Mimi sikubahatika kusoma UDSM, lakini wale waliosoma pale na wale waliosoma vyuo vingine tunakubaliana kuwa Udsm ni taasisi inayoheshimika sana barani Afrika. Hii inatokana na jitihada za walimu na wanafunzi wake kuwa na critical minds. Mnakumbuka pia mwaka 1995 Udsm ilichangia sana kuleta mageuzi hapa nchini na wakati huo alikuwa akizungumza mtu wa udsm Tz inamsikiliza anasema nini.
Leo kuna watu wachache kwa tamaa zao za vipesa wameamua kwa makusudi kuiua taasisi hii. Anayeongoza kuiua udsm ni Dr(sic!) Benson Bana. kwa maslahi yake binafsi anatoa maoni ambayo hata watu wasioenda shule wanampuuza lakini tatizo wanaenda mbali zaidi na kuipuuza Udsm. Bana, kumbuka Prof wa ukweli Shivji, akina Dr Rwaitama, Prof Baregu et al hawana pesa lakini wanaheshimika sana na watazikwa kama mashujaa. Wewe hizo shilingi mbili unazohemea zitakufaa nini? Kuna haja gani kuuza utu na heshima yako kwa shilingi? Nyerere na Regia hawakuwa na pesa lakini ni mashujaa watakaokumbukwa milele, jifunze, unatuaibisha watu wa kabila lako!
Leo kuna watu wachache kwa tamaa zao za vipesa wameamua kwa makusudi kuiua taasisi hii. Anayeongoza kuiua udsm ni Dr(sic!) Benson Bana. kwa maslahi yake binafsi anatoa maoni ambayo hata watu wasioenda shule wanampuuza lakini tatizo wanaenda mbali zaidi na kuipuuza Udsm. Bana, kumbuka Prof wa ukweli Shivji, akina Dr Rwaitama, Prof Baregu et al hawana pesa lakini wanaheshimika sana na watazikwa kama mashujaa. Wewe hizo shilingi mbili unazohemea zitakufaa nini? Kuna haja gani kuuza utu na heshima yako kwa shilingi? Nyerere na Regia hawakuwa na pesa lakini ni mashujaa watakaokumbukwa milele, jifunze, unatuaibisha watu wa kabila lako!