Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
Huku Zanzibar nako kuna mfumo Kristo?
Hawa wachochezi wanaweza kuelezea nini kuhusu backwardness iliyoko huko Zanzibar ambako 99% ni waislam na hata uongozi, sheria na taratibu zimekaa kiislam zaidi?
Kwanini wanafanya fujo huko Zanzibar?
Hawa wachochezi wanaweza kuelezea nini kuhusu backwardness iliyoko huko Zanzibar ambako 99% ni waislam na hata uongozi, sheria na taratibu zimekaa kiislam zaidi?
Kwanini wanafanya fujo huko Zanzibar?