Huu ndo upuuzi unaonifanya nikisoma michango ya makafiri kama hawa mpaka natetemeka kwa hasira! Hivi muambiwe vp ndo muelewe kuwa huu ni uzushi kutaka kuvuruga ajenda iliyopo?
Mimi si mshabiki wa hiyo jumuiya lakini jaribuni kuwa waelewa, read between lines utapata kitu hapo.
Sikubali tu approach yao lakin msiwabeze kwa wanachokiona. Wekeni hoja zenu na nyie.
Ushasoma waraka wa Malasusa na makanisa mengine kuhusu sakata hili? hali si kama unavoiona em practice uGT wako hapa JF ingawa nafaham wavamizi ka wewe mpo wengi tu humu.