Tamko la CCM: Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, yaipongeza Serikali ya awamu ya tano

CVsi1-RUkAEgH7Q.jpg

CVse8W5VEAACocz.jpg

Katibu Mkuu, Kinana akiongea na vyombo vya habari katika ofisi za CCM, Lumumba.

Ndondoo za alichokisema:

-Kamati Kuu ilifanya kikao chake jana na kupokea taarifa ya utendaji wa Serikali katika utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2015 -2020

-Kamati Kuu inaipongeza Serikali Chini ya Uongozi wa Rais Dkt John Pombe Magufuli, Makamu Mhe Samia Suluhu na Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa

-CCM kupitia Kamati Kuu inaunga mkono hatua zilizochukuliwa na Serikali ya Awamu ya Tano ktk utekelezaji wa Ilani katika maeneo yafuatayo:-

-Kamati Kuu inapongeza na kuunga mkono Juhudi kubwa ya Serikali ya kusimamia vyanzo vya mapato kwa kuimarisha utendaji wa mamlaka za TPA&TRA.

-CCM inaunga mkono hatua ya Serikali kudhibiti matumizi, kama ilivyoagizwa na Ilani ya CCM ya 2015 - 2020 ili kuboresha huduma kwa wananchi.

-CCM inaunga mkono Juhudi za kuwataka wanaohusika na kudhibiti matumizi ya Serikali kumuunga mkono Rais Magufuli katika jitihada hizi.

-Kamati Kuu inawataka wanaCCM na wananchi kumuunga mkono Rais na Serikali kwa kuitikia wito wa kufanya kazi kwa bidii, Maarifa na Uzalendo.

waandishi gani hao hata mvuto hawana, sio presentable kabisa wamevaa kama wanataka kwenda sokoni.
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Jana tarehe 07/12/2015 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ilifanya kikao chake cha kawaida mjini Dar es salaam kwa siku moja. Kikao hicho kiliongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.

Kamati Kuu pia ilipokea taarifa juu ya utendaji wa Serikali katika utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015-2020. Kwa ujumla na kwa kauli moja Kamati Kuu ya CCM Taifa iliipongeza Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Makamu wa Rais Mheshimiwa Samia Suluhu na Waziri Mkuu Mhe. Kassim M. Majaliwa kwa kasi nzuri waliyoanza nayo katika utekelezaji wa Ilani hiyo.

Kamati Kuu kwa niaba ya Chama imeunga mkono hatua kadhaa zinazochukuliwa na Serikali ya Awamu ya Tano katika kuhakikisha Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2015-2020 inatekelezwa kwa ufanisi. Aidha, inapongeza na kuunga mkono juhudi kubwa zinazofanywa na Serikali katika maeneo ya:-

(1) Kusimamia vyanzo vya mapato ya Serikali:

Kamati Kuu inapongeza na kuunga mkono juhudi kubwa zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano katika kuhakikisha kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) zinasimamia ukusanyaji wa kodi za Serikali ipasavyo. Juhudi hizi za Serikali ya Awamu ya Tano kwa muda mfupi zimezaa matunda yanayoonekana wazi.
Aidha, Kamati Kuu inawataka wahusika mbalimbali kwenye maeneo hayo ya udhibiti wa vyanzo vya mapato kuhakikisha wanatoa ushirikiano kwa Serikali ili lengo liweze kutimia.

(2) Kudhibiti matumizi ya Serikali:

Kama ilivyoagizwa na Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2015-2020, Serikali ya Awamu ya Tano imeanza vizuri na kwa kasi kusimamia udhibiti wa matumizi yasiyo ya lazima katika Serikali, ili kutumia fedha hizo kwenye utoaji wa huduma kwa wananchi. Kamati Kuu inaunga mkono juhudi hizi na kuwataka wote wanaohusika kwa namna moja ama nyingine na udhibiti wa matumizi hayo wamuunge mkono Rais Dkt. John Pombe Magufuli na Serikali yake katika jitihada hizi.


(3) Uhimizaji wa wananchi katika kufanya kazi kwa bidii:

Kamati Kuu inawataka wanaCCM na wananchi wote kwa ujumla nchini kumuunga mkono Rais na Serikali yake kwa kuitikia wito wa kufanya kazi kwa bidii, kwa maarifa na uzalendo. Kamati Kuu inawahimiza watu wote kwenye maeneo yao ya kazi kujituma na kuchapa kazi ili kujenga nchi yetu na kumuunga mkono Rais Magufuli.

(4) Kusimamia na kuhimiza uwajibikaji katika Serikali, Taasisi na Mashirika yake:

Kamati Kuu pia inapongeza na kuunga mkono juhudi zinazoendelea za kuhakikisha kunakuwa na uwajibikaji mkubwa Serikalini ili kuongeza kasi na ubora wa utoaji huduma. Katika kipindi cha muda mfupi matunda yake yameanza kuonekana na hivyo kuweka msingi mzuri wa kuboresha huduma kwa umma kwa njia endelevu.

(5) Juhudi na jitihada hizi za Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Uongozi wa Rais Dkt. Magufuli zimeleta matumaini mapya kwa sehemu kubwa ya wananchi na kukuza imani kwa Serikali yao. Hivyo, kila Mtanzania ana wajibu wa kuunga mkono jitihada hizi.

Pamoja na kuunga mkono na kupongeza kasi waliyoanza nayo Rais Magufuli, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu, Kamati Kuu inawataka Viongozi wengine wote kuiga mfano huu mzuri na kuhakikisha wanatimiza wajibu wao ipasavyo ili kutekeleza kwa haraka zaidi Ilani ya Uchaguzi ya CCM na kuleta maendeleo nchini.

Aidha, Kamati Kuu inawatakia Watanzania wote kheri ya Krismas na mwaka mpya wa 2016, na inaamini mwaka ujao utakuwa wa kuchapa kazi na wenye mafanikio zaidi.


Imetolewa na:-

Abdulrahman O. Kinana,
KATIBU MKUU WA CCM 08/12/2015
 
CVsi1-RUkAEgH7Q.jpg

CVse8W5VEAACocz.jpg

Katibu Mkuu, Kinana akiongea na vyombo vya habari katika ofisi za CCM, Lumumba.

Ndondoo za alichokisema:

-Kamati Kuu ilifanya kikao chake jana na kupokea taarifa ya utendaji wa Serikali katika utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2015 -2020

-Kamati Kuu inaipongeza Serikali Chini ya Uongozi wa Rais Dkt John Pombe Magufuli, Makamu Mhe Samia Suluhu na Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa

-CCM kupitia Kamati Kuu inaunga mkono hatua zilizochukuliwa na Serikali ya Awamu ya Tano ktk utekelezaji wa Ilani katika maeneo yafuatayo:-

-Kamati Kuu inapongeza na kuunga mkono Juhudi kubwa ya Serikali ya kusimamia vyanzo vya mapato kwa kuimarisha utendaji wa mamlaka za TPA&TRA.

-CCM inaunga mkono hatua ya Serikali kudhibiti matumizi, kama ilivyoagizwa na Ilani ya CCM ya 2015 - 2020 ili kuboresha huduma kwa wananchi.

-CCM inaunga mkono Juhudi za kuwataka wanaohusika na kudhibiti matumizi ya Serikali kumuunga mkono Rais Magufuli katika jitihada hizi.

-Kamati Kuu inawataka wanaCCM na wananchi kumuunga mkono Rais na Serikali kwa kuitikia wito wa kufanya kazi kwa bidii, Maarifa na Uzalendo.

KWA HIYO UNAFIKI WA JK ndio ameutolea tamko?Tuliposema JK ziara zake za nje hazina tija tulimaanisha.


Kinana nae amesahau,angemtaka Waziri mkuu ataje makampuni yaliyokuwa kwenye list ya kutolipa kodi maana kuna kampuni moja ya "Almasi" Shipping.....

Pia inasikitisha Kinana kutokuwa mkweli katika umri huu.Ni ilani gani ya CCM ambayo magufuli ametekeleza? Ataje ni ibara gani ya ilani ya CCM?

Mtu anatekeleza Ilani ya Chadema na kutupilia mbali ya CCM halafu katibu mkuu anaibuka na unafiki wa kumpongeza.

Tunaamini kwamba ingekuwa vyema kwa Rais kama angeomba ushauri wa namna ya kutekeleza ilani hii ili kuepusha makosa ambayo tuliyoyainisha.Ukisoma Ilani yetu ya Uchaguzi ya mwaka 2015-2020 kuanzia Ukurasa wa 10 hadi wa 16 utaona ahadi yetu kwa Watanzania tuliyoahidi endapo Mgombea wetu wa Urais angefanikiwa kutangazwa mshindi na kuunda serikali. Ambayo tuliahidi kuwa
''• Katiba ya wananchi ni kipaumbele namba moja,
hivyo serikali ya CHADEMA itaanzisha tena mchakato
wa katiba uliozingatia maoni ya wananchi. Lengo ni
kuhakikisha kwamba vifungu vinavyohusu tunu, maadili
na miiko ya uongozi vinakuwa kwenye katiba mpya ili
sheria na kanuni mpya ziweze kutungwa na kudhibitiwa
• Kujenga uzalendo ili kila Mtanzania aweze kutathmini
mchango wake kwa taifa kila siku
• Kuimarisha nidhamu, utendaji na uwajibikaji katika
Sekta ya Umma
• Kupiga vita/kuondoa rushwa/ufisadi na ubadhirifu
katika sekta ya Umma na binafsi
• Kuimarisha mchango wa Wataalam katika uendeshaji
wa nchi
• Kusimamia ukusanyaji na matumizi mazuri ya kodi na
mapato ya serikali na kupunguza mzigo wa kodi kwa
wananchi
• Kuboresha maslahi na vitendea kazi kwa watumishi wa
Umma
• Ikiwa ni pamoja na kupunguza kodi kwa wafanyakazi
ili kupunguza ukali wa maisha
• Kulipa mshahara wa mwezi kwa awamu mbili katika
mwezi ili kwendana na uhalisia wa hali ya maisha
• Kudhibiti na kupunguza matumizi ya serikali ikiwa ni
pamoja na kufuta safari za watumishi serikalini zisizokuwa
muhimu pamoja na zile za Rais na kupiga marufuku
matumizi ya magari ya anasa serikalini (mashangingi)
• Kudhibiti deni la Taifa kwa kuanza na ukaguzi wa
madeni ya serikali ili kuhakiki jinsi yalivyotumika
• Kuimarisha uwazi na kuondoa usiri katika shughuli za
serikali na kuweka bayana mikataba yote ya nchi
ikiwa ni pamoja na ile ya mafuta, madini na gesi asilia
ili watanzania waweze kuihakiki na Bunge lao liikubali
kabla ya kupitishwa na serikali
• Kuimarisha serikali za mitaa ili wananchi washiriki
kikamilifu katika maendeleo yao."

Ili kutekeleza hayo ni lazima kuufumua mfumo kupitia katiba mpya hasa kuanzia pale Rasimu ya Warioba ilipoishia.
Rais hapaswi hata mara moja kujihusisha na vitendo vya kusamehe wahujumu uchumi badala ya kuachia mhimili wa mahakama kufanya kazi yake.
 
taarifa kwa vyombo vya habari

jana tarehe 07/12/2015 kamati kuu ya halmashauri kuu ya ccm taifa ilifanya kikao chake cha kawaida mjini dar es salaam kwa siku moja. Kikao hicho kiliongozwa na mwenyekiti wa ccm, rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt. Jakaya mrisho kikwete.

Kamati kuu pia ilipokea taarifa juu ya utendaji wa serikali katika utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya ccm ya mwaka 2015-2020. Kwa ujumla na kwa kauli moja kamati kuu ya ccm taifa iliipongeza serikali ya awamu ya tano chini ya uongozi wa rais dkt. John pombe magufuli, makamu wa rais mheshimiwa samia suluhu na waziri mkuu mhe. Kassim m. Majaliwa kwa kasi nzuri waliyoanza nayo katika utekelezaji wa ilani hiyo.

Kamati kuu kwa niaba ya chama imeunga mkono hatua kadhaa zinazochukuliwa na serikali ya awamu ya tano katika kuhakikisha ilani ya uchaguzi ya ccm ya 2015-2020 inatekelezwa kwa ufanisi. Aidha, inapongeza na kuunga mkono juhudi kubwa zinazofanywa na serikali katika maeneo ya:-

(1) kusimamia vyanzo vya mapato ya serikali:

Kamati kuu inapongeza na kuunga mkono juhudi kubwa zinazofanywa na serikali ya awamu ya tano katika kuhakikisha kuwa mamlaka ya mapato tanzania (tra) na mamlaka ya bandari tanzania (tpa) zinasimamia ukusanyaji wa kodi za serikali ipasavyo. Juhudi hizi za serikali ya awamu ya tano kwa muda mfupi zimezaa matunda yanayoonekana wazi.
Aidha, kamati kuu inawataka wahusika mbalimbali kwenye maeneo hayo ya udhibiti wa vyanzo vya mapato kuhakikisha wanatoa ushirikiano kwa serikali ili lengo liweze kutimia.

(2) kudhibiti matumizi ya serikali:

Kama ilivyoagizwa na ilani ya uchaguzi ya ccm ya 2015-2020, serikali ya awamu ya tano imeanza vizuri na kwa kasi kusimamia udhibiti wa matumizi yasiyo ya lazima katika serikali, ili kutumia fedha hizo kwenye utoaji wa huduma kwa wananchi. Kamati kuu inaunga mkono juhudi hizi na kuwataka wote wanaohusika kwa namna moja ama nyingine na udhibiti wa matumizi hayo wamuunge mkono rais dkt. John pombe magufuli na serikali yake katika jitihada hizi.


(3) uhimizaji wa wananchi katika kufanya kazi kwa bidii:

Kamati kuu inawataka wanaccm na wananchi wote kwa ujumla nchini kumuunga mkono rais na serikali yake kwa kuitikia wito wa kufanya kazi kwa bidii, kwa maarifa na uzalendo. Kamati kuu inawahimiza watu wote kwenye maeneo yao ya kazi kujituma na kuchapa kazi ili kujenga nchi yetu na kumuunga mkono rais magufuli.

(4) kusimamia na kuhimiza uwajibikaji katika serikali, taasisi na mashirika yake:

Kamati kuu pia inapongeza na kuunga mkono juhudi zinazoendelea za kuhakikisha kunakuwa na uwajibikaji mkubwa serikalini ili kuongeza kasi na ubora wa utoaji huduma. Katika kipindi cha muda mfupi matunda yake yameanza kuonekana na hivyo kuweka msingi mzuri wa kuboresha huduma kwa umma kwa njia endelevu.

(5) juhudi na jitihada hizi za serikali ya awamu ya tano chini ya uongozi wa rais dkt. Magufuli zimeleta matumaini mapya kwa sehemu kubwa ya wananchi na kukuza imani kwa serikali yao. Hivyo, kila mtanzania ana wajibu wa kuunga mkono jitihada hizi.

Pamoja na kuunga mkono na kupongeza kasi waliyoanza nayo rais magufuli, makamu wa rais na waziri mkuu, kamati kuu inawataka viongozi wengine wote kuiga mfano huu mzuri na kuhakikisha wanatimiza wajibu wao ipasavyo ili kutekeleza kwa haraka zaidi ilani ya uchaguzi ya ccm na kuleta maendeleo nchini.

Aidha, kamati kuu inawatakia watanzania wote kheri ya krismas na mwaka mpya wa 2016, na inaamini mwaka ujao utakuwa wa kuchapa kazi na wenye mafanikio zaidi.


Imetolewa na:-

abdulrahman o. Kinana,
katibu mkuu wa ccm08/12/2015
atueleze ni wapi ilani ya c.c.m imesema itafuta safari za rais na kuonda paredi ya uhuru day?
 
KWA HIYO UNAFIKI WA JK ndio ameutolea tamko?Tuliposema JK ziara zake za nje hazina tija tulimaanisha.


Kinana nae amesahau,angemtaka Waziri mkuu ataje makampuni yaliyokuwa kwenye list ya kutolipa kodi maana kuna kampuni moja ya "Almasi" Shipping.....

Pia inasikitisha Kinana kutokuwa mkweli katika umri huu.Ni ilani gani ya CCM ambayo magufuli ametekeleza? Ataje ni ibara gani ya ilani ya CCM?

Mtu anatekeleza Ilani ya Chadema na kutupilia mbali ya CCM halafu katibu mkuu anaibuka na unafiki wa kumpongeza.

Tunaamini kwamba ingekuwa vyema kwa Rais kama angeomba ushauri wa namna ya kutekeleza ilani hii ili kuepusha makosa ambayo tuliyoyainisha.Ukisoma Ilani yetu ya Uchaguzi ya mwaka 2015-2020 kuanzia Ukurasa wa 10 hadi wa 16 utaona ahadi yetu kwa Watanzania tuliyoahidi endapo Mgombea wetu wa Urais angefanikiwa kutangazwa mshindi na kuunda serikali. Ambayo tuliahidi kuwa
??? Katiba ya wananchi ni kipaumbele namba moja,
hivyo serikali ya CHADEMA itaanzisha tena mchakato
wa katiba uliozingatia maoni ya wananchi. Lengo ni
kuhakikisha kwamba vifungu vinavyohusu tunu, maadili
na miiko ya uongozi vinakuwa kwenye katiba mpya ili
sheria na kanuni mpya ziweze kutungwa na kudhibitiwa
? Kujenga uzalendo ili kila Mtanzania aweze kutathmini
mchango wake kwa taifa kila siku
? Kuimarisha nidhamu, utendaji na uwajibikaji katika
Sekta ya Umma
? Kupiga vita/kuondoa rushwa/ufisadi na ubadhirifu
katika sekta ya Umma na binafsi
? Kuimarisha mchango wa Wataalam katika uendeshaji
wa nchi
? Kusimamia ukusanyaji na matumizi mazuri ya kodi na
mapato ya serikali na kupunguza mzigo wa kodi kwa
wananchi
? Kuboresha maslahi na vitendea kazi kwa watumishi wa
Umma
? Ikiwa ni pamoja na kupunguza kodi kwa wafanyakazi
ili kupunguza ukali wa maisha
? Kulipa mshahara wa mwezi kwa awamu mbili katika
mwezi ili kwendana na uhalisia wa hali ya maisha
? Kudhibiti na kupunguza matumizi ya serikali ikiwa ni
pamoja na kufuta safari za watumishi serikalini zisizokuwa
muhimu pamoja na zile za Rais na kupiga marufuku
matumizi ya magari ya anasa serikalini (mashangingi)
? Kudhibiti deni la Taifa kwa kuanza na ukaguzi wa
madeni ya serikali ili kuhakiki jinsi yalivyotumika
? Kuimarisha uwazi na kuondoa usiri katika shughuli za
serikali na kuweka bayana mikataba yote ya nchi
ikiwa ni pamoja na ile ya mafuta, madini na gesi asilia
ili watanzania waweze kuihakiki na Bunge lao liikubali
kabla ya kupitishwa na serikali
? Kuimarisha serikali za mitaa ili wananchi washiriki
kikamilifu katika maendeleo yao.?

Ili kutekeleza hayo ni lazima kuufumua mfumo kupitia katiba mpya hasa kuanzia pale Rasimu ya Warioba ilipoishia.
Rais hapaswi hata mara moja kujihusisha na vitendo vya kusamehe wahujumu uchumi badala ya kuachia mhimili wa mahakama kufanya kazi yake.

Too late
 
CCM ilikuwapo na imeyaona haya miaka nenda rudi, Je walikuwa wapi? Hizi ni juhudi binafsi za JPM na kwenye hili CCM bado mna tuhuma za uzembe ambao sisi wananchi hatuwezi kuwasamehe. Nyie ndiyo mmesababisha nchi ifike hapa ilipo.

Hizi ni juhudi binafsi za JPM, na wa hili sisi wananchi tunampa support yote.


Hongera Serikali ya Magufuli, umma wa watanzania tupo pamoja na wewe.
 
Jana tarehe 07/12/2015 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ilifanya kikao chake cha kawaida mjini Dar es salaam kwa siku moja. Kikao hicho kiliongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.

Kamati Kuu pia ilipokea taarifa juu ya utendaji wa Serikali katika utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015-2020. Kwa ujumla na kwa kauli moja Kamati Kuu ya CCM Taifa iliipongeza Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Makamu wa Rais Mheshimiwa Samia Suluhu na Waziri Mkuu Mhe. Kassim M. Majaliwa kwa kasi nzuri waliyoanza nayo katika utekelezaji wa Ilani hiyo.

Kamati Kuu kwa niaba ya Chama imeunga mkono hatua kadhaa zinazochukuliwa na Serikali ya Awamu ya Tano katika kuhakikisha Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2015-2020 inatekelezwa kwa ufanisi. Aidha, inapongeza na kuunga mkono juhudi kubwa zinazofanywa na Serikali katika maeneo ya:-

(1) Kusimamia vyanzo vya mapato ya Serikali:

Kamati Kuu inapongeza na kuunga mkono juhudi kubwa zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano katika kuhakikisha kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) zinasimamia ukusanyaji wa kodi za Serikali ipasavyo. Juhudi hizi za Serikali ya Awamu ya Tano kwa muda mfupi zimezaa matunda yanayoonekana wazi.
Aidha, Kamati Kuu inawataka wahusika mbalimbali kwenye maeneo hayo ya udhibiti wa vyanzo vya mapato kuhakikisha wanatoa ushirikiano kwa Serikali ili lengo liweze kutimia.

(2)Kudhibiti matumizi ya Serikali:

Kama ilivyoagizwa na Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2015-2020, Serikali ya Awamu ya Tano imeanza vizuri na kwa kasi kusimamia udhibiti wa matumizi yasiyo ya lazima katika Serikali, ili kutumia fedha hizo kwenye utoaji wa huduma kwa wananchi. Kamati Kuu inaunga mkono juhudi hizi na kuwataka wote wanaohusika kwa namna moja ama nyingine na udhibiti wa matumizi hayo wamuunge mkono Rais Dkt. John Pombe Magufuli na Serikali yake katika jitihada hizi.


(3)Uhimizaji wa wananchi katika kufanya kazi kwa bidii:

Kamati Kuu inawataka wanaCCM na wananchi wote kwa ujumla nchini kumuunga mkono Rais na Serikali yake kwa kuitikia wito wa kufanya kazi kwa bidii, kwa maarifa na uzalendo. Kamati Kuu inawahimiza watu wote kwenye maeneo yao ya kazi kujituma na kuchapa kazi ili kujenga nchi yetu na kumuunga mkono Rais Magufuli.

(4)Kusimamia na kuhimiza uwajibikaji katika Serikali, Taasisi na Mashirika yake:

Kamati Kuu pia inapongeza na kuunga mkono juhudi zinazoendelea za kuhakikisha kunakuwa na uwajibikaji mkubwa Serikalini ili kuongeza kasi na ubora wa utoaji huduma. Katika kipindi cha muda mfupi matunda yake yameanza kuonekana na hivyo kuweka msingi mzuri wa kuboresha huduma kwa umma kwa njia endelevu.

(5)Juhudi na jitihada hizi za Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Uongozi wa Rais Dkt. Magufuli zimeleta matumaini mapya kwa sehemu kubwa ya wananchi na kukuza imani kwa Serikali yao. Hivyo, kila Mtanzania ana wajibu wa kuunga mkono jitihada hizi.

Pamoja na kuunga mkono na kupongeza kasi waliyoanza nayo Rais Magufuli, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu, Kamati Kuu inawataka Viongozi wengine wote kuiga mfano huu mzuri na kuhakikisha wanatimiza wajibu wao ipasavyo ili kutekeleza kwa haraka zaidi Ilani ya Uchaguzi ya CCM na kuleta maendeleo nchini.

Aidha, Kamati Kuu inawatakia Watanzania wote kheri ya Krismas na mwaka mpya wa 2016, na inaamini mwaka ujao utakuwa wa kuchapa kazi na wenye mafanikio zaidi.


Imetolewa na:-

Abdulrahman O. Kinana,
KATIBU MKUU WA CCM08/12/2015
 
Ni muhimu wakategua kitendawili cha uchaguzi wa Zanzibar!

Haiwezekani. Kwanza hawana nia, azma, uthubuta, uibavu na jeuri ya kutegua kitendawili rahisi.

Inaauma , tena sana,kupigwa mwelekana kitoto ulichozaa mwenyewe! chali kifo cha mende!
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Jana tarehe 07/12/2015 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ilifanya kikao chake cha kawaida mjini Dar es salaam kwa siku moja. Kikao hicho kiliongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.

Kamati Kuu pia ilipokea taarifa juu ya utendaji wa Serikali katika utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015-2020. Kwa ujumla na kwa kauli moja Kamati Kuu ya CCM Taifa iliipongeza Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Makamu wa Rais Mheshimiwa Samia Suluhu na Waziri Mkuu Mhe. Kassim M. Majaliwa kwa kasi nzuri waliyoanza nayo katika utekelezaji wa Ilani hiyo.

Kamati Kuu kwa niaba ya Chama imeunga mkono hatua kadhaa zinazochukuliwa na Serikali ya Awamu ya Tano katika kuhakikisha Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2015-2020 inatekelezwa kwa ufanisi. Aidha, inapongeza na kuunga mkono juhudi kubwa zinazofanywa na Serikali katika maeneo ya:-

(1) Kusimamia vyanzo vya mapato ya Serikali:

Kamati Kuu inapongeza na kuunga mkono juhudi kubwa zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano katika kuhakikisha kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) zinasimamia ukusanyaji wa kodi za Serikali ipasavyo. Juhudi hizi za Serikali ya Awamu ya Tano kwa muda mfupi zimezaa matunda yanayoonekana wazi.
Aidha, Kamati Kuu inawataka wahusika mbalimbali kwenye maeneo hayo ya udhibiti wa vyanzo vya mapato kuhakikisha wanatoa ushirikiano kwa Serikali ili lengo liweze kutimia.

(2)Kudhibiti matumizi ya Serikali:

Kama ilivyoagizwa na Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2015-2020, Serikali ya Awamu ya Tano imeanza vizuri na kwa kasi kusimamia udhibiti wa matumizi yasiyo ya lazima katika Serikali, ili kutumia fedha hizo kwenye utoaji wa huduma kwa wananchi. Kamati Kuu inaunga mkono juhudi hizi na kuwataka wote wanaohusika kwa namna moja ama nyingine na udhibiti wa matumizi hayo wamuunge mkono Rais Dkt. John Pombe Magufuli na Serikali yake katika jitihada hizi.


(3)Uhimizaji wa wananchi katika kufanya kazi kwa bidii:

Kamati Kuu inawataka wanaCCM na wananchi wote kwa ujumla nchini kumuunga mkono Rais na Serikali yake kwa kuitikia wito wa kufanya kazi kwa bidii, kwa maarifa na uzalendo. Kamati Kuu inawahimiza watu wote kwenye maeneo yao ya kazi kujituma na kuchapa kazi ili kujenga nchi yetu na kumuunga mkono Rais Magufuli.

(4)Kusimamia na kuhimiza uwajibikaji katika Serikali, Taasisi na Mashirika yake:

Kamati Kuu pia inapongeza na kuunga mkono juhudi zinazoendelea za kuhakikisha kunakuwa na uwajibikaji mkubwa Serikalini ili kuongeza kasi na ubora wa utoaji huduma. Katika kipindi cha muda mfupi matunda yake yameanza kuonekana na hivyo kuweka msingi mzuri wa kuboresha huduma kwa umma kwa njia endelevu.

(5)Juhudi na jitihada hizi za Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Uongozi wa Rais Dkt. Magufuli zimeleta matumaini mapya kwa sehemu kubwa ya wananchi na kukuza imani kwa Serikali yao. Hivyo, kila Mtanzania ana wajibu wa kuunga mkono jitihada hizi.

Pamoja na kuunga mkono na kupongeza kasi waliyoanza nayo Rais Magufuli, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu, Kamati Kuu inawataka Viongozi wengine wote kuiga mfano huu mzuri na kuhakikisha wanatimiza wajibu wao ipasavyo ili kutekeleza kwa haraka zaidi Ilani ya Uchaguzi ya CCM na kuleta maendeleo nchini.

Aidha, Kamati Kuu inawatakia Watanzania wote kheri ya Krismas na mwaka mpya wa 2016, na inaamini mwaka ujao utakuwa wa kuchapa kazi na wenye mafanikio zaidi.


Imetolewa na:-

Abdulrahman O. Kinana,
KATIBU MKUU WA CCM08/12/2015
 

Attachments

  • 1449573674363.jpg
    1449573674363.jpg
    24 KB · Views: 474
KWA HIYO UNAFIKI WA JK ndio ameutolea tamko?Tuliposema JK ziara zake za nje hazina tija tulimaanisha.


Kinana nae amesahau,angemtaka Waziri mkuu ataje makampuni yaliyokuwa kwenye list ya kutolipa kodi maana kuna kampuni moja ya "Almasi" Shipping.....

Pia inasikitisha Kinana kutokuwa mkweli katika umri huu.Ni ilani gani ya CCM ambayo magufuli ametekeleza? Ataje ni ibara gani ya ilani ya CCM?

Mtu anatekeleza Ilani ya Chadema na kutupilia mbali ya CCM halafu katibu mkuu anaibuka na unafiki wa kumpongeza.

Tunaamini kwamba ingekuwa vyema kwa Rais kama angeomba ushauri wa namna ya kutekeleza ilani hii ili kuepusha makosa ambayo tuliyoyainisha.Ukisoma Ilani yetu ya Uchaguzi ya mwaka 2015-2020 kuanzia Ukurasa wa 10 hadi wa 16 utaona ahadi yetu kwa Watanzania tuliyoahidi endapo Mgombea wetu wa Urais angefanikiwa kutangazwa mshindi na kuunda serikali. Ambayo tuliahidi kuwa
??? Katiba ya wananchi ni kipaumbele namba moja,
hivyo serikali ya CHADEMA itaanzisha tena mchakato
wa katiba uliozingatia maoni ya wananchi. Lengo ni
kuhakikisha kwamba vifungu vinavyohusu tunu, maadili
na miiko ya uongozi vinakuwa kwenye katiba mpya ili
sheria na kanuni mpya ziweze kutungwa na kudhibitiwa
? Kujenga uzalendo ili kila Mtanzania aweze kutathmini
mchango wake kwa taifa kila siku
? Kuimarisha nidhamu, utendaji na uwajibikaji katika
Sekta ya Umma
? Kupiga vita/kuondoa rushwa/ufisadi na ubadhirifu
katika sekta ya Umma na binafsi
? Kuimarisha mchango wa Wataalam katika uendeshaji
wa nchi
? Kusimamia ukusanyaji na matumizi mazuri ya kodi na
mapato ya serikali na kupunguza mzigo wa kodi kwa
wananchi
? Kuboresha maslahi na vitendea kazi kwa watumishi wa
Umma
? Ikiwa ni pamoja na kupunguza kodi kwa wafanyakazi
ili kupunguza ukali wa maisha
? Kulipa mshahara wa mwezi kwa awamu mbili katika
mwezi ili kwendana na uhalisia wa hali ya maisha
? Kudhibiti na kupunguza matumizi ya serikali ikiwa ni
pamoja na kufuta safari za watumishi serikalini zisizokuwa
muhimu pamoja na zile za Rais na kupiga marufuku
matumizi ya magari ya anasa serikalini (mashangingi)
? Kudhibiti deni la Taifa kwa kuanza na ukaguzi wa
madeni ya serikali ili kuhakiki jinsi yalivyotumika
? Kuimarisha uwazi na kuondoa usiri katika shughuli za
serikali na kuweka bayana mikataba yote ya nchi
ikiwa ni pamoja na ile ya mafuta, madini na gesi asilia
ili watanzania waweze kuihakiki na Bunge lao liikubali
kabla ya kupitishwa na serikali
? Kuimarisha serikali za mitaa ili wananchi washiriki
kikamilifu katika maendeleo yao.?

Ili kutekeleza hayo ni lazima kuufumua mfumo kupitia katiba mpya hasa kuanzia pale Rasimu ya Warioba ilipoishia.
Rais hapaswi hata mara moja kujihusisha na vitendo vya kusamehe wahujumu uchumi badala ya kuachia mhimili wa mahakama kufanya kazi yake.

Mpelekeeni Rais Ilani yenu kama walivyofanya ACT...

Chama Tawala ni CCM na Ilani inayotekelezwa ni ya CCM...

Kusema kwamba Rais Magufuli anatekeleza Ilani ya CHADEMA/UKAWA ni kichekesho kama sio porojo...

Ni lini CHADEMA mmemkabidhi Rais Magufuli Ilani yenu mpaka mkaanza kujinasibu kwamba anatekeleza Ilani yenu?
 
CCM ilikuwapo na imeyaona haya miaka nenda rudi, Je walikuwa wapi? Hizi ni juhudi binafsi za JPM na kwenye hili CCM bado mna tuhuma za uzembe ambao sisi wananchi hatuwezi kuwasamehe. Nyie ndiyo mmesababisha nchi ifike hapa ilipo.

Hizi ni juhudi binafsi za JPM, na wa hili sisi wananchi tunampa support yote.


Hongera Serikali ya Magufuli, umma wa watanzania tupo pamoja na wewe.



CCM wanabadilika kulinjgana na mazingira hata huyo unaemtaja mda si mrefu atakabidhiwa kijiti cha uenyekiti.
 
atueleze ni wapi ilani ya c.c.m imesema itafuta safari za rais na kuonda paredi ya uhuru day?
Wewe nawe...

Too low...

Yaani unataka kila hatua itakayotumika kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ya serikali iwepo kwenye Ilani ya Uchaguzi...
 
Back
Top Bottom