Tambo za Israil na Iran

Tambo za Israil na Iran

Status
Not open for further replies.
What is the truth? May you care to explain
Kuishambulia Israel ni sawa na kuishambulia marekani.
maendeleo mengi ya marekani yanahusika na jews ambapo wale waliohamia Urusi walibaguliwa wakaondoka lakini waliokuwa marekani hawakubagulia. wakaweza kustawi na kujenga vyuo vikuu vikubwa nchini marekani, viwanda, makampuni n.k. na pia kuingia katika siasa za kimarekani ikiwemo kupigania uhuru wa marekani.
marekani inaviongozi wengi wa juu katika system ambao ni jews descendants, na ndio walioasisi uwepo wa Taifa hilo pale middle east. Na wengi wapo chama cha Republican kuliko Democrat, ndio maana kuna tetesi kuwa Bush ni jews origin kwani naye ni kutoka chama cha Republican.Na uwepo wao ndio una-influence US kuingilia jambo lolote linalowagusa Jews welfare pale mashariki ya kati. wengi wanadhani US wanaisapoti Israel kwa sababu za ukristo lakini uhusiano wao ni wa kidamu zaidi na ndugu zao wanaoendesha taifa la marekani. Pia wanavyama vyao vya kujenga na kuimarisha umoja wao.Jews kwa asili ni wafanya biashara na wanasayansi wazuri duniani.
Kama kuna nchi angalau inatechnolojia basi ni Iran ambayo inapewa sapoti na Russia. zilizobaki hazina mfupa wa kupambana na Israel.Russia imekuwa ikizisapoti nchi za kiarabu kwa lengo la kudhohofisha ustawi wa marekani, ndio maana Russia hawako na Israel ila wako na Syria, Iran, na nchi zote za mashariki zinazopingana na Israel.Hata vita ya siku sita ilisimamishwa isiendelee baada ya Russia kulalamika kipigo kimekuwa kikali na kikiendelea ataingia vitani dhidi ya Israel na ndipo marekani wakamshi israel asitishe kipigo zaidi.
 
Hivi kwasasa hivi ukiwa na short au long range missiles unamtisha nani? Labda nchi za Africa lakini sio ulaya wala america coz wana anti ballistic missiles na makombora mengine kwaajili ya kutungulia makombora kabla hayajafika kwenye target respectively.
Mi nadhani tishio ni kuwa na long range missiles ambazo zinabeba nukes kitu ambacho Iran kwasasa hana. Kingine Israel hawezi kuishambulia Iran kama USA hayuko tayari maana kitendo cha Israel kuishambulia Iran kitaiamsha Russia ambaye ni rafik wa Iran na USA + NATO's members hawatakuwa tayari kuona Rassia akimobilize jeshi lake against Israel.
Kiufupi dunia haiko tayari kuona WWW 3 ikitokea na uwoga huu unaletwa na umilikaji wa Nyuklia bombs kambi mbili tofauti.
kuna watu wanaongea uwongo ili ku-provoke.Wakati ukweli uko wazi kuwa Israel ina-survive kibishi pale mashariki ya kati, nahayo mataifa yasiyoitaka israel yamebaki kuhujumu kupitia wanaojitoa mhanga. Lakini hayathubutu kutangaza vita dhidi ya Israel. Kuna short courses za kujifunza mbinu za kujitoa mhanga na zina-recruit believers wakafe mbele ya israel., zinazofadhiliwa na mataifa ya kiarabu ili kuihujumu israel ikiwemo na marekani.
Taifa kama Israel halijakaa kizembe pale mashariki ama sivyo lisingekuwepo siku nyingi sana.iran inatarajiwa kuwa kitisho ikiwa itafanikiwa kumiliki bomu la nyuklia na si vinginevyo.Ndio maana netanyau amesema kama US hawatamzuia atashambulia maeneo yenye hivyo vinu vya nyuklia vya Iran.Na ikitokea ni wazi kuwa utawala wa kidini wa Iran unaenda kutoweka.Na hii itawafurahisha Suni walio wengi wenye uadui na Iran hasa Saudia Arabia.
 
Not true..:A S 13:
kwa jinsi waarabu na waislamu wote duniani wanavyoichukia Israel wangeshaishambulia siku nyingi sana. Wanaichukia kama mtume Muhammad alivyowachukia waIsrael.
Ukweli ni kuwa Waislamu na waarabu wote wa mashariki ya kati wanajua fika kuwa wao bado junior sana kwa Israel , na ikitokea wameishambulia itawagharimu sana. History is the best teacher..kama ilivyowahi kuwakuta katika vita ya siku sita. Hawawezi kuthubutu wanaishia tu kulalamika kuwa Israel inawaua wapalestina kila siku.nk.

We mtoto wa kichaga! Acha unafiki wako.
Unamjua mtume Muhammad wewe!?
Unasema alikuwa anawachukia Waisraeli! Una habari kuwa mmoja kati ya wake zake alikuwa MUISRAELI!?
Huna adabu wala nidhamu ya kujadili!
Tabia zako na chama cha wachaga vinafanana! Kazi ni kuzua uongo tu! Kama hao wayahudi!
Na nyie mnaojifanya wayahudi kiroho ndio wazushi wakubwa!

Kwenda kapate elimu kwanza ndipo uje u comment hapa! Sio jitoto kubwaa kuandika uongo!
Huoni aibu wewe! Au uongo ni moja ya mila za wa kishumundu!
 
  • Thanks
Reactions: Izz
kuna watu wanaongea uwongo ili ku-provoke.Wakati ukweli uko wazi kuwa Israel ina-survive kibishi pale mashariki ya kati, nahayo mataifa yasiyoitaka israel yamebaki kuhujumu kupitia wanaojitoa mhanga. Lakini hayathubutu kutangaza vita dhidi ya Israel. Kuna short courses za kujifunza mbinu za kujitoa mhanga na zina-recruit believers wakafe mbele ya israel., zinazofadhiliwa na mataifa ya kiarabu ili kuihujumu israel ikiwemo na marekani.
Taifa kama Israel halijakaa kizembe pale mashariki ama sivyo lisingekuwepo siku nyingi sana.iran inatarajiwa kuwa kitisho ikiwa itafanikiwa kumiliki bomu la nyuklia na si vinginevyo.Ndio maana netanyau amesema kama US hawatamzuia atashambulia maeneo yenye hivyo vinu vya nyuklia vya Iran.Na ikitokea ni wazi kuwa utawala wa kidini wa Iran unaenda kutoweka.Na hii itawafurahisha Suni walio wengi wenye uadui na Iran hasa Saudia Arabia.

Bla bla bla!
Hina lolote ulijualo zaidi ya kuangalia hizo channel za kiyahudi na kutuletea hapa!

Wayahudi mpaka leo ni TEGEMEZI kwa wamarekani.!
Hawana uwezo wa kujiendeshea maisha yao bila kulamba makalio ya wamarekani!
Tofauti na hao waarabu ambao hawategemei msaada wa taifa llt!
Wamarekanj ni watu wa kujipendekeza kwa matajiri na ndio maana unaona wamejaa kwenye nchi za waarabu!
Na km ulikuwa huna elimu leo ndio ufahamu kuwa Saudi arabia royal family na israeli ni chanda na pete! Ndio sababu unaona hakuna la maana waarabu wamefanya mpaka sasa kuuondoa huo utawala dhalimu wa kiyahudi!

Leo hii ile familia ya kifalme ya saudia ikitoka madarakani basi wayahudi wape siku chache tu utawaka moto mkali sana pale tel aviv!

Kasome yale yalio ya kweli, sio kuangalia fox news halafu kuja kupakuwa hapa uongo wa wayahudi!
 
Bla bla bla!
Hina lolote ulijualo zaidi ya kuangalia hizo channel za kiyahudi na kutuletea hapa!

Wayahudi mpaka leo ni TEGEMEZI kwa wamarekani.!
Hawana uwezo wa kujiendeshea maisha yao bila kulamba makalio ya wamarekani!
Tofauti na hao waarabu ambao hawategemei msaada wa taifa llt!
Wamarekanj ni watu wa kujipendekeza kwa matajiri na ndio maana unaona wamejaa kwenye nchi za waarabu!
Na km ulikuwa huna elimu leo ndio ufahamu kuwa Saudi arabia royal family na israeli ni chanda na pete! Ndio sababu unaona hakuna la maana waarabu wamefanya mpaka sasa kuuondoa huo utawala dhalimu wa kiyahudi!

Leo hii ile familia ya kifalme ya saudia ikitoka madarakani basi wayahudi wape siku chache tu utawaka moto mkali sana pale tel aviv!

Kasome yale yalio ya kweli, sio kuangalia fox news halafu kuja kupakuwa hapa uongo wa wayahudi!

Can Israel's natural gas reserves pump up regional peace? - CSMonitor.com

saudia inawasapoti wasuni na inachuki kubwa dhidi ya washia wa iran.Hizi chuki zao za kimadhehebu ndizo zinazowateganisha wao wenyewe. Sasa kama wewe unaweza kuwapatanisha , nenda kajaribu kuwapatanisha wafuasi wa Ali na wa bi aisha. wasaudia wanajua wakigombana na marekani ufalme wao utaishia. Na wanategemea soko la mafuta kutokea marekani katika kuimarisha uchumi wake.Siwalaumu Saudi, kwani Saudia kuwa dikteta ni kawaida kwa style za waarabu, huwezi kuwasimamia waarabu kwa sheria za kawaida kama zifanyazo nchi zisizo na asili ya kiarabu, nchi nyingine unaweza jikuta wamekupindua, waarabu hawaamini katika majadiliano wao wanaamini kupambana. wamejengwa hivyo tangu utoto wao,ni kama mmasai na ng'ombe. kama huamini angalia mataifa yote utajua ya kiarabu(Libya, Misri, Audiaarabia,Iraq, Iran, Pakistan, Afghanistan, Syria, Yemen nk,).pia ongezea Somalia, Sudan n.k. . Wale ukiwatawala ..weka sheria kali kama kunyonga, kuchinja,kukata viungo, pia usiwape uhuru. labda niseme tu kuwa waarabu wanajuana kwa viremba.

Muslim brotherhood waliposhika dola walitegemea kufanya mambo ya kibabe lakini kiongozi wao aliposhika madaraka akajikuta mpole akagundua haongozi nchi bali jumuia ya kimataifa inamwangalia na misimamo yake yote ilidhohofu.jeshi lake likampindua!!. Ahmedninejan aliposhika Iran alikuja na mkwara mzito wa kuiondoa israel kwenye Uso wa dunia, alipoulizwa anamaanisha nini akawa anauma meno.mpaka majuzi akaonekana anaidhohofisha iran mwishowe ni haohao wairan walimwondoa wakamweka Hassan Rouhan ambaye kiasi ni mpole.
Gadafi pamoja na mkwara wake mwishowe alikiri kuwa aliwaua watu kwenye anga la lockerbie(1988) na akalipa fidia. kwa mifano hii utaona hata utawala wa saudia ukipinduliwa badoutakaoshika hatamu ,hawataweza kupelekea kuishambulia israel kirahisi hivyo.


just imagine. waarabu wanatoa mafuta ulimwengu mzima lakini sijawahi kusikia wamefanikiwa kiuchumi kama china, na nchi za ulaya, japan.
ukija kwenye soka utawakuta wako ulaya, hawawezi kuwekeza michezo nchini kwao kwakuwa wavaa mabomu wengi sana.utawakuta wakipata mafuta wanakimbilia ulaya na nchi kama zetu kuwekeza.

Historia haiwabebi wamekuwa wakila kichapo dhidi ya Israel pamoja na sapoti kubwa waipatayo kutoka Russia.Pia kuna wakati Russia naye inabidi awashushie kipigo adoado. manake hawatabiriki hawa..si unakumbuka chechnyia,Afghanistan

utawala wao wa kiimla unatokana na asili yao, na wala hawafanani na utawala wa kifalme wa uingereza wala denmark ambapo umejaa demokrasia.ai ulimcheki Gadafi mwenyewe.. Tangu akalie kiti hakutaka kung'oka, ikabidi wazungu wakamng'oe.
waisrael ni taifa la mungu, anayewabariki hubarikiwa....US wanalijua hili kwakina.
 
We mtoto wa kichaga! Acha unafiki wako.
Unamjua mtume Muhammad wewe!?
Unasema alikuwa anawachukia Waisraeli! Una habari kuwa mmoja kati ya wake zake alikuwa MUISRAELI!?
Huna adabu wala nidhamu ya kujadili!
Tabia zako na chama cha wachaga vinafanana! Kazi ni kuzua uongo tu! Kama hao wayahudi!
Na nyie mnaojifanya wayahudi kiroho ndio wazushi wakubwa!

Kwenda kapate elimu kwanza ndipo uje u comment hapa! Sio jitoto kubwaa kuandika uongo!
Huoni aibu wewe! Au uongo ni moja ya mila za wa kishumundu!

sijawahi kuhudhuria bunge la katiba mimi sio mwenzako!!!

we endelea kuhangaika na vyama vya Siasa, kwa Taarifa yako nimewahi kuwa mwanachama wa chamadola once, na kwasasa sina na sitegemei kujihusisha na chama chochote cha siasa, wala sitarajii kuja kupiga kura wala kuja kujiandikisha.iwe mbunge diwani, rais, mwenyekiti wa mtaa.mwenyekiti wa kijiji, meya n.k..
nadhani ukiwa unataja kabila la wengine ni vyema ukaweka wazi kabila lako. Ili tupate la kusema pia. au vipi?
pata bayana hapa chini:
TAFSIRI YA QURANI AL-KAASIF JUZUU YA SITA
160. Basi kwa dhuluma ya ambao ni Mayahudi tuliwaharamisha vitu vizuri walivyohalalishiwa, na kwa sababu ya kuzuilia kwao wengi na njia ya Mwenyezi Mungu.

Surat Al-Mā'idah 5: 51
5_51.png
 
Can Israel's natural gas reserves pump up regional peace? - CSMonitor.com saudia inawasapoti wasuni na inachuki kubwa dhidi ya washia wa iran.Hizi chuki zao za kimadhehebu ndizo zinazowateganisha wao wenyewe. Sasa kama wewe unaweza kuwapatanisha , nenda kajaribu kuwapatanisha wafuasi wa Ali na wa bi aisha. wasaudia wanajua wakigombana na marekani ufalme wao utaishia. Na wanategemea soko la mafuta kutokea marekani katika kuimarisha uchumi wake.Siwalaumu Saudi, kwani Saudia kuwa dikteta ni kawaida kwa style za waarabu, huwezi kuwasimamia waarabu kwa sheria za kawaida kama zifanyazo nchi zisizo na asili ya kiarabu, nchi nyingine unaweza jikuta wamekupindua, waarabu hawaamini katika majadiliano wao wanaamini kupambana. wamejengwa hivyo tangu utoto wao,ni kama mmasai na ng'ombe. kama huamini angalia mataifa yote utajua ya kiarabu(Libya, Misri, Audiaarabia,Iraq, Iran, Pakistan, Afghanistan, Syria, Yemen nk,).pia ongezea Somalia, Sudan n.k. . Wale ukiwatawala ..weka sheria kali kama kunyonga, kuchinja,kukata viungo, pia usiwape uhuru. labda niseme tu kuwa waarabu wanajuana kwa viremba. Muslim brotherhood waliposhika dola walitegemea kufanya mambo ya kibabe lakini kiongozi wao aliposhika madaraka akajikuta mpole akagundua haongozi nchi bali jumuia ya kimataifa inamwangalia na misimamo yake yote ilidhohofu.jeshi lake likampindua!!. Ahmedninejan aliposhika Iran alikuja na mkwara mzito wa kuiondoa israel kwenye Uso wa dunia, alipoulizwa anamaanisha nini akawa anauma meno.mpaka majuzi akaonekana anaidhohofisha iran mwishowe ni haohao wairan walimwondoa wakamweka Hassan Rouhan ambaye kiasi ni mpole. Gadafi pamoja na mkwara wake mwishowe alikiri kuwa aliwaua watu kwenye anga la lockerbie(1988) na akalipa fidia. kwa mifano hii utaona hata utawala wa saudia ukipinduliwa badoutakaoshika hatamu ,hawataweza kupelekea kuishambulia israel kirahisi hivyo. just imagine. waarabu wanatoa mafuta ulimwengu mzima lakini sijawahi kusikia wamefanikiwa kiuchumi kama china, na nchi za ulaya, japan. ukija kwenye soka utawakuta wako ulaya, hawawezi kuwekeza michezo nchini kwao kwakuwa wavaa mabomu wengi sana.utawakuta wakipata mafuta wanakimbilia ulaya na nchi kama zetu kuwekeza. Historia haiwabebi wamekuwa wakila kichapo dhidi ya Israel pamoja na sapoti kubwa waipatayo kutoka Russia.Pia kuna wakati Russia naye inabidi awashushie kipigo adoado. manake hawatabiriki hawa..si unakumbuka chechnyia,Afghanistan utawala wao wa kiimla unatokana na asili yao, na wala hawafanani na utawala wa kifalme wa uingereza wala denmark ambapo umejaa demokrasia.ai ulimcheki Gadafi mwenyewe.. Tangu akalie kiti hakutaka kung'oka, ikabidi wazungu wakamng'oe. waisrael ni taifa la mungu, anayewabariki hubarikiwa....US wanalijua hili kwakina.
Saudi Arabia wanalindwa sana na US na UK...hata Israel akipewa silaha nao hupewa ili kubalance...Russia na China huwaua waislam kia kukicha kwa raha zao..ila islam is a coward religion ..si unajua cowrds wanavyoua ili kutishia wengine,ila nao wakitishwa vyema huuufyata...huwa wanchezea democrasia ya Kimang`aribu iliyobase ktk judeo christian civilization.wao wanatafsiri ustaarabu kuwa ni udhaifu....wazungu wanawajua hawa hawa wajing a kila siku huwapa ubunifu mpya ili hela yao iwe na kazi, mara zote wakibaki na hela ya ziada wanawaza ugaidi tuu....israel is far superior to all muslims...hata iran anachofanya kimecheleweshwa na Israel kwa kuingiza ipurities na computer viruses waliowarudisha nyuma.
 
We mtoto wa kichaga! Acha unafiki wako. Unamjua mtume Muhammad wewe!? Unasema alikuwa anawachukia Waisraeli! Una habari kuwa mmoja kati ya wake zake alikuwa MUISRAELI!? Huna adabu wala nidhamu ya kujadili! Tabia zako na chama cha wachaga vinafanana! Kazi ni kuzua uongo tu! Kama hao wayahudi! Na nyie mnaojifanya wayahudi kiroho ndio wazushi wakubwa! Kwenda kapate elimu kwanza ndipo uje u comment hapa! Sio jitoto kubwaa kuandika uongo! Huoni aibu wewe! Au uongo ni moja ya mila za wa kishumundu!
Wachaga nadhani ni wa pili kutoka waisraeli ktk chuki ulizofundishwa na dini ya allah.....ungeeleza ukweli kidogo kuwa wake zako wa kiyahudi ingawa si lazima wawe waisraeli ...walikuwa ni faida ya muhamad ya ubakaji ktk vita na tamaa zake kwa wanawake wa kiyahudi na Kikristu..in fact imeshakuwa sunnah....kila muislam anaota kupata Mkristu au Myahudi...umesema pia chuki na zilzioandikwa dhidi ya wayahudi ktk quran na hadidth
 
Bla bla bla! Hina lolote ulijualo zaidi ya kuangalia hizo channel za kiyahudi na kutuletea hapa! Wayahudi mpaka leo ni TEGEMEZI kwa wamarekani.! Hawana uwezo wa kujiendeshea maisha yao bila kulamba makalio ya wamarekani! Tofauti na hao waarabu ambao hawategemei msaada wa taifa llt! Wamarekanj ni watu wa kujipendekeza kwa matajiri na ndio maana unaona wamejaa kwenye nchi za waarabu! Na km ulikuwa huna elimu leo ndio ufahamu kuwa Saudi arabia royal family na israeli ni chanda na pete! Ndio sababu unaona hakuna la maana waarabu wamefanya mpaka sasa kuuondoa huo utawala dhalimu wa kiyahudi! Leo hii ile familia ya kifalme ya saudia ikitoka madarakani basi wayahudi wape siku chache tu utawaka moto mkali sana pale tel aviv! Kasome yale yalio ya kweli, sio kuangalia fox news halafu kuja kupakuwa hapa uongo wa wayahudi!
Haha...kwani saudi arabia inategemea wapi?sasa km hizo channel ni za uongo mbona Israel inadunda na inawachapa sana wenzenu..hujui Syria mtambo wake wa Nuclear uliyeyukia wapi?Kwa taarifa Yako wakiachia huo uhusiano Mecca inakuwa battle ground na lile jiwe jeusi litapasuliwa tena na tena..Israel mkimchezea anapiga nuclear tuu wakati mnachapana kugombea u,iliki wa al kaabah ...ikipigwa dosage kubwa mika laki kadhaa hakuna kwenda hijah..dunia itapumua....muhamad hakuwa na watoto w akiume ndio maana wajukuu wote wakajiona ni warithi....
 
Israel has No power to attack Iran, Even their Master US wameshawaambia kua hamuwezi zaidi mtatuingiza ktk vita bure kwani Fatilia kuhusu uchunguzi wa CIA au ata France walimwambia israel hivyo...Ikumbekwe Iran ana long range missiles capable of reaching Telaviv and many parts of Europe and these are missiles and not firecracks km za Hamas..Juzi km umesoma vyombo vya habari vya Israel wanalalamika kua now Iran is mounting Ghadir cruise missiles kwenye naval ships zake na eti hii na hatari
kILIO CHA MATAIFA ya kiarabu siku zote ni kuikomboa jerusalem na kuhakikisha mpalestina naitwaa ardhi yote ya Israel. Baada ya kujaribu vita tano mwaka 1967 mataifa yote ya kiarabu yaliungana na kuivamia Israel. Walipigwa vibaya sana na kunyang'anywa ardhi yao nyeti kama milima ya goran na jangwa la sinai. Sasa kama kuna mwamba huko mashariki ya kati inatakiwa avae jezi za kivita na kutia mguu kuivamia Israel halafu dunia ikae kimyaa aone cha moto. Kila mara mwarabu huwa mchokozi na Israel akimliza dun ia huingilia kati m,warabu aokolewe.

Acheni mawaidha ya kitoto hakuna mwamba huko mashariki ya kati kumtisha Israel. Kama yupo basi ukweli ni kuwa ni mowga au akaikoe jerusalem na msikiti wa AL aqsa.
 
Can Israel's natural gas reserves pump up regional peace? - CSMonitor.com

saudia inawasapoti wasuni na inachuki kubwa dhidi ya washia wa iran.Hizi chuki zao za kimadhehebu ndizo zinazowateganisha wao wenyewe. Sasa kama wewe unaweza kuwapatanisha , nenda kajaribu kuwapatanisha wafuasi wa Ali na wa bi aisha. wasaudia wanajua wakigombana na marekani ufalme wao utaishia. Na wanategemea soko la mafuta kutokea marekani katika kuimarisha uchumi wake.Siwalaumu Saudi, kwani Saudia kuwa dikteta ni kawaida kwa style za waarabu, huwezi kuwasimamia waarabu kwa sheria za kawaida kama zifanyazo nchi zisizo na asili ya kiarabu, nchi nyingine unaweza jikuta wamekupindua, waarabu hawaamini katika majadiliano wao wanaamini kupambana. wamejengwa hivyo tangu utoto wao,ni kama mmasai na ng'ombe. kama huamini angalia mataifa yote utajua ya kiarabu(Libya, Misri, Audiaarabia,Iraq, Iran, Pakistan, Afghanistan, Syria, Yemen nk,).pia ongezea Somalia, Sudan n.k. . Wale ukiwatawala ..weka sheria kali kama kunyonga, kuchinja,kukata viungo, pia usiwape uhuru. labda niseme tu kuwa waarabu wanajuana kwa viremba.

Muslim brotherhood waliposhika dola walitegemea kufanya mambo ya kibabe lakini kiongozi wao aliposhika madaraka akajikuta mpole akagundua haongozi nchi bali jumuia ya kimataifa inamwangalia na misimamo yake yote ilidhohofu.jeshi lake likampindua!!. Ahmedninejan aliposhika Iran alikuja na mkwara mzito wa kuiondoa israel kwenye Uso wa dunia, alipoulizwa anamaanisha nini akawa anauma meno.mpaka majuzi akaonekana anaidhohofisha iran mwishowe ni haohao wairan walimwondoa wakamweka Hassan Rouhan ambaye kiasi ni mpole.
Gadafi pamoja na mkwara wake mwishowe alikiri kuwa aliwaua watu kwenye anga la lockerbie(1988) na akalipa fidia. kwa mifano hii utaona hata utawala wa saudia ukipinduliwa badoutakaoshika hatamu ,hawataweza kupelekea kuishambulia israel kirahisi hivyo.


just imagine. waarabu wanatoa mafuta ulimwengu mzima lakini sijawahi kusikia wamefanikiwa kiuchumi kama china, na nchi za ulaya, japan.
ukija kwenye soka utawakuta wako ulaya, hawawezi kuwekeza michezo nchini kwao kwakuwa wavaa mabomu wengi sana.utawakuta wakipata mafuta wanakimbilia ulaya na nchi kama zetu kuwekeza.

Historia haiwabebi wamekuwa wakila kichapo dhidi ya Israel pamoja na sapoti kubwa waipatayo kutoka Russia.Pia kuna wakati Russia naye inabidi awashushie kipigo adoado. manake hawatabiriki hawa..si unakumbuka chechnyia,Afghanistan

utawala wao wa kiimla unatokana na asili yao, na wala hawafanani na utawala wa kifalme wa uingereza wala denmark ambapo umejaa demokrasia.ai ulimcheki Gadafi mwenyewe.. Tangu akalie kiti hakutaka kung'oka, ikabidi wazungu wakamng'oe.
waisrael ni taifa la mungu, anayewabariki hubarikiwa....US wanalijua hili kwakina.
Umesema kweli tupu. Mwarabu kajaza chuki sana akilini mwake kiasi kasahau kabisaa kujijenga mwenyewe. Hapa tanzania tulipokuwa tunatawaliwa kidikteta tuliweka palestina day kuonesha kiburi chetu hadhalani kwa mataifa ya Ulaya ambayo ni rafiki mkubwa wa Israel. Baada ya kufa ujamaa na kujitegemea kwa haibu kubwa Tanzania ikajikuta inafuta palestina day kisirisiri.

Hivyo utakuta madikteta wote duniani lazima watanunuliwa kuwaunga mkono wapalestina ila nchi ikija kujikomboa kidemokrasia, utakuta mahali hapo mpalestina hana rafiki.

Mataifa ya kiarabu lazima siku zote yattawaliwa na Israel wapende wasipende na kama wanabisha basi wakaone pale Goran heights!
 
Can Israel's natural gas reserves pump up regional peace? - CSMonitor.com

saudia inawasapoti wasuni na inachuki kubwa dhidi ya washia wa iran.Hizi chuki zao za kimadhehebu ndizo zinazowateganisha wao wenyewe. Sasa kama wewe unaweza kuwapatanisha , nenda kajaribu kuwapatanisha wafuasi wa Ali na wa bi aisha. wasaudia wanajua wakigombana na marekani ufalme wao utaishia. Na wanategemea soko la mafuta kutokea marekani katika kuimarisha uchumi wake.Siwalaumu Saudi, kwani Saudia kuwa dikteta ni kawaida kwa style za waarabu, huwezi kuwasimamia waarabu kwa sheria za kawaida kama zifanyazo nchi zisizo na asili ya kiarabu, nchi nyingine unaweza jikuta wamekupindua, waarabu hawaamini katika majadiliano wao wanaamini kupambana. wamejengwa hivyo tangu utoto wao,ni kama mmasai na ng'ombe. kama huamini angalia mataifa yote utajua ya kiarabu(Libya, Misri, Audiaarabia,Iraq, Iran, Pakistan, Afghanistan, Syria, Yemen nk,).pia ongezea Somalia, Sudan n.k. . Wale ukiwatawala ..weka sheria kali kama kunyonga, kuchinja,kukata viungo, pia usiwape uhuru. labda niseme tu kuwa waarabu wanajuana kwa viremba.

Muslim brotherhood waliposhika dola walitegemea kufanya mambo ya kibabe lakini kiongozi wao aliposhika madaraka akajikuta mpole akagundua haongozi nchi bali jumuia ya kimataifa inamwangalia na misimamo yake yote ilidhohofu.jeshi lake likampindua!!. Ahmedninejan aliposhika Iran alikuja na mkwara mzito wa kuiondoa israel kwenye Uso wa dunia, alipoulizwa anamaanisha nini akawa anauma meno.mpaka majuzi akaonekana anaidhohofisha iran mwishowe ni haohao wairan walimwondoa wakamweka Hassan Rouhan ambaye kiasi ni mpole.
Gadafi pamoja na mkwara wake mwishowe alikiri kuwa aliwaua watu kwenye anga la lockerbie(1988) na akalipa fidia. kwa mifano hii utaona hata utawala wa saudia ukipinduliwa badoutakaoshika hatamu ,hawataweza kupelekea kuishambulia israel kirahisi hivyo.


just imagine. waarabu wanatoa mafuta ulimwengu mzima lakini sijawahi kusikia wamefanikiwa kiuchumi kama china, na nchi za ulaya, japan.
ukija kwenye soka utawakuta wako ulaya, hawawezi kuwekeza michezo nchini kwao kwakuwa wavaa mabomu wengi sana.utawakuta wakipata mafuta wanakimbilia ulaya na nchi kama zetu kuwekeza.

Historia haiwabebi wamekuwa wakila kichapo dhidi ya Israel pamoja na sapoti kubwa waipatayo kutoka Russia.Pia kuna wakati Russia naye inabidi awashushie kipigo adoado. manake hawatabiriki hawa..si unakumbuka chechnyia,Afghanistan

utawala wao wa kiimla unatokana na asili yao, na wala hawafanani na utawala wa kifalme wa uingereza wala denmark ambapo umejaa demokrasia.ai ulimcheki Gadafi mwenyewe.. Tangu akalie kiti hakutaka kung'oka, ikabidi wazungu wakamng'oe.
waisrael ni taifa la mungu, anayewabariki hubarikiwa....US wanalijua hili kwakina.

Ndeeeeeefu kama mkojo wa mlevi!
Mi siwezi kujadili na mtu anaejifanya anaelewa wakati huo huo anasema pakistani na afghanistani ni nchi za kiarabu!

Wacha bla bla zako! Kiwango chako cha elimu kinategemea tv!
Kapate elimu ya kweli ndio urudi kujadili hapa!
 
Haha...kwani saudi arabia inategemea wapi?sasa km hizo channel ni za uongo mbona Israel inadunda na inawachapa sana wenzenu..hujui Syria mtambo wake wa Nuclear uliyeyukia wapi?Kwa taarifa Yako wakiachia huo uhusiano Mecca inakuwa battle ground na lile jiwe jeusi litapasuliwa tena na tena..Israel mkimchezea anapiga nuclear tuu wakati mnachapana kugombea u,iliki wa al kaabah ...ikipigwa dosage kubwa mika laki kadhaa hakuna kwenda hijah..dunia itapumua....muhamad hakuwa na watoto w akiume ndio maana wajukuu wote wakajiona ni warithi....

Mlevi kaamka!
Teh teh teh teh.

We mchaga uliefilisika mpaka mtaji wa kupiga rangi viatu kitu gani unajua kuhusu hao waume zako wayahudi!
Wangekuwa wababe kiasi hicho hio misaada ya zaidi ya dola milioni 10 kwa siku toka USA wangeihitaji ya nini!?

Au kwa sababu yule unaemuabudu aliuawa na hao waume zako ndo unazimia nao kiasi hicho!

Yule nabii Wa kigalatia Paulo alifanya kazi ya Yesu vizuri sana! Aliwachinja wayahudi kwa wingi mno!
Na mwingine yule Nabii Hitler nayeye akaoteshwa na Yesu kuhusu Revenge pia alifanya kazi nzuri.
Naskia kuna mwingine anavaa kilemba cheusi Anakuja kufanya kazi ya Yesu tena!
Safari hii hao milion 5 waliobaki anamalizia kabisa! Na wewe ukitaka kusaidia tangulia tel aviv.
 
kILIO CHA MATAIFA ya kiarabu siku zote ni kuikomboa jerusalem na kuhakikisha mpalestina naitwaa ardhi yote ya Israel. Baada ya kujaribu vita tano mwaka 1967 mataifa yote ya kiarabu yaliungana na kuivamia Israel. Walipigwa vibaya sana na kunyang'anywa ardhi yao nyeti kama milima ya goran na jangwa la sinai. Sasa kama kuna mwamba huko mashariki ya kati inatakiwa avae jezi za kivita na kutia mguu kuivamia Israel halafu dunia ikae kimyaa aone cha moto. Kila mara mwarabu huwa mchokozi na Israel akimliza dun ia huingilia kati m,warabu aokolewe.

Acheni mawaidha ya kitoto hakuna mwamba huko mashariki ya kati kumtisha Israel. Kama yupo basi ukweli ni kuwa ni mowga au akaikoe jerusalem na msikiti wa AL aqsa.

We ndio mwajuma kweli wewe!
Unaleta mipasho sehemu isio husika!

Hebu tufahamishe ni vita gani waarabu waliungana wakapigwa vibaya!

Nyie hii midundiko inawadhuru sana!
Mpaka humu jf pia hatuna amani na maneno yenu ya rusha roho.!
Duh!

Halafu ukienda Brazil ukajiita tango! Wale Waliberali watakutizama kwa macho ya mahaba mno! Badili fasta hilo jina!
 
Mlevi kaamka! Teh teh teh teh. We mchaga uliefilisika mpaka mtaji wa kupiga rangi viatu kitu gani unajua kuhusu hao waume zako wayahudi! Wangekuwa wababe kiasi hicho hio misaada ya zaidi ya dola milioni 10 kwa siku toka USA wangeihitaji ya nini!? Au kwa sababu yule unaemuabudu aliuawa na hao waume zako ndo unazimia nao kiasi hicho! Yule nabii Wa kigalatia Paulo alifanya kazi ya Yesu vizuri sana! Aliwachinja wayahudi kwa wingi mno! Na mwingine yule Nabii Hitler nayeye akaoteshwa na Yesu kuhusu Revenge pia alifanya kazi nzuri. Naskia kuna mwingine anavaa kilemba cheusi Anakuja kufanya kazi ya Yesu tena! Safari hii hao milion 5 waliobaki anamalizia kabisa! Na wewe ukitaka kusaidia tangulia tel aviv.
unajichekesha nini wewe mwehu..halafu unaandika kitu tofauti kabisa:: Angaliwa wenzio wanavyokatana kiboga hiyo ndio saudi arabia...haha...The Kingdom in the Closet - Nadya Labi - The Atlantic
 
Mlevi kaamka! Teh teh teh teh. We mchaga uliefilisika mpaka mtaji wa kupiga rangi viatu kitu gani unajua kuhusu hao waume zako wayahudi! Wangekuwa wababe kiasi hicho hio misaada ya zaidi ya dola milioni 10 kwa siku toka USA wangeihitaji ya nini!? Au kwa sababu yule unaemuabudu aliuawa na hao waume zako ndo unazimia nao kiasi hicho! Yule nabii Wa kigalatia Paulo alifanya kazi ya Yesu vizuri sana! Aliwachinja wayahudi kwa wingi mno! Na mwingine yule Nabii Hitler nayeye akaoteshwa na Yesu kuhusu Revenge pia alifanya kazi nzuri. Naskia kuna mwingine anavaa kilemba cheusi Anakuja kufanya kazi ya Yesu tena! Safari hii hao milion 5 waliobaki anamalizia kabisa! Na wewe ukitaka kusaidia tangulia tel aviv.
Utaandika ujinga hapa .mwingi ila mwisho wa siku muslims are slaves and you will never get out the loop..mkijikomboa kwa hili hili linawarudisha...sasa km kazi ndio hii ya kulawiti watoto tangu wakiwa wadogo ......kwanini zaidi ya 40% yenu msiwe mnakatwa kiboga ila hamtaki itwa mashoga...ni samaki kageuzwa upande wa pili...huko madrassat kutawamaliza.....inatisha...sasa km hadi ktk ushiga kuna binamu nyama ya hamu...kweli hamna adabu...Thanx God mnamalizana taratibu mwisho wa siku hamfai...
 
Utaandika ujinga hapa .mwingi ila mwisho wa siku muslims are slaves and you will never get out the loop..mkijikomboa kwa hili hili linawarudisha...sasa km kazi ndio hii ya kulawiti watoto tangu wakiwa wadogo ......kwanini zaidi ya 40% yenu msiwe mnakatwa kiboga ila hamtaki itwa mashoga...ni samaki kageuzwa upande wa pili...huko madrassat kutawamaliza.....inatisha...sasa km hadi ktk ushiga kuna binamu nyama ya hamu...kweli hamna adabu...Thanx God mnamalizana taratibu mwisho wa siku hamfai...

Mi wala sishangai kwa mtu km wewe kuandika unayoandika!

Manake wakati habari zinatangaza namna Mapadri na wachungaji wanavyolawiti watoto wadogo NDANI YA MAKANISA! Tena mbele ya sanamu ya mungu wako aliyovishwa nepi! Na yeye anacheki tu watoto wa watu wanavyo najisiwa! We ulikuwa tayari uko mbwalala! Suruali iko magotini!

Teh teh teh!
Mi na hakika 100% hata wewe hio 0713 sio intack! Lzm wazee wamesha tafuna looong time!
Kwi kwi kwi kwi!
 
Can Israel's natural gas reserves pump up regional peace? - CSMonitor.com

saudia inawasapoti wasuni na inachuki kubwa dhidi ya washia wa iran.Hizi chuki zao za kimadhehebu ndizo zinazowateganisha wao wenyewe. Sasa kama wewe unaweza kuwapatanisha , nenda kajaribu kuwapatanisha wafuasi wa Ali na wa bi aisha. wasaudia wanajua wakigombana na marekani ufalme wao utaishia. Na wanategemea soko la mafuta kutokea marekani katika kuimarisha uchumi wake.Siwalaumu Saudi, kwani Saudia kuwa dikteta ni kawaida kwa style za waarabu, huwezi kuwasimamia waarabu kwa sheria za kawaida kama zifanyazo nchi zisizo na asili ya kiarabu, nchi nyingine unaweza jikuta wamekupindua, waarabu hawaamini katika majadiliano wao wanaamini kupambana. wamejengwa hivyo tangu utoto wao,ni kama mmasai na ng'ombe. kama huamini angalia mataifa yote utajua ya kiarabu(Libya, Misri, Audiaarabia,Iraq, Iran, Pakistan, Afghanistan, Syria, Yemen nk,).pia ongezea Somalia, Sudan n.k. . Wale ukiwatawala ..weka sheria kali kama kunyonga, kuchinja,kukata viungo, pia usiwape uhuru. labda niseme tu kuwa waarabu wanajuana kwa viremba.

Muslim brotherhood waliposhika dola walitegemea kufanya mambo ya kibabe lakini kiongozi wao aliposhika madaraka akajikuta mpole akagundua haongozi nchi bali jumuia ya kimataifa inamwangalia na misimamo yake yote ilidhohofu.jeshi lake likampindua!!. Ahmedninejan aliposhika Iran alikuja na mkwara mzito wa kuiondoa israel kwenye Uso wa dunia, alipoulizwa anamaanisha nini akawa anauma meno.mpaka majuzi akaonekana anaidhohofisha iran mwishowe ni haohao wairan walimwondoa wakamweka Hassan Rouhan ambaye kiasi ni mpole.
Gadafi pamoja na mkwara wake mwishowe alikiri kuwa aliwaua watu kwenye anga la lockerbie(1988) na akalipa fidia. kwa mifano hii utaona hata utawala wa saudia ukipinduliwa badoutakaoshika hatamu ,hawataweza kupelekea kuishambulia israel kirahisi hivyo.


just imagine. waarabu wanatoa mafuta ulimwengu mzima lakini sijawahi kusikia wamefanikiwa kiuchumi kama china, na nchi za ulaya, japan.
ukija kwenye soka utawakuta wako ulaya, hawawezi kuwekeza michezo nchini kwao kwakuwa wavaa mabomu wengi sana.utawakuta wakipata mafuta wanakimbilia ulaya na nchi kama zetu kuwekeza.

Historia haiwabebi wamekuwa wakila kichapo dhidi ya Israel pamoja na sapoti kubwa waipatayo kutoka Russia.Pia kuna wakati Russia naye inabidi awashushie kipigo adoado. manake hawatabiriki hawa..si unakumbuka chechnyia,Afghanistan

utawala wao wa kiimla unatokana na asili yao, na wala hawafanani na utawala wa kifalme wa uingereza wala denmark ambapo umejaa demokrasia.ai ulimcheki Gadafi mwenyewe.. Tangu akalie kiti hakutaka kung'oka, ikabidi wazungu wakamng'oe.
waisrael ni taifa la mungu, anayewabariki hubarikiwa....US wanalijua hili kwakina.
kwataarifa yako marekani ndo anabembeleza urafiki na saud arabia na si kinyume chake.

Saud ni moja kati ya nchi chache zinazoidai marekani na si kinyume chake.
Kama saud walivyoweza kuisambaratisha soviet union kwa kutumiwa na marekani kuweka mafuriko ya mafuta sokoni na hivyo kusababisha bei kuanguka na hivyo soviet kula hasara na kufilisika na hatimae kusambalatika,saud wanaweza kuifanya hivyo marekani kwa kuacha kuuza mafuta yake kwa dola za marekani.
Je umepata kusoma kuhusu petrodollar?.

Kama wasuni na washia ilivyo ngumu kupatana,hata pia christian orthodox wa rusia hatakaa apatane kamwe na hawa christian wa west nations kamwe,na hawa ndo wataleta maangamizi ya dunia kwa kupigana vita vya 3 vya dunia,achana na vimigogoro vya wasun na washia kwani ni small scale na havina impact kubwa na amani ya dunia kama inavyoweza kutokea iwapo mataifa ya kikristo kama marekan na russia wakipigana.
 
Utaandika ujinga hapa .mwingi ila mwisho wa siku muslims are slaves and you will never get out the loop..mkijikomboa kwa hili hili linawarudisha...sasa km kazi ndio hii ya kulawiti watoto tangu wakiwa wadogo ......kwanini zaidi ya 40% yenu msiwe mnakatwa kiboga ila hamtaki itwa mashoga...ni samaki kageuzwa upande wa pili...huko madrassat kutawamaliza.....inatisha...sasa km hadi ktk ushiga kuna binamu nyama ya hamu...kweli hamna adabu...Thanx God mnamalizana taratibu mwisho wa siku hamfai...
umeshasoma rate ya mauaji huko marekani hasa mji kama chicago?,ama unaropoka huna hata data?.

Juzi hapa siku ya pasaka kuna mmarekani kajisikia tu hamu ya kuua watu akawatwanga risasi wamarekani wenzie 9 wakafa hapohapo,41 majeruhi.na hapa ni sehemu moja tu.
Bila kusahau wanajeshi wa marekani pale kambi ya kijeshi ya fort hood wanaouana wao kwa wao kila mara.

Wewe unafurahi eti waislamu wanauana na kuwa karibu wataisha,wewe kweli una matatizo,yaani utasubiri muuno we mangi wa kimazinchana,wewe utakufa utaoza ,vizazi vyako vyote vitakuja na kuondoka humu duniani na kamwe hakuna siku utashuhudia dunia isiyokuwa na waislamu.
DONT RISE YOUR HOPE TOO HIGH.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom