Tambua kama unadukuliwa WhatsApp yako

Dah! Sijasikia kesi hizo hapa kwetu
Hujasikia kwa sababu asilimia mia ya wadukuzi na wadukuliwa ni wapenzi walio katika hatua mchecheto ,mmoja anahisi anamegewa sasa akidukuliwa anafikiria msala wa kubambwa hafikirii kuwa mwenza wake kafanya jinai
 
Hujasikia kwa sababu asilimia mia ya wadukuzi na wadukuliwa ni wapenzi walio katika hatua mchecheto ,mmoja anahisi anamegewa sasa akidukuliwa anafikiria msala wa kubambwa hafikirii kuwa mwenza wake kafanya jinai
Mkuu umenena vyemaaa.
Udukuzi ni jambo linalo fanyika kwa siri sana.
 
Wizi mtupu.

Ungeeleza ukweli kama ulivyo sio unakuja na conclusion za ajabu utasema unafundisha wajinga.

Hiyo screen inaonyesha kua whatsapp inatumika kwenye computer, haimaanishi mtu anadukua, inamaanisha mtu alisetup kuruhusu atumie whatsapp kwenye computer basi, yaweza kua owner mwenyewe mwenye hiyo account kaamua kusetup kwenye laptop yake mwenyewe.

Kama ni mtu mwingine kasetup kwenye desktop yake, then njia pekee ya kudukua akifungua whatsapp desktop, inaleta notification kua Whatsapp web is active, kama sio wewe uliyefungua whatsapp web then labda hapo ndo kuna mtu anadukua ila si kwa ulichotaja hapo juu.

Be clear and specific sio unakaa kutisha watanzania, kumbuka the majority wanachukua maneno kama yalivyo hawajiongezi, wataanza kupanic bure tu kumbe ni wao wenyewe walioset whatsapp web.
 
Wizi mtupu.

Ungeeleza ukweli kama ulivyo sio unakuja na conclusion za ajabu utasema unafundisha wajinga.

Hiyo screen inaonyesha kua whatsapp inatumika kwenye computer, haimaanishi mtu anadukua, inamaanisha mtu alisetup kuruhusu atumie whatsapp kwenye computer basi, yaweza kua owner mwenyewe mwenye hiyo account kaamua kusetup kwenye laptop yake mwenyewe.

Kama ni mtu mwingine kasetup kwenye desktop yake, then njia pekee ya kudukua akifungua whatsapp desktop, inaleta notification kua Whatsapp web is active, kama sio wewe uliyefungua whatsapp web then labda hapo ndo kuna mtu anadukua ila si kwa ulichotaja hapo juu.

Be clear and specific sio unakaa kutisha watanzania, kumbuka the majority wanachukua maneno kama yalivyo hawajiongezi, wataanza kupanic bure tu kumbe ni wao wenyewe walioset whatsapp web.

Mkuu usiwe mbishi alicho kisema ni sahihi.. Ingia playstore download app ya weblite kisha scan barcode ya simu unayotaka kudukua.. Japokuwa unatumia App ila maneno utakayopewa ni kama mtu anatumia computer...

Hivyo sio lazima kwamba muhusika kaamua kutumia whatsapp yake kwenye computer
 
Mkuu usiwe mbishi alicho kisema ni sahihi.. Ingia playstore download app ya weblite kisha scan barcode ya simu unayotaka kudukua.. Japokuwa unatumia App ila maneno utakayopewa ni kama mtu anatumia computer...

Hivyo sio lazima kwamba muhusika kaamua kutumia whatsapp yake kwenye computer

Em soma nilichoandika alafu urudi tena.
Alichosema si sahihi, inaelekeana na ukweli ila ni uongo. Ukitumia whatsapp web wewe mwenyewe bado itaonekana kama alivyoonyesha hapo chini, hiyo haimaanishi kuna mtu anadukua mawasiliano yako, inamaasha tu kua unatumia whatsapp kwenye computer.

Em jaribu kuelewa vizuri nilichosema, sio kila kitu mnakaa mnadhani mnaibiwa.
 
Em soma nilichoandika alafu urudi tena.
Alichosema si sahihi, inaelekeana na ukweli ila ni uongo. Ukitumia whatsapp web wewe mwenyewe bado itaonekana kama alivyoonyesha hapo chini, hiyo haimaanishi kuna mtu anadukua mawasiliano yako, inamaasha tu kua unatumia whatsapp kwenye computer.

Em jaribu kuelewa vizuri nilichosema, sio kila kitu mnakaa mnadhani mnaibiwa.

Sasa kwani hapo nimeeleza nini na wewe hapa unaeleza nini.... Kwa kifupi uwe unatumia computer au unadukuliwa

Maelezo utakayo letewa ndio hayo hayo unayoyapinga

Na sisitiza tena mleta mada yupo sahihi
 
Wizi mtupu.

Ungeeleza ukweli kama ulivyo sio unakuja na conclusion za ajabu utasema unafundisha wajinga.

Hiyo screen inaonyesha kua whatsapp inatumika kwenye computer, haimaanishi mtu anadukua, inamaanisha mtu alisetup kuruhusu atumie whatsapp kwenye computer basi, yaweza kua owner mwenyewe mwenye hiyo account kaamua kusetup kwenye laptop yake mwenyewe.

Kama ni mtu mwingine kasetup kwenye desktop yake, then njia pekee ya kudukua akifungua whatsapp desktop, inaleta notification kua Whatsapp web is active, kama sio wewe uliyefungua whatsapp web then labda hapo ndo kuna mtu anadukua ila si kwa ulichotaja hapo juu.

Be clear and specific sio unakaa kutisha watanzania, kumbuka the majority wanachukua maneno kama yalivyo hawajiongezi, wataanza kupanic bure tu kumbe ni wao wenyewe walioset whatsapp web.
Kabla ya kuja kuandika ulicho andika mkuu nenda playstore tafuta whatsweb zitakuja App zaidi 20 ambazo zinafanya kazi sawa na hiyo whatsapp web ya kwenye pc.
So ipo hivi wewe unaweza ukawa na simu yako na mimi nina simu yangu, lakini nikataka kujua unachofanya kwenye whatsapp ya simu yako, nikidawnload hiyo app ya whatsweb kwenye simu yangu then nikichukua simu yako na ku scan tu tayari mimi nitakuwa na access ya kusoma kila kilichomo kwenye whatsapp yako, bila wewe kujua coz hakuna taarifa yoyote utakayotumiwa wewe kama ulivyo andika hapo juu.
Mimi ninaelewa nilicho kiandika kama hukuelewa sema nikuelekeze why niweka huu uzi hapa.
Wapo wapenzi wengi wanadukuliwa whatsapp zao kwa njia hii bila wao kujua.
 
Mkuu usiwe mbishi alicho kisema ni sahihi.. Ingia playstore download app ya weblite kisha scan barcode ya simu unayotaka kudukua.. Japokuwa unatumia App ila maneno utakayopewa ni kama mtu anatumia computer...

Hivyo sio lazima kwamba muhusika kaamua kutumia whatsapp yake kwenye computer
Mkuu wapo watu humu hujiona wanajua, kumbe hamna kitu.
Akiona post hapa hafikirii nje ya box bali anachokijua yeye tu.

Mimi kupitia hizo App niliwaza nje ya box nikagundua kuna jambo kama hili linawezekana, na ukifuatilia ni kweli lipo na wengi hawana ufahamu nalo.

Ingawa dhumuni la hicho kipengele cha whatsapp web haikuwa hiyo.
 
Zifuatazo ni hatua jinsi ya kuhakiki kama kuna mtu ana dukua mawasiliano yako ya WhatsApp kupitia kipengele cha Whatsapp web kwa wenye simu yako.
Kwakuwa kipengele hicho kiliwekwa kwaajili ya mtumiaji wa whatsapp aunganishe whatsapp account yake na kifaa kingine mfano pc, ili anapokuwa mbali na simu au pc aendelee kuwa connected.

Hatua ya 1.
Fungua whatsapp yako kisha upande wa juu kulia utaona vidoti vitatu (angalia mshale) gusa hapo itakuja menu.
52fc24f62d713b46299b039c0755b7c0.jpg


Hatua ya 2
Katika menu itakayotokea hapo angalia neno whatsapp web kisha gusa hapo.
8ee2ef6f2a9f66747612e441f271012e.jpg


Hatua ya 3.
Angalia kama utapata majibu yafuatayo.

Jibu A
Kama whatsapp yako ikija hivi
932bd7453800144874f3f575301b2309.jpg

Tambua upo safe hakuna mtu anadukua mawasiliano yako kwa njia hiyo ya whatsapp web.

Jibu B
Ukigusa lile neno whatsapp web ikafunguka hivi
6693875404337a2d71b34fcaa0077e93.jpg

Tambua kuna mtu anadukua mawaailiano yako ya whatsapp.
Kwa njia ya computer/laptop au kwa njia ya App ambazo zipo nyingi mno playstore.

Ili kujiondoa gusa hayo maneno ya blue hapo chini yanayo sema log out from all computers

Nawasilisha.
Je nikitaka kujua km whatsapp yngu ishawahi kudukuliwa then ikaachiwa? Nifanyeje
 
Back
Top Bottom