Tamaduni Music tatizo lao ni nini?

Kujua wanajua, hatukatai na ninapenda uandishi wao..ila inabidi waanze kufanya vitu serious....wanaishi kwa shida hawa jamaa...nikki nilikuwa naishi nae mtaa mmoja pale kinondoni manyanya, kiukweli jamaa alikuwa ana njaa though ana kipaji sana kuliko wasanii wa hip hop almost ote...penye ukweli inabidi tuseme, inabidi waanze kujibrand kama wasanii wa hip hop. Mimi kama shabiki yao nahitaji kuona hip hop yao ikifika mbali zaidi ya east africa.
 
Kama wanataka kuendana na soko la mziki wa sasa...inabidi wabadilike, wasiache uandishi wao ila waboreshe midundo(beats), videos na waache ujuaji wa kijinga.
ndio maana anaitwa tamaduni,wanafata tamaduni za hiphop
Kuwaambia wabadilishe tamaduni kisa soko ni kuharibu tamaduni
 
Wakenya wa wapi hao ilhali wakenya hawaelewi kiswahili cha TZ sijui wanawapenda vp tamaduni. Kupendwa na wakenya hakumaanishi TZ utapendwa pia. Muziki ni zaidi ya kukaza mashairi.
Inamaana wakenya wanasema hawa jamaa ni wakwao au........
 
Nawakubali sana hawa jamaa..
Wanafanya aina flani ya hip hop kali sana.. fid q kupitia cheusidawa ent. Alijitahidi sana juwatambulisa sema ndo vle wabongo wengi hawakuwaelewa..
Kazi wanaijua na wameshajenga misingi, wanachotakiwa ni namna ya kujibrand vizuri ili wauzike..
watafika sana mbali..
Nawaelewa sana coz huwa nahudhuria kilinge msasani..
' unga waya kwenye spika, kisha weka faya kwenye riffa ntaftie mal**ya sinyorita, mguu mdogo ntakupwaya kama snika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom