Tamasha la Mwenge la Kunming la mwaka 2022 limefanyika katika Kijiji cha Kikabila cha Yunnan, China. Watalii kutoka maeneo mbalimbali walicheza ngoma na muziki kwa pamoja kwa uchangamfu na kushiriki kwenye Tamasha la Mwenge la Mashariki na watu wa makabila madogo.
Tamasha la Mwenge ni tamasha la jadi la makabila ya Yi, Bai, Naxi, Lahu, Hani, Pumi na makabila mengine mengi. Tamasha hilo hufanyika mwezi wa sita katika kalenda ya jadi ya China kwa siku mbili hadi tatu.
Tamasha la Mwenge ni tamasha la jadi la makabila ya Yi, Bai, Naxi, Lahu, Hani, Pumi na makabila mengine mengi. Tamasha hilo hufanyika mwezi wa sita katika kalenda ya jadi ya China kwa siku mbili hadi tatu.