NimekabwaKatoto nilishakuambia njoo PM
Na nini?Nimekabwa
Hahahahaa ngoja nichange change mahari zari linaweza nidondokea!!Bora wewe unaakili si wezi olewa na vilaza mimi.
Katoto nilishakuambia njoo PM
Wewe acha kunichoraAna chura?
Siku zote mnafahamika kwa kujifanya unamuattack mtu kumbe ndio michezo yako.Narudia acha umalaya
Mambo vp?Najua mtanisema sana ila ninaona nimefikia tamati sitaki tena ubachelor nichoka kuishi ado ado kama mtoto wa paka aliyepotea soon nitajitahidi niwe double .
Sijui nyie wenzangu.