Tambo za Israil na Iran

Tambo za Israil na Iran

Status
Not open for further replies.
kILIO CHA MATAIFA ya kiarabu siku zote ni kuikomboa jerusalem na kuhakikisha mpalestina naitwaa ardhi yote ya Israel. Baada ya kujaribu vita tano mwaka 1967 mataifa yote ya kiarabu yaliungana na kuivamia Israel. Walipigwa vibaya sana na kunyang'anywa ardhi yao nyeti kama milima ya goran na jangwa la sinai. Sasa kama kuna mwamba huko mashariki ya kati inatakiwa avae jezi za kivita na kutia mguu kuivamia Israel halafu dunia ikae kimyaa aone cha moto. Kila mara mwarabu huwa mchokozi na Israel akimliza dun ia huingilia kati m,warabu aokolewe.

Acheni mawaidha ya kitoto hakuna mwamba huko mashariki ya kati kumtisha Israel. Kama yupo basi ukweli ni kuwa ni mowga au akaikoe jerusalem na msikiti wa AL aqsa.
we mtu ujitahidi kusoma history,wakati waarabu wanaichukua jerusalem na kukalia kwa maelfu ya miakd ulikuwa wapi?,ni mpaka pale waingereza walipoingia pale kimagirini ndo wakaweza kuwapa wayahudi eneo pale middle east.

Pale al aqsa ndo palikua hekalu la wayahudi,sasa kama wanajiamini hao jamaa si wavunje huo msikiti?
 
we mtu ujitahidi kusoma history,wakati waarabu wanaichukua jerusalem na kukalia kwa maelfu ya miakd ulikuwa wapi?,ni mpaka pale waingereza walipoingia pale kimagirini ndo wakaweza kuwapa wayahudi eneo pale middle east.

Pale al aqsa ndo palikua hekalu la wayahudi,sasa kama wanajiamini hao jamaa si wavunje huo msikiti?
Israel hawezi kuvunja msikiti wa Al Aqsa, anajua wazi akifanya vile ndio mwisho wake.

Achana naye dogo hajui anaongea hajui kama Israel ni taifa la mashoga, na wa Israel wenyewe wanajisifia kwamba nchi yao Israel, a gay heaven.
 
Umesema kweli tupu. Mwarabu kajaza chuki sana akilini mwake kiasi kasahau kabisaa kujijenga mwenyewe. Hapa tanzania tulipokuwa tunatawaliwa kidikteta tuliweka palestina day kuonesha kiburi chetu hadhalani kwa mataifa ya Ulaya ambayo ni rafiki mkubwa wa Israel. Baada ya kufa ujamaa na kujitegemea kwa haibu kubwa Tanzania ikajikuta inafuta palestina day kisirisiri.

Hivyo utakuta madikteta wote duniani lazima watanunuliwa kuwaunga mkono wapalestina ila nchi ikija kujikomboa kidemokrasia, utakuta mahali hapo mpalestina hana rafiki.

Mataifa ya kiarabu lazima siku zote yattawaliwa na Israel wapende wasipende na kama wanabisha basi wakaone pale Goran heights!
habari ndo hiyo
 
Saudi Arabia wanalindwa sana na US na UK...hata Israel akipewa silaha nao hupewa ili kubalance...Russia na China huwaua waislam kia kukicha kwa raha zao..ila islam is a coward religion ..si unajua cowrds wanavyoua ili kutishia wengine,ila nao wakitishwa vyema huuufyata...huwa wanchezea democrasia ya Kimang`aribu iliyobase ktk judeo christian civilization.wao wanatafsiri ustaarabu kuwa ni udhaifu....wazungu wanawajua hawa hawa wajing a kila siku huwapa ubunifu mpya ili hela yao iwe na kazi, mara zote wakibaki na hela ya ziada wanawaza ugaidi tuu....israel is far superior to all muslims...hata iran anachofanya kimecheleweshwa na Israel kwa kuingiza ipurities na computer viruses waliowarudisha nyuma.
exactly!!!!
 
Wachaga nadhani ni wa pili kutoka waisraeli ktk chuki ulizofundishwa na dini ya allah.....ungeeleza ukweli kidogo kuwa wake zako wa kiyahudi ingawa si lazima wawe waisraeli ...walikuwa ni faida ya muhamad ya ubakaji ktk vita na tamaa zake kwa wanawake wa kiyahudi na Kikristu..in fact imeshakuwa sunnah....kila muislam anaota kupata Mkristu au Myahudi...umesema pia chuki na zilzioandikwa dhidi ya wayahudi ktk quran na hadidth
😛hoto:Oh yes ha ha ha....To be straight..Mchagga hapendezi akiwa Mwislamu. ...
 
kwataarifa yako marekani ndo anabembeleza urafiki na saud arabia na si kinyume chake.

Saud ni moja kati ya nchi chache zinazoidai marekani na si kinyume chake.
Kama saud walivyoweza kuisambaratisha soviet union kwa kutumiwa na marekani kuweka mafuriko ya mafuta sokoni na hivyo kusababisha bei kuanguka na hivyo soviet kula hasara na kufilisika na hatimae kusambalatika,saud wanaweza kuifanya hivyo marekani kwa kuacha kuuza mafuta yake kwa dola za marekani.
Je umepata kusoma kuhusu petrodollar?.
.
Mkuu Saudi na US zinaungana kwakuwa Saudi kingdom inashambuliwa na Magaidi hivyo wao na US wanashirikiana katika kupambana na Ugaidi.
Kuhusu mafuta, lazima ujue kuwa kwasasa US inapata mafuta mengi yaliyogunduliwa kutoka nchi za Amerika ya kaskazini,(Mexico na Canada) ikiwemo na reserve yakeya Shale ambayo ni nyingi na imewekwa akiba kwa dharura za baadaye.

na zaidi ya yote, Saudi inategemea kwa 80% export ya mafuta yake kupata pesa kama sehemu ya bajeti ya kuendesha nchi yake, lakini uchumi umeendelea kuimarika kwa wasaudi, na hivyo kumeongezeka Hitaji la mafuta nchini kwake(Internal demand). Na hii inapunguza hitaji la kuuza nje(export demand), hapa utaona ushirika na US unavyopishana.
pia kuongezeka kwa ugunduzi wa mafuta maeneo mengi duniani kunahatarisha utegemezi wa US kwa saudi.


Prince Alwaleed bin Talal, founder of Kingdom Holding and a multi-billionaire investor in News Corp, Time Warner and Citigroup, among other companies, has told Saudi Oil Minister Ali Al-Naimi that the desert kingdom is making a mistake not to worry about burgeoning U.S. oil and gas production.In a letter published on Twitter, the prince calls rising American shale gas production "an inevitable threat." Saudi Arabia, he warns, "is almost entirely dependent on oil, and this reality is becoming a source of concern for all."
Saudis Fear US Shale Oil Boom - ABC News
Saudi, IEA talk impact of US shale on oil price | UTSanDiego.com
kuhusu Porxy war; Hili ni jambo wanalotegemeana pande zote. kuna wakati Iraq (chini ya Sadam)ilikuwa kitisho kwa US, kuwait, Saudi na maeneo mengi ya Uarabuni,
pia kuna wakati Amednejan(Iran)alikuwa kitisho kwa wasaudi, US na Israel, ambapo US ilishirikiana na Saudi katika ugomvi huo.hasa katika kuweka vikwazo vya kiuchumi dhidi ya utawala wa Iran na mipaka yake.

Lakini Kuchaguliwa kwa rais Hassan Rouhan(Iran) ambaye ameonekana anamtazamo wa majadiliano na US katika kumaliza mgogoro wa atomic energy, kunapelekea kutofautiana interest kati ya US na Saudi(wasuni) ambayo ina uadui mkubwa sana na utawala wa Washia wa Iran na kundi la kigaidi la Hezbollar. Hapa interest zake na US zitakufa.
 
Elungata: Kama wasuni na washia ilivyo ngumu kupatana,hata pia christian orthodox wa rusia hatakaa apatane kamwe na hawa christian wa west nations kamwe,na hawa ndo wataleta maangamizi ya dunia kwa kupigana vita vya 3 vya dunia,achana na vimigogoro vya wasun na washia kwani ni small scale na havina impact kubwa na amani ya dunia kama inavyoweza kutokea iwapo mataifa ya kikristo kama marekan na russia wakipigana.

Kuhusu Orthodoxy na western Xstian.
Christian orthodox wa Russia na hawa christian wa west nations Jambo moja ambalo ni wazi ni kuwa wakristo wote wa mashariki na wamagharibi wanamtambua Pope Francis na mapope wote wa Catholic kama viongozi mkuu wa kanisa. Hata anapoteuliwa wanashiriki maadhimisho ya Pope wao. Yaani kwa lugha rahisi .. hakuna pope wa Mashariki wala wa Magharibi.Pope ni wa wote.Kauli ya Pope ni kauli ya wote.na huuwa wanashirikiana.
Na pia Vatican wamekuwa wakijaribu kujenga urafiki na Uislamu, hasa wakati wa kipindi cha benedict XVI katika kudumisha amani na upendo,i hope it will work.
Kuhusu madhehebu ya Shia na Suni kupatana, hapa sina cha kusema, kwani kuna kawaida ya baadhi ya mifumo kuamuliwa na mwenye nguvu, na mwisho tukasema mungu kashinda.Si unawacheki waamadiya dhidi ya madhehebu mengine wanavyochukuliwa. Lakini pia uzito wa jambo unahusika katika kutabiri upatanisho. Migogoro yote ilianza small scale ikaongezea. kila mgogoro una umuhimu. Kuna madai vita ya kwanza ya dunia ilitokana na kijana mmoja wa miaka 18 kumwua rais. Lakini kitendo chake kikaigharimu dunia maisha ya watu wengi sana.

Hali ni tofauti sana na ukristo ambapo Niwazi kuwa Dini ya Ukristo hailindwi na nguvu za wanadamu.
Mungu Katika Yesu kristo, hasaidiwi kulinda dini yake na binadamu yoyote yule. hakuna binadamu aliye adui wa mungu katika kristo yesu. Wokovu ni bure kwa wote mwenye mwili. Hakuna mahali Yesu alitamka mtu apigane vita na mwanadamu mwingine ili kuulinda ukristo, hata Petro alipothubutu kumkata mtu sikio, akitaka kumlinda Yesu, bado Yesu alimkataza, vita pekee vya ukristo ni dhidi ya mashetani, mapepo, na majini, katika ulimwengu wa Roho. Na silaha kubwa maombi.
Mungu kamuumba kila mtu binadamu hivyo ni jukumu lake kuwakomboa wote kwa upendo wake. That's why ni ngumu kuhubiri Chuki kanisani dhidi ya mtu mwingine, kanisa ni mahali pa kuhubiri upendo wa mungu kwa mwanadamu wote bila kujali tofauti zetu kwani mungu ametuumba wote na anatupenda wote, kama watoto wake.
..kisasi ni juu ya mungu. Yesu anasema Usihukumu usije ukahukumiwa.

Mtu yeyote anayeenda kinyume na hili ni wazi kuwa hafanyi kazi ya mungu bali ya shetani. Yesu kristo alishasema kuwa shetani shetani ni muuaji na alikuwa muuaji tangu mwanzo na wala hakusimama kwenye kweli. Na hakuna ukombozi wa mashetani.period
 
We mtoto wa kichaga! Acha unafiki wako.
Unamjua mtume Muhammad wewe!?
Unasema alikuwa anawachukia Waisraeli! Una habari kuwa mmoja kati ya wake zake alikuwa MUISRAELI!?
Huna adabu wala nidhamu ya kujadili!
Tabia zako na chama cha wachaga vinafanana! Kazi ni kuzua uongo tu! Kama hao wayahudi!
Na nyie mnaojifanya wayahudi kiroho ndio wazushi wakubwa!

Kwenda kapate elimu kwanza ndipo uje u comment hapa! Sio jitoto kubwaa kuandika uongo!
Huoni aibu wewe! Au uongo ni moja ya mila za wa kishumundu!

Wanalishwa uongo kwa kuangalia TV halafu wanakuja kuandika uharo hapa barazani!

Ni bora wakasome kwanza ili wapanue ufahamu wao, na sio kuja na ngano za kubumba!
 
sijaona point ya maana ktk post yako. Ishu ni iran na israel, we unagusia uislam, uko timamu kweli wewe, gusa nchi husika na si imani zao.

mkuu hayo tulisha yamaliza
kuhusu Israel na Iran kupigana hiyo haikwepeki, it just a matter of Time.
Hatua wanazochukua wa-iran mpaka sasa ndizo zitapelekea Israel ianzishe preemptive attack ya mabomu kule Iran tena bila kumwuhusisha US.
i presume Russia ambaye ni mshirika wa karibu wa Iran anaweza kuingia kuisapoti Iran, kwani hawatakubali mikopo ya zana zao za kijeshi kuharibiwa kihasara bila deni kulipwa na mwiran.Na hapa pia US ikajikuta ikiingia kuisapoti Israel na western countries pia.
Aftermath Israel itashinda, kwani wame-advance sana wale.
 
kILIO CHA MATAIFA ya kiarabu siku zote ni kuikomboa jerusalem na kuhakikisha mpalestina naitwaa ardhi yote ya Israel. Baada ya kujaribu vita tano mwaka 1967 mataifa yote ya kiarabu yaliungana na kuivamia Israel. Walipigwa vibaya sana na kunyang'anywa ardhi yao nyeti kama milima ya goran na jangwa la sinai. Sasa kama kuna mwamba huko mashariki ya kati inatakiwa avae jezi za kivita na kutia mguu kuivamia Israel halafu dunia ikae kimyaa aone cha moto. Kila mara mwarabu huwa mchokozi na Israel akimliza dun ia huingilia kati m,warabu aokolewe.

Acheni mawaidha ya kitoto hakuna mwamba huko mashariki ya kati kumtisha Israel. Kama yupo basi ukweli ni kuwa ni mowga au akaikoe jerusalem na msikiti wa AL aqsa.
ha ha haha nimecheka basi.......
 

Kuhusu Orthodoxy na western Xstian.
Christian orthodox wa Russia na hawa christian wa west nations Jambo moja ambalo ni wazi ni kuwa wakristo wote wa mashariki na wamagharibi wanamtambua Pope Francis na mapope wote wa Catholic kama viongozi mkuu wa kanisa. Hata anapoteuliwa wanashiriki maadhimisho ya Pope wao. Yaani kwa lugha rahisi .. hakuna pope wa Mashariki wala wa Magharibi.Pope ni wa wote.Kauli ya Pope ni kauli ya wote.na huuwa wanashirikiana.
Na pia Vatican wamekuwa wakijaribu kujenga urafiki na Uislamu, hasa wakati wa kipindi cha benedict XVI katika kudumisha amani na upendo,i hope it will work.
Kuhusu madhehebu ya Shia na Suni kupatana, hapa sina cha kusema, kwani kuna kawaida ya baadhi ya mifumo kuamuliwa na mwenye nguvu, na mwisho tukasema mungu kashinda.Si unawacheki waamadiya dhidi ya madhehebu mengine wanavyochukuliwa. Lakini pia uzito wa jambo unahusika katika kutabiri upatanisho. Migogoro yote ilianza small scale ikaongezea. kila mgogoro una umuhimu. Kuna madai vita ya kwanza ya dunia ilitokana na kijana mmoja wa miaka 18 kumwua rais. Lakini kitendo chake kikaigharimu dunia maisha ya watu wengi sana.

Hali ni tofauti sana na ukristo ambapo Niwazi kuwa Dini ya Ukristo hailindwi na nguvu za wanadamu.
Mungu Katika Yesu kristo, hasaidiwi kulinda dini yake na binadamu yoyote yule. hakuna binadamu aliye adui wa mungu katika kristo yesu. Wokovu ni bure kwa wote mwenye mwili. Hakuna mahali Yesu alitamka mtu apigane vita na mwanadamu mwingine ili kuulinda ukristo, hata Petro alipothubutu kumkata mtu sikio, akitaka kumlinda Yesu, bado Yesu alimkataza, vita pekee vya ukristo ni dhidi ya mashetani, mapepo, na majini, katika ulimwengu wa Roho. Na silaha kubwa maombi.
Mungu kamuumba kila mtu binadamu hivyo ni jukumu lake kuwakomboa wote kwa upendo wake. That's why ni ngumu kuhubiri Chuki kanisani dhidi ya mtu mwingine, kanisa ni mahali pa kuhubiri upendo wa mungu kwa mwanadamu wote bila kujali tofauti zetu kwani mungu ametuumba wote na anatupenda wote, kama watoto wake.
..kisasi ni juu ya mungu. Yesu anasema Usihukumu usije ukahukumiwa.

Mtu yeyote anayeenda kinyume na hili ni wazi kuwa hafanyi kazi ya mungu bali ya shetani. Yesu kristo alishasema kuwa shetani shetani ni muuaji na alikuwa muuaji tangu mwanzo na wala hakusimama kwenye kweli. Na hakuna ukombozi wa mashetani.period
kumbe huna habari kuwa orthodox christian wana pope wao?.
 
kumbe huna habari kuwa orthodox christian wana pope wao?.
upo sahihi mkuu.

Rome intervened to safeguard the observation of legal rules, to maintain the orthodoxy of faith and to ensure communion between the two parts of the church,
 
Mkuu Saudi na US zinaungana kwakuwa Saudi kingdom inashambuliwa na Magaidi hivyo wao na US wanashirikiana katika kupambana na Ugaidi.
Kuhusu mafuta, lazima ujue kuwa kwasasa US inapata mafuta mengi yaliyogunduliwa kutoka nchi za Amerika ya kaskazini,(Mexico na Canada) ikiwemo na reserve yakeya Shale ambayo ni nyingi na imewekwa akiba kwa dharura za baadaye.

na zaidi ya yote, Saudi inategemea kwa 80% export ya mafuta yake kupata pesa kama sehemu ya bajeti ya kuendesha nchi yake, lakini uchumi umeendelea kuimarika kwa wasaudi, na hivyo kumeongezeka Hitaji la mafuta nchini kwake(Internal demand). Na hii inapunguza hitaji la kuuza nje(export demand), hapa utaona ushirika na US unavyopishana.
pia kuongezeka kwa ugunduzi wa mafuta maeneo mengi duniani kunahatarisha utegemezi wa US kwa saudi.


Prince Alwaleed bin Talal, founder of Kingdom Holding and a multi-billionaire investor in News Corp, Time Warner and Citigroup, among other companies, has told Saudi Oil Minister Ali Al-Naimi that the desert kingdom is making a mistake not to worry about burgeoning U.S. oil and gas production.In a letter published on Twitter, the prince calls rising American shale gas production "an inevitable threat." Saudi Arabia, he warns, "is almost entirely dependent on oil, and this reality is becoming a source of concern for all."
Saudis Fear US Shale Oil Boom - ABC News
Saudi, IEA talk impact of US shale on oil price | UTSanDiego.com
kuhusu Porxy war; Hili ni jambo wanalotegemeana pande zote. kuna wakati Iraq (chini ya Sadam)ilikuwa kitisho kwa US, kuwait, Saudi na maeneo mengi ya Uarabuni,
pia kuna wakati Amednejan(Iran)alikuwa kitisho kwa wasaudi, US na Israel, ambapo US ilishirikiana na Saudi katika ugomvi huo.hasa katika kuweka vikwazo vya kiuchumi dhidi ya utawala wa Iran na mipaka yake.

Lakini Kuchaguliwa kwa rais Hassan Rouhan(Iran) ambaye ameonekana anamtazamo wa majadiliano na US katika kumaliza mgogoro wa atomic energy, kunapelekea kutofautiana interest kati ya US na Saudi(wasuni) ambayo ina uadui mkubwa sana na utawala wa Washia wa Iran na kundi la kigaidi la Hezbollar. Hapa interest zake na US zitakufa.
uwage unafanya research kwanza kabla hujasema,vinginevo unajichora.any,kwanza jitahidi kuwa unaepuka kuingiza maswala ya dini kwenye mjadala ambao sio wa kidini,kwani utaonekana we ni mdini ambae hawezi kuthink straight kiasi kila kitu kuhusu israel unakipa sura ya kidini.

Hivi unadhani uhusiano wa marekan na saud ni kwa ajili ya saud kuipa mafuta marekani?.
Unajua capacity ya marekani ya oil production?.
Marekani haitegemei sana mafuta ya wasaud,wao wanazalisha na pia wananunua venezuela etc.
Kwanini marekani basi hujibembeleza kwa saud hadi wakati mwingine king Abdullah anaweza kumbwatukia obama?.
Soma post ya chini.
 
It is because the level of america investiment in saudia EXCEED that of the REST OF THE WORLDS INVESTMENT on one hand and on other hand US BENEFIT from having the bulk of saud arabia's FOREIN BANK DEPOSIT,its investment in America corporation,its holding of official TREASURE and other US DEPT,its having rescued the world largest financial institutional,CITBANK when it was about to go bunkrupt etc.
US benefit from saud's PURCHASE of ten's of bilions of dollar in america MANUFACTURE DEFENCE and security structures and systems,ammunitions,spare parts and maintenence services that can help to EXTEND the life of US INDUSTRIAL PRODUCTION LINES and provide job for MILLIONS OF AMERICANS,all of which has contributed to the americans globally envied STANDARD OF LIVING OF MILLIONS OF AMERICAN AND THEIR FAMILIES.
Saudi Arabia-U.S. Relations Reconsidered | Arabia, the Gulf, and the GCC Blog
 
Hivi unadhani uhusiano wa marekan na saud ni kwa ajili ya saud kuipa mafuta marekani?.
Unajua capacity ya marekani ya oil production?.
Marekani haitegemei sana mafuta ya wasaud,wao wanazalisha na pia wananunua venezuela etc.
Kwanini marekani basi hujibembeleza kwa saud hadi wakati mwingine king Abdullah anaweza kumbwatukia obama?.
Soma post ya chini.
Mkuu unapotumia neno kujibembeleza, lina kiashiria kuwa marekani ndio wenye shida. Tatizo ni kuwa kile kinachozungumza na viongozi hatupewi wote. hawa watu wana strategic relation;Kile wanahokitumia kutupata washabiki ni matokeo ya propaganda zao.
kwani naimani hata wewe binafsi unaona kuna kila sababu marekani isiwe rafiki na saudia. Mfano Sadamh Hussein aliwahi kulalamika kuwa anasemwa yeye hatoi uhuru wa wanawake nchini kwake akahoji Saudia ndio vinara wa hili tatizo lakii hawalaumiwi. Na wachambuzi wengi wakasema kama hiyo ni hoja US anatakiwa aanze na Saudi kwanza.

uhusiano wa Saudi na US

ni ukweli kuwa utawala was Saudia unachukiwa na Extremists mfano mmoja wapo ni aliyekuwa raisa wake Osama bin Laden. Na ni wazi kuwa US inachukiwa na Extremists. hivyo ufalme wa saudi na US zinashirikiana kwenye hili swala la kupambana na Ugaidi, mfano uS anaweza kurusha drone zake katika anga ya Saudi.

Pia ugomvi wa iran na US ulioibuka wakati wa mapinduzi ya Iran pamoja na ugomvi wa Saudi(SUNI) na Iran(utawala wa washia). ugomvi huu unawaunganisha marekani na Saudia.Kwani Iran amekuwa adui wa wote.
Sanctions walizoweka wamarekani dhidi ya IRan zinasapotiwa na Saudia kulinda mipaka inayoizunguka IRan.

matatizo ya Syria yanafanya Saudia waungane na marekani.
uuzaji wa mafuta ya Saudi kwa Marekani.na uuzaji wa silaha wa makampuni ya US kwa utawala wa saudi.
.
strategic relation ndio jambo linalozifanya hizi nchi kuwa na urafiki usiotabirika mfano.Iraq ya sadam ilikuwa na Urafiki na US na ikauziwa silaha nyingi na marekani. kuishambulia IRan, kwa miaka karibu kumi.Pia Taliban walishakuwa na urafiki na marekani wakawa wanauziwa silaha, urafiki ukavunjika pale Taliban walipoichukua afghanistan.

kuna jambo moja linawafanya US na Saudi waonekane kuwa hawatadumu urafiki wao. nalo ni extremist wengi walioko Saudi.Ambapo ikitokea utawala ule unaondoka kwa mapinduzi bila shaka. US kitumbua kitaingia mchanga
 

Kuhusu Orthodoxy na western Xstian.
Christian orthodox wa Russia na hawa christian wa west nations Jambo moja ambalo ni wazi ni kuwa wakristo wote wa mashariki na wamagharibi wanamtambua Pope Francis na mapope wote wa Catholic kama viongozi mkuu wa kanisa. Hata anapoteuliwa wanashiriki maadhimisho ya Pope wao. Yaani kwa lugha rahisi .. hakuna pope wa Mashariki wala wa Magharibi.Pope ni wa wote.Kauli ya Pope ni kauli ya wote.na huuwa wanashirikiana.
Na pia Vatican wamekuwa wakijaribu kujenga urafiki na Uislamu, hasa wakati wa kipindi cha benedict XVI katika kudumisha amani na upendo,i hope it will work.
Kuhusu madhehebu ya Shia na Suni kupatana, hapa sina cha kusema, kwani kuna kawaida ya baadhi ya mifumo kuamuliwa na mwenye nguvu, na mwisho tukasema mungu kashinda.Si unawacheki waamadiya dhidi ya madhehebu mengine wanavyochukuliwa. Lakini pia uzito wa jambo unahusika katika kutabiri upatanisho. Migogoro yote ilianza small scale ikaongezea. kila mgogoro una umuhimu. Kuna madai vita ya kwanza ya dunia ilitokana na kijana mmoja wa miaka 18 kumwua rais. Lakini kitendo chake kikaigharimu dunia maisha ya watu wengi sana.

Hali ni tofauti sana na ukristo ambapo Niwazi kuwa Dini ya Ukristo hailindwi na nguvu za wanadamu.
Mungu Katika Yesu kristo, hasaidiwi kulinda dini yake na binadamu yoyote yule. hakuna binadamu aliye adui wa mungu katika kristo yesu. Wokovu ni bure kwa wote mwenye mwili. Hakuna mahali Yesu alitamka mtu apigane vita na mwanadamu mwingine ili kuulinda ukristo, hata Petro alipothubutu kumkata mtu sikio, akitaka kumlinda Yesu, bado Yesu alimkataza, vita pekee vya ukristo ni dhidi ya mashetani, mapepo, na majini, katika ulimwengu wa Roho. Na silaha kubwa maombi.
Mungu kamuumba kila mtu binadamu hivyo ni jukumu lake kuwakomboa wote kwa upendo wake. That's why ni ngumu kuhubiri Chuki kanisani dhidi ya mtu mwingine, kanisa ni mahali pa kuhubiri upendo wa mungu kwa mwanadamu wote bila kujali tofauti zetu kwani mungu ametuumba wote na anatupenda wote, kama watoto wake.
..kisasi ni juu ya mungu. Yesu anasema Usihukumu usije ukahukumiwa.

Mtu yeyote anayeenda kinyume na hili ni wazi kuwa hafanyi kazi ya mungu bali ya shetani. Yesu kristo alishasema kuwa shetani shetani ni muuaji na alikuwa muuaji tangu mwanzo na wala hakusimama kwenye kweli. Na hakuna ukombozi wa mashetani.period
sasa ndugu yangu mbona tena umegeuza hapa eneo la mahubiri?.

Tuseme kila mtu aanze kuhubiri hapa,pataeleweka kweli?.

N.B=ASIYE NA UPANGA AUZE JOHO LAKE ANUNUE.
 
It is because the level of america investiment in saudia EXCEED that of the REST OF THE WORLDS INVESTMENT on one hand and on other hand US BENEFIT from having the bulk of saud arabia's FOREIN BANK DEPOSIT,its investment in America corporation,its holding of official TREASURE and other US DEPT,its having rescued the world largest financial institutional,CITBANK when it was about to go bunkrupt etc.
US benefit from saud's PURCHASE of ten's of bilions of dollar in america MANUFACTURE DEFENCE and security structures and systems,ammunitions,spare parts and maintenence services that can help to EXTEND the life of US INDUSTRIAL PRODUCTION LINES and provide job for MILLIONS OF AMERICANS,all of which has contributed to the americans globally envied STANDARD OF LIVING OF MILLIONS OF AMERICAN AND THEIR FAMILIES.
Saudi Arabia-U.S. Relations Reconsidered | Arabia, the Gulf, and the GCC Blog
Mkuu haya usemayo ni kweli kabisa lakini pia yapo ulaya pia.
Wasaudi wananufaika pia.
 
sasa ndugu yangu mbona tena umegeuza hapa eneo la mahubiri?.

Tuseme kila mtu aanze kuhubiri hapa,pataeleweka kweli?.

N.B=ASIYE NA UPANGA AUZE JOHO LAKE ANUNUE.
ha ha ha, achana na hii kitu mkuu. huku tulishapita. ha ha:A S angel::smiling:

NB: pengine upanga ni msemo tu, kwani PEtro aliitwa shetani na Yesu, kwa kosa kuwaza yasio ya Mungu..
 
Mkuu unapotumia neno kujibembeleza, lina kiashiria kuwa marekani ndio wenye shida. Tatizo ni kuwa kile kinachozungumza na viongozi hatupewi wote. hawa watu wana strategic relation;
ni ukweli kuwa utawala was Saudia unachukiwa na Extremists mfano mmoja wapo ni aliyekuwa raisa wake Osama bin Laden. Na ni wazi kuwa US inachukiwa na Extremists pia tena kuliko Israel. hivyo ufalme wa saudi na US zinashirikiana kwenye hili swala la kupambana na Ugaidi, mfano uS anaweza kurusha drone zake katika anga ya Saudi.

Pia ugomvi wa iran na US ulioibuka wakati wa mapinduzi ya Iran pamoja na ugomvi wa Saudi(SUNI) na Iran(utawala wa washia). ugomvi huu unawaunganisha marekani na Saudia.Kwani Iran amekuwa adui wa wote.
matatizo ya Syria yanafanya Saudia waungane na marekani.
uuzaji wa mafuta ya Saudi kwa Marekani.na uuzaji wa silaha wa makampuni ya US kwa utawala wa saudi.
.
strategic relation ndio jambo linalozifanya hizi nchi kuwa na urafiki usiotabirika mfano.Iraq ya sadam ilikuwa na Urafiki na US na ikauziwa silaha nyingi na marekani. kuishambulia IRan, kwa miaka karibu kumi.Pia Taliban walishakuwa na urafiki na marekani wakawa wanauziwa silaha, urafiki ukavunjika pale Taliban walipoichukua afghanistan.
kuna jambo moja linawafanya wasionekane kuwa watadumu kama marafiki wa kudumu. nalo ni extremist wengi walioko Saudi.
mhh,naona huwapendi sana wairan sijui kwanini,lakini kumbuka hawa wapersia chini ya king cyrus(mfalme koresh),walipovamia jerusalem kipindi inakaliwa na wababel ambao walikua wamefukuza wayahudi wote toka jerusalem na kulivunja hekalu la solomon,ni huyu huyu koreshi aliruhusu wayahudi kurudi jerusalem na akawasaidia kujengwa kwa hekalu lao na pia kuwaruhusu waabudu.

Iran ya leo ina jamii ya kiyahudi na wanaishi na kuabudi dini yao bila shida kiasi cha kugoma kurudi israel hata baada ya israel kuwapa offer ya dola 10,000 kwa kila iranian jew atakaekubali kurudi israel.
Iran upo uhuru wa kuabudu hata kwa wakristo,kuna makanisa pia,sasa chuki yako inatokea wapi asee?.

Je wajua kuwa saudia makanisa marufuku?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom