Tamko la CCM: Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, yaipongeza Serikali ya awamu ya tano

TandaleOne

JF-Expert Member
Sep 4, 2010
1,644
709
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitazungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali majira ya saa saba na nusu mchana huu katika ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es salaam.

Updates:-

Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahman Kinana ameshaingia kwenye Ukumbi wa mikutano wa Ofisi ndogo za Makao Makuu na anazungumza na waandishi wa habari hivi sasa,

Kinana akizungumza na wanahabari katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ndogo ya CCM, Lumumba.


Waandishi kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakiwa kwenye Press ya Katibu Mkuu wa CCM.

=========================


Updates:-

 

Attachments

  • kinana.v01.jpg
    31.1 KB · Views: 9,173
Vizuri sana japo wanapaswa kufaham wananchi tumeridhika na kasi iliopo kuhusu serikali ya Magufuli
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitazungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali majira ya saa saba na nusu mchana huu katika ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es salaam.

Naamini Mwenyekiti aliongoza Kamati kuu kumpongeza Magufuli kufuta safari za nje.

Msisahau kukumbusha Waziri mkuu kuweka list ya wakwepa kodi pamoja na wamiliki wake ikiwepo ile ya Katibu Mkuu wako ya Almasi Shipping
 
mwenyekiti aseme kati ya yale makontena 349 yake ni mangapi , riziwani yake ni mangapi na mama salma yake ni mangapi halafu aendelee na ajenda nyinginezo
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitazungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali majira ya saa saba na nusu mchana huu katika ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es salaam.

Wanataka kujikosha na kumunga mkono JPM kinafiki.
 
Naamini Mwenyekiti aliongoza Kamati kuu kumpongeza Magufuli kufuta safari za nje.

Msisahau kukumbusha Waziri mkuu kuweka list ya wakwepa kodi pamoja na wamiliki wake ikiwepo ile ya Katibu Mkuu wako ya Almasi Shipping

Hiki ndio kitakuwa moja ya kipimo kikubwa cha uzalendo na dhamira ya Magufuli katika kupambana na ufisadi hasa ule unaowaohusu vigogo wakubwa wa chama na serikali.

Na hapa ndio pengo la UKAWA kutoshika dola litakapoonekana kwa wengi.

Hapo bado data za Escrow kupitia Stanbic hazijawekwa hadharani na Kubenea ndani ya Bunge.
 
Wanawaandaa Wananchi Kisaikolojia, Ili Washinde Chaguzi Za Ubunge.
 
Naamini Mwenyekiti aliongoza Kamati kuu kumpongeza Magufuli kufuta safari za nje.

Msisahau kukumbusha Waziri mkuu kuweka list ya wakwepa kodi pamoja na wamiliki wake ikiwepo ile ya Katibu Mkuu wako ya Almasi Shipping

Mkuu umesema sana, lkn tusitegemee kipya zaidi ya blaa blaa za miaka yote, kwa sababu watu ni wale wale na Mwenyekiti ni yule yule, ambaye wakati yote hayo yanafanyika alikuwa kiongoz wa nnchi
 
Naamini Mwenyekiti aliongoza Kamati kuu kumpongeza Magufuli kufuta safari za nje.

Msisahau kukumbusha Waziri mkuu kuweka list ya wakwepa kodi pamoja na wamiliki wake ikiwepo ile ya Katibu Mkuu wako ya Almasi Shipping

Wakiweka list yote hadharani sasa hivi si itaharibu uchunguzi, No?
 

Magufuli haendeshwi na hisia za upinzani, hayupo kupimwa na upuuzi wenu!
 
Wanataka kujikosha na kumunga mkono JPM kinafiki.

hakuna tofauti wangeongea wasingeongea still wana ukawa mngepayuka na kuropoka na kusema amnavosema na mnachokiona kuropoka kutoka midomoni mwenu.....mlisema magufuli anaendeshwa ikapita,mkaja mkasema nguvu ya soda ikapita,mkasema wanaisoma namba wao ccm ben saanane akaja akasema magufuli analipiza kisasi kwa waliokuwa wanashabikia ukawa,leo mnasema wanampongeza kinafiki nalo hilo litapita kwa kuwa ni nyie mlikuwa mkipiga kelele kwa nn ccm hawatoi tamko leo wantaka kutoa mnasema ni unafiki sasa hapo nani mnafiki??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…