanafiki walimu na mkoba kwa kudai kihalali haki zao za msingi. Kama nilivoeleza wanafiki ni kikwete na serikali yake, ccm, mahakama, polisi na takukuru.
 
Mgomo baridi ulishaanza siku nyingi, labda watauongezea nguvu. Madhara ya mgomo huu baridi utakuja jidhihirisha mmiaka mingi ijayo ambapo watawala waliyoyasababisha haya hawatakuwepo madarakani, hivyo si athari mbaya ama taadhari kwao kwa sasa. Imefikia mahali Wizara na vyombo husika walishusha viwango vya ufaulu katika madaraja mbalimbali ya sekondari na hata kuingia vyuo vikuu vyetu (nafikiri sasa ni 2.5 point, Mfano E E S anachaguliwa huyo). Nahisi sasa itafikia mahali kuingia chuo kikuu itakuwa kwa idadi, atakayewahi foleni anachaguliwa kuingia moja kwa moja.

huo ni usaliti kwa taifa na haionyeshi uzalendo hata kidogo.basi wagome pia kupokea mishahara.
 
Inawezekana akawa mnafiki. Lakini hebu tupe mchanganuo wa matumizi kwa mshahara wa 300,000/= kwa mfano, mwezi, familia ya baba, mama, watoto 4, nyumba ya kupanga vyumba vitatu, umeme, maji, chakula, matibabu na usafiri.

Bado makato ndugu!
 
Wanafiki ni

1. Serikali, fedha hakuna kilasiku wanafanya utalii ughaibuni, wanatoa misamaha ya kodi kwa mafisadi, wanatutoza payee kubwa zinatumika wapi? hatujui. Sasa wanahamia kuchukua akiba zetu kwa kisingizio cha miaka 55 nk.

2. Wanafiki ni ccm kwa kuwadanganya wtz kwa misha bora, kihalisia ni maisha duni zaid kwa wananchi na wafanyakazi wa kawaida.

3. Wanafiki ni mahakama zinazotoa hukumu kutoka maelekezo ya ikulu inataka nin.

4. Wanafiki ni polisi, wanaacha sheria na kukandamiza uma.

5. Wanafiki ni takukuru kwa kushindwa kukabili tuhuma za rada, epa, richmond nk pia rushwa iliyokithili kila kona.

Hawawezi kuwa wanafiki walimu na mkoba kwa kudai kihalali haki zao za msingi. Kama nilivoeleza wanafiki ni kikwete na serikali yake, ccm, mahakama, polisi na takukuru.

wewe ndio mnafiki mkubwa kwa kujitahidi kupandikiza chuki kwa wananchi.CWT inakula pesa za walim kwa kuwakata mishahara yao kila mwezi tena wengine bila ridhaa yao.huo nao ni ufisadi mkubwa.
 
kigoma waipuuza CWT,waendelea kuchapa kazi kama kawaida.

licha ya chama cha walimu kutangaza mgomo wa waalim.wengi wa walim mkoani kigoma wamepuuza agizo la CWT na kuendelea kufanya kazi kama kawaida kwa kusema kuwa hawoni faida ya mgomo huo na hawahitaji mgogoro na serikali yao
 
wewe ndio mnafiki mkubwa kwa kujitahidi kupandikiza chuki kwa wananchi.CWT inakula pesa za walim kwa kuwakata mishahara yao kila mwezi tena wengine bila ridhaa yao.huo nao ni ufisadi mkubwa.


TamuChungu

Siku zote napata shida kwelikweli kwa jinsi unachangia maada mbali mbali. Sifaham kama unajifanya sintofaham, sipendi kuamin kama uwezo wako kufikiri na kutafakali unaishia hapo.

Kama ndivyo nimeuuliza swali sijapata majibu. Ili kujua mnafiki nani wewe au mimi tupe mchanganuo wa mwl anaelipwa kwa mwezi Tsh. 300,000/=

Anawatoto 4 na mke mmoja, kodi vyumba vitatu anaishi Arusha mjin, umeme, maji, chakula, matibabu, usafiri daladala/vifodi kwake na watoto 2 kuwenda na kurudi kazin/shulen na makato kama payee, nssf, michango mingineyo.

Tamuchungu jibu kwa hoja na kwa ufasaha. Usipaniki na usiingie mitini. Jenga hoja utushawishi tujue nan mnafiki.
 
Nilazima warudi kazini kwanza ili kutii amri ya mahakama. Swala la rufaa ni kutetea haki yao maana hawajaridhika na hukumu. Mbona ipo wazi sana na wala sio kwamba wana surrender!?
Kumbuka pia kipato cha walimu ni kidogo sna na juzi walitishiwa hawatalipwa mishahara kama wataendelea na mgomo....lakini kama wangekuwa na kipato kizuri wakawa na akiba angalau miezi mitatu wangeliendeleza kwasasa acha waendelee na mgomo baridi mpaka mwaka 2015. waakuwa na mchango mkubwa sana kuiondoa serikali hii ya kibabe....
 
Chama kimesema kitatoa tamko leo saa 4:00 asubuhi. Tamko hilo litaeleza kama chama kimeridhika na hukumu au wanakata rufaa. Taarifa hiyo haijaweka wazi kama walimu warejee kazini ama laa. Mtoa taarifa amewataka walimu kufuatilia vyombo vya habari saa 4 asubuhi.

...CWT imeshindwa kusoma saa, au cwt imegoma kuwatangazia wanachama wake nini wafanye/watafanya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom