Tamati Katoto Kazuri ninaiweka

Tamati Katoto Kazuri ninaiweka

Najua mtanisema sana ila ninaona nimefikia tamati sitaki tena ubachelor nichoka kuishi ado ado kama mtoto wa paka aliyepotea soon nitajitahidi niwe double .
Sijui nyie wenzangu.
Hadi nimerudi kutoka "Banninghum" bado upo "single-file" mheshimiwa mbunge?
 
Achanganyikiwe mara mbili?

Huyu si nio yule aliyemaliza mwaka hajatongozwa kichwa kikamruka akavamia jukwaa na kuandika mada kuwa Tanzania hakuna wanaume?
Hivi wewe unayevuka mpaka tofautisha ila kama wewe unaakili timamu.
1.tofatisha kusema nimefika tamati kuwa single ni kwamba tayari analengo fulani na ndio maana anasema kwa maana hataki nyenyenye.
2.Mtu akisema hivyo ujue ameona kuwa hatokuwa single tena kuna mahali atafanywa double.
3.kwani huyo aliyeandika wanawake hawapo Tz yeye ndio anaakili .
Acha hayo madharau naunafiki utakufikisha kibaya tena hujanikuta leo nimepinda na raha zangu.
 
Back
Top Bottom