Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,304
- 14,913
Leo mmetoa selection za kidato Cha tano. Kuna jambo limenishangaza sana tena mno
Ipo hivi mdogo wangu amepangiwa tahasusi ya HGL huko mkoan lakn maajabu yapo hapa katika matokeo yake ya kidato Cha nne
Hesabu B
Physics B
Chemistry A
Biology A
Kiswahili C
Geography B
Civics C
English C
Agriculture A
History C
Na machaguo yake yalikuwa PCB PCM na CBA
Lakn maajabu kachaguliwa HGL tena tahasusi yenye ufaulu hafifu Zaid ukilinganisha na tahasusi alizojaza Tena mm ndyo nilliyejaza online
Kuna Jambo halipo sawa TAMISEMI
Ipo hivi mdogo wangu amepangiwa tahasusi ya HGL huko mkoan lakn maajabu yapo hapa katika matokeo yake ya kidato Cha nne
Hesabu B
Physics B
Chemistry A
Biology A
Kiswahili C
Geography B
Civics C
English C
Agriculture A
History C
Na machaguo yake yalikuwa PCB PCM na CBA
Lakn maajabu kachaguliwa HGL tena tahasusi yenye ufaulu hafifu Zaid ukilinganisha na tahasusi alizojaza Tena mm ndyo nilliyejaza online
Kuna Jambo halipo sawa TAMISEMI