2013
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 11,361
- 6,083
Kuishambulia Israel ni sawa na kuishambulia marekani.What is the truth? May you care to explain
maendeleo mengi ya marekani yanahusika na jews ambapo wale waliohamia Urusi walibaguliwa wakaondoka lakini waliokuwa marekani hawakubagulia. wakaweza kustawi na kujenga vyuo vikuu vikubwa nchini marekani, viwanda, makampuni n.k. na pia kuingia katika siasa za kimarekani ikiwemo kupigania uhuru wa marekani.
marekani inaviongozi wengi wa juu katika system ambao ni jews descendants, na ndio walioasisi uwepo wa Taifa hilo pale middle east. Na wengi wapo chama cha Republican kuliko Democrat, ndio maana kuna tetesi kuwa Bush ni jews origin kwani naye ni kutoka chama cha Republican.Na uwepo wao ndio una-influence US kuingilia jambo lolote linalowagusa Jews welfare pale mashariki ya kati. wengi wanadhani US wanaisapoti Israel kwa sababu za ukristo lakini uhusiano wao ni wa kidamu zaidi na ndugu zao wanaoendesha taifa la marekani. Pia wanavyama vyao vya kujenga na kuimarisha umoja wao.Jews kwa asili ni wafanya biashara na wanasayansi wazuri duniani.
Kama kuna nchi angalau inatechnolojia basi ni Iran ambayo inapewa sapoti na Russia. zilizobaki hazina mfupa wa kupambana na Israel.Russia imekuwa ikizisapoti nchi za kiarabu kwa lengo la kudhohofisha ustawi wa marekani, ndio maana Russia hawako na Israel ila wako na Syria, Iran, na nchi zote za mashariki zinazopingana na Israel.Hata vita ya siku sita ilisimamishwa isiendelee baada ya Russia kulalamika kipigo kimekuwa kikali na kikiendelea ataingia vitani dhidi ya Israel na ndipo marekani wakamshi israel asitishe kipigo zaidi.