Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
Ukiona hivyo jua umeshawapiga bao!nimeshangaa tu. Kumbe kuna watu wanaumiza kichwa juu yangu
Kuhama ni kufanya wanavyotaka na mara nyingi uchawi huwaathiri wanaoamini komaa hapo hapo mkuu kama kuhama wahame wenyewe.ukiona vipi tafuta tu eneo lingine la biashara
haya mambo wakati mwingine yanaishia pabaya.
Katika hali isiyo ya kawaida leo asubuhi nimefika Ofisini kwangu. Si unajua tena mambo ya kujiajiri. Nina ka salon kangu na mtaani kuna salon mbili nyingine. Lakini kufika mlangoni nikakuta kuna kichwa cha kuku, kitamba chekundu na damu. Pembeni kidogo nikaona kuna shimo limechibwa ndani kukiwa na kuku mweupe. Mi sio mtu ya kuamini Mambo ya kishirikina. Nimefanya usafi na kuendelea na biashara yangu.
Lakini kwa nini tunafanyiana hivi. Tunarudisha nyuma.
maadam umeshafanya usafi... Basi endelea na kazi, ila kama inakuuma sana basi kesho rudi na mifupa ya kuku weka hapo na bango likisema asanteni yule kuku nimemlakatika hali ya kawaida mteja wako akisikia mambo kama haya. Siku nyingne hataogopa kuja hapa saluni.
na wee nawe, sasa hiyo inaendana na mambo ya tambiko?Uswahilini bana, tunarudishan nyuma sana, mi mwezii uliopita niliibiwa laptop yangu na vichaa wa kitaaa
Umerudishwa nyuma na nani? kuku?
haha dada hawa wanaokuita mwalimu hawajakosea huwa unakuwa na reasonable questions ambazo zinamfanya mleta thread awe katika ile awkward moment ndani ya dakika 5
Uswahilini bana, tunarudishan nyuma sana, mi mwezii uliopita niliibiwa laptop yangu na vichaa wa kitaaa