Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,188
- 124,862
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume wa humu ni slow learner sana. Kwahiyo muda wote wanajifanya hawajakuelewa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume wa humu ni slow learner sana. Kwahiyo muda wote wanajifanya hawajakuelewa?
ha ha ha ha haAchanganyikiwe mara mbili?
Huyu si nio yule aliyemaliza mwaka hajatongozwa kichwa kikamruka akavamia jukwaa na kuandika mada kuwa Tanzania hakuna wanaume?
[emoji16][emoji16][emoji16]Baada yakukupa mpaka ukakimbia na boxer mkononi ndio unakuja huku na mbwembwe au sio wewe ulinitumia nauli nije nikutulize roho.
Baada ya kudata na picha zangu.
Ukaona hata nauli ya safari kubwa unaweza kulipa nije huko sasa .
Nimekuja huko ukaanza na makeke ila mwisho wake ukakimbia mapigoo.
Unataka niseme vingine au ni nyamaze.[emoji16][emoji16][emoji16]
Dah pole sana mam, matatizo yapo siku hazifanani hata vikombe vinagongana
Acha kutudanganyaHii taasisi ya ndoa kabla hujaingia huwezi jua changamoto zake, ukiingia ndio unajionea ambayo kabla hujawahi kuyafikiria yapo
Acha kutudanganya
Niliwahi kuwa na mtu mmoja tukaishi wote kwa muda tu ila shida ni malaya.Umewahi waza kuwa mpo sebuleni na mwenza wako lkn hakuna kumsemesha mwenzio....mpo kimya kila mtu anawaza yake
Niliwahi kuwa na mtu mmoja tukaishi wote kwa muda tu ila shida ni malaya.
Mnapigana mnasameana.
Ila mkipigana hata mnalala pamoja huku kila mtu amegeukia upande mwingine.
Asubuhi ububu unaendelea ila unajua shida nini mwanaume hawezi kaa bila k so atajikomba tu.
Au wewe uwe na mahitaji yako hujawahi pigana halafu mkae kama siku tatu y nne wewe unaanza kudai haki yako unakuta hakuna choice lazima uvue.
Najua mtanisema sana ila ninaona nimefikia tamati sitaki tena ubachelor nichoka kuishi ado ado kama mtoto wa paka aliyepotea soon nitajitahidi niwe double .
Sijui nyie wenzangu.
TrueBila picha Hainogi
Na sisi wahenga tuchangie wapi? Kilangila.Kwani hutaki mume??
Waoaji wasiojulikana. Kilangila.Mbona waowaji sisi tupo.
Sema semaWaoaji wasiojulikana. Kilangila.
Waoaji wasiojulikana. Kilangila.
Mwenzako naogopa katoto kazuri kasijeniua kwa presha. Kilangila.Sema sema
Nawatakia kila lililo jema. Kilangila.Tunajulikana ndio maana tunaoa.
Yeah mie ni mdau sana wa hizo changamoto. Ndoa iko complex inahitaji mtu imara sanaHii taasisi ya ndoa kabla hujaingia huwezi jua changamoto zake, ukiingia ndio unajionea ambayo kabla hujawahi kuyafikiria yapo
Ndo maana nikakuita mtafuta K kwa kutafuta hisani. Hapa kuna watu wakepata wake na wengine michepuko. Hapa ni uwanja huru pia kwa kurekebishana. Sitaacha kumsaidia kumrekebisha ili wakati ukifika insha allah afanikishe. Nakutakia mafanikio mema jitahidi huenda ukapata unachosololea.Hahahahaaa mkuu sijasema mtu wng mbona unanilisha maneno.
Hapa jukwaani kila mtu ana uhuru wa kupost chochote anachojisikia, muhimu asivunje taratibu za jf.
Kuhusu matusi hakuna mtu ambae ataanza kukutukana tu bila ya kua na sababu, nikuombe tu usimuattack ukiona mada zake au michango yake haikufurahishi basi unatafuta thread nyngn, mkuu wewe ni mwanaume hivyo haipendezi kujibizana sana watoto wa kike.