Tamko jipya la serkali kuhusu mabomu ya gongo la mboto!!

Mawenzi

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
1,251
344
Tutaendelea na utaratibu wa kupiga mabomu kila jumatano kuanzia saa 2:30 mpaka saa 5 usiku mpaka watanzania kwa hiyari yenu mtakapo kubali deni la dowans lilipwe. Baada ya kuanza na maeneo ya gongo la mboto, kitunda, kivule, karakata, segerea, majohe, tabata. Jumatano ijayo tutapeleka mashambulizi maeneo ya kimara, mbezi, ubingo, mwenge, sinza, kijitonyama na kwa uchache maeneo ya manzese. Mungu ibariki tanzania, mungu ibariki afrika!
 
Pia ukiona kitu si cha kawaida jaribu kukilipua na ukiona hakilipuki basi ni scraper chukua kauze ila kikilipuka jua ni bomu! Pia fanya jitihada juu chini ukajiunge na mgambo ili kukabiliana na milipuko mpaka dowans itakapo lipwa
 
Tutaendelea na utaratibu wa kupiga mabomu kila jumatano kuanzia saa 2:30 mpaka saa 5 usiku mpaka watanzania kwa hiyari yenu mtakapo kubali deni la dowans lilipwe. Baada ya kuanza na maeneo ya gongo la mboto, kitunda, kivule, karakata, segerea, majohe, tabata. Jumatano ijayo tutapeleka mashambulizi maeneo ya kimara, mbezi, ubingo, mwenge, sinza, kijitonyama na kwa uchache maeneo ya manzese. Mungu ibariki tanzania, mungu ibariki afrika!

Happly Joking because you don't have any concern for those who lost their lives due to the incident. you have lost the moral regard for humankind!. what is the difference between you and a dog for instance?. A dog has no moral values! .
 
......baada ya kumaliza Dar, enyi wakazi wa huko Dodoma maeneo ya Veyula, Msalato mpaka Mnadani mjiandae kwani mabomu yatalipuliwa pia.

Huko huko Dodoma, pia maeneo ya Ihumwa, Chadulu, Nzuguni hadi Makole Kaeni chonjo na muanze kuchukua tahadhari juu ya milipuko hiyo.

Enyi wakazi wa DOM muda ni ule ule kama ilivyokuwa Gongo la Mboto, yaani saa 2:30 hadi saa 5:00!!
 
......baada ya kumaliza Dar, enyi wakazi wa huko Dodoma maeneo ya Veyula, Msalato mpaka Mnadani mjiandae kwani mabomu yatalipuliwa pia.

Huko huko Dodoma, pia maeneo ya Ihumwa, Chadulu, Nzuguni hadi Makole Kaeni chonjo na muanze kuchukua tahadhari juu ya milipuko hiyo.

Enyi wakazi wa DOM muda ni ule ule kama ilivyokuwa Gongo la Mboto, yaani saa 2:30 hadi saa 5:00!!

AREA C,AREA D na uzunguni JE?
 
AREA C,AREA D na uzunguni JE?

Bajabiri,

Kwavile watalipua na Ballistic Missile; hata huko Area C, Area D, Uzunguni hadi Chinangali West.... nao pia waanze mazoezi ya kukimbia mapeeeeemaaaa.

Maana ktk hili wameona ni bora kuyalipua wao kuliko kusubiria yalipuke yenyewe!!!
 
Tutaendelea na utaratibu huo mpaka Mkwere ajiuzuru hii ndio stairi yetu mpya ya kugoma,
Kwa sababu Mkwere anatudharau sana sisi wanajeshi wa chini, tutamuuonyesha umuhimu wetu
 
Happly Joking because you don't have any concern for those who lost their lives due to the incident. you have lost the moral regard for humankind!. what is the difference between you and a dog for instance?. A dog has no moral values! .
Don' panic, its jokes ma dear
 
Happly Joking because you don't have any concern for those who lost their lives due to the incident. you have lost the moral regard for humankind!. what is the difference between you and a dog for instance?. A dog has no moral values! .


Sometime tunatakiwa tucheke sioni cha ajabu!, usikasirike
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom