Mawenzi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,251
- 345
Tutaendelea na utaratibu wa kupiga mabomu kila jumatano kuanzia saa 2:30 mpaka saa 5 usiku mpaka watanzania kwa hiyari yenu mtakapo kubali deni la dowans lilipwe. Baada ya kuanza na maeneo ya gongo la mboto, kitunda, kivule, karakata, segerea, majohe, tabata. Jumatano ijayo tutapeleka mashambulizi maeneo ya kimara, mbezi, ubingo, mwenge, sinza, kijitonyama na kwa uchache maeneo ya manzese. Mungu ibariki tanzania, mungu ibariki afrika!