beatboi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 458
- 1,129
Hiki ndio chuo kikuu cha hiphop hapa bongo kwani tangu waanze harakati zao wanatoa vichwa vinavyofanya kweli kwenye kila angle.
Hawa ni baadhi ya waliopitia University of tamaduni music wakatoka na bachelor degree inayowasaidia kupata mkate wa kila siku,
*Kontawa
*Maarifa
*Toxic
*Pmawenge
*Kado kitengo
*Wakazi
*Dizasta vina
Nk.
hawa ni wanaofanya vizuri kwa sasa,
Wapo vijana wengi wamepitia TM kupigwa msasa na matumaini yangu tutaendelea kuwaona wakiibuka wengine
Hawa ni baadhi ya waliopitia University of tamaduni music wakatoka na bachelor degree inayowasaidia kupata mkate wa kila siku,
*Kontawa
*Maarifa
*Toxic
*Pmawenge
*Kado kitengo
*Wakazi
*Dizasta vina
Nk.
hawa ni wanaofanya vizuri kwa sasa,
Wapo vijana wengi wamepitia TM kupigwa msasa na matumaini yangu tutaendelea kuwaona wakiibuka wengine