Tambiko Ofisini. Tutafika kweli??

Leo wamekuroga hao wachawi au kuna jirani yako anafanya kazi kam ya kwako nini? ndio maana kafanya Tambiko mlangoni kwako uwe muangalifu sana.

wanapima imani yako,
la sivyo kama umemdhulumu mtu jitahidi muyamalize.
huenda amemkopa Mtu sas hataki kulipa huyo jamaa kaamuwa kumroga au ana mpenzi wa kike ndie aliyefanya dawahiyo jihadhari sana mkuu pole kwahayo yaliyokukuta.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…