Wasidhani baada ya kupata ubunge wanaanza kustarehe...wanatakiwa waage kwa familia zao kuwa wanaenda sasa vitani...
Anasema wasinunue magari ya kutembelea mijini..kazi ni moja tu...kuhamia vvijijini, nyumba kwa nyumba ...
nice quoteWasidhani baada ya kupata ubunge wanaanza kustarehe...wanatakiwa waage kwa familia zao kuwa wanaenda sasa vitani...
mAANA antakiwa leo hii atembelee kata 3 huko HAI...NA KUHUTUBIA KOTE...
Jana KJ alikuwa Arusha..lakini hakuthubutu kukanyaga ARUSHA MJINI... .ha ha haaaa
Aliishia eneo la Monduli..ambapo ni kama KM 30tu toka mjini arusha...ha ha haaa
Jana JK alikuwa Arusha..lakini hakuthubutu kukanyaga ARUSHA MJINI... .ha ha haaaa
Arusha tayari ishanunuliw na wanamageuzi...na wameapa haitarudi ccm hadi mwisho wa dahari!