Tamati Katoto Kazuri ninaiweka

Tamati Katoto Kazuri ninaiweka

Sasa anayehitaji kuolewa ana maamuzi? Yeye hasubiri tu mpk zoezi likamilike ndo atamatishe. Otherwise jinsia yake ina mashaka.
Sasa why quote kutoka kwa huyo joanah uilete kwa uzi wa katoto kazuri?tena yeye anahitaji kuolewa,sio kuoa
 
Sasa anayehitaji kuolewa ana maamuzi? Yeye hasubiri tu mpk zoezi likamilike ndo atamatishe. Otherwise jinsia yake ina mashaka.
Acha kumsema mtu vibaya sio lazima nipate wanaume humu kutoa hili bango sio lazima nahitaji mtu humu.
Hunijui sikujui usijishaue sanaa maana hujui kama wanaume wahumu nitakuwa interested
 
Wanaume wa humu ni slow learner sana. Kwahiyo muda wote wanajifanya hawajakuelewa?
Kweli eh ila ndio hivyo katoto kazuri najitahidi sana niwe nimefunga chapter ya usingle lady niwe double .
 
Sasa utaweza kweli kufata sharia za taasisi ya ndoa kweli mana wanawake wa zama hizi mnashikika kweli
Najua mtanisema sana ila ninaona nimefikia tamati sitaki tena ubachelor nichoka kuishi ado ado kama mtoto wa paka aliyepotea soon nitajitahidi niwe double .
Sijui nyie wenzangu.
 
Hahahhaha yani napendaga tu unavyojiachiaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tuliyajua haya na wazee wa fursa tushakusikia .....ombi usiwe mzito kutoa namba huko pm
Najua mtanisema sana ila ninaona nimefikia tamati sitaki tena ubachelor nichoka kuishi ado ado kama mtoto wa paka aliyepotea soon nitajitahidi niwe double .
Sijui nyie wenzangu.
 
Back
Top Bottom