P the Mc"wanadata mapaparazi na mabishoo/ napataje doo, na sitangazwi kwenye mashow/ wanaulizana nayapata wap mafao/ kumbe ukitoa rap mi nina HARAKATI kibao" by p the mc
Moko wa miujizaMi ndo One the Incredible.. Hahahahah hawa wasenge wanajua sana
Kwani Hip Hop halisi ikoje na isiyo halisi pia ikoje?Hip hop halisi haipo kimaslah Ila IPO kufikisha ujumbe na kufundisha jamii jambo fulan bora. So nafikir ukitafakari hii comment utanielewa na utawaelewa na swali lako litakuwa limejibika
Kama wameamua kufanya bila kujali mafao mbona huwa wanalalamika na kudai wanabaniwa kwenye tungo zao?kwani ni nani alisema kila mtu akitoa ngoma kwamba ametoa ili imlipe?, hawa jamaa mm nawaelewa sana mziki wao ni zaidi ya darasa ukitaka kuamini hayo wasikilize kwenye wimbo wao wa AMKA MTANZANIA, ni hv wao wameamua kufanya muziki wa aina ile no matter inawawalp
Koo tofauti zilizosheheni vipaji.Ndio kina nani hao?