Takwimu: Zijue nchi masikini Duniani

Wazungu ni watu wa ajabu sana,ok fine sisi ni maskini kwanini wao kila kukicha wanamiminika kuja afrika kutafuta fursa za uwekezaji? Kwanini wanatumia kila aina ya mbinu kutufanya sisi kushindwa kufanya mambo yetu wenyewe mpaka wao wawepo?.Wao wenyewe ndio wanatupiganisha sisi kwa sisi,wanatufanya tushabikie mambo yao ilihali tukiacha kufanya kazi kwa bidii.Ebu tujiulize nini mantiki ya hoja hii? Hivi inaingia kabisa akilini kwamba sisi ni maskini wale ni matajiri alafu wale ambao ni matajiri wanatutumia sisi ambao ni maskini ili wao waendelee kuwa matajiri alafu wanakuja kutuambia ninyi ni maskini sana kwa hiyo tufanyeje sasa?.Ndio maana tunaanza kulaumiana sisi kwa sisi alafu wao wanafurahi kwelix2 na kutuona sisi ni mazuzu na ujinga uliokithiri,maana kama tungelikuwa welevu tungeliwakataa ili tutumie fursa wanazitumia wao hapa Afrika/Tanzania ili nasi siku moja tuwekwe kwenye rekodi zao.Kwa mtizamo wangu si kweli kwamba sisi ni maskini bali wao ni maskini ndio maana kila kukicha wanakuja kuchukua mali zetu ili wao wawe matajiri.

Kwa mtazamo wako wao sio masikini, chukulia mfano nchi za kiarabu wenzetu sio masikini wanajivunia kwa mafuta waloyonayo na wao wanajitahidi kuyatumia ili kujikwamua kiuchumi wao ndo wanapanga bei ya kuuza mafuta yao lakini kwetu tuna Tanzanite haipo duniani kote isipokuwa Tanzania lakini usione ajabu bei wanapanga wanunuzi badala ya muuzaji pia tuangalie kwenye madini kama Dhahabu wenzetu South Africa, Botswana wanatumia vizuri dhahabu yao lakini sisi tunagawa Bure unategemea nini hapo. Sisi tuna utajiri wa mali na Rasilimali lakini ni masikini wa fikra na hii inachangiwa na Ubinafsi uliopo sasa miongozi mwa viongozi tulionao.
 
Hawa waliofanya tathmini hii wangepata hesabu ya zile zilizokuewepo Uswiss na mikononi mwa MAFISADI, hakika tusingekuwepo katika kundi hill.
 
":...hata mimi sijui kwa nini sisi ni maskini"

sisi WATANZANIA enzi ya nyerere tulikua hatujipendekezi kwa wa kubwa KENYA NI DARING wa wakubwahata siku 1 hawatapewa Riprt mbaya lakini hakuna Nchi yenye maisha magumu sasa ka KENYA WENYENAZO NI KABILA FULANI 2 hata hiyo Kesi ya the Hague hamna kitu pale inafutwa na hakuna mashitka lakini fanya TANZANIA dunia mzima itajua na dhamana hakuna hiyo ndio Dunia
 
ccm kwa umasikini tunawashukuru mlipotufikisha nyambaaaaaaaaaaaaaaaaaafu
sioni tatizo kama ni ccm, ni sisi wenyewe watanzania ambao kila uchaguzi ukija tunawachagua! Ccm hawatatoka madarakani kwa kulalamika bali kwa mikakati na ushiriki wa watanzania kwa vitendo kuing'oa: Legacy ya ccm ni kuhakikisha kwa gharama yoyote ccm inaishi milele hata kama itagharimu nchi kufa! Wao mapenzi kwanza kwa chama nchi baadae; this is what makes the difference between kenya and tz: Kenya politicians they dont care about party;thats why they shift from one part to another every now and then: They believe in themselves that whichever party they go ; they will perform. Lakini hawa wanasihasa wa ccm hawajiamini kama wanaweza ku practise siasa nje ya ccm, thats why mchana kutwa wanakipigania chama na si nchi ili kiwalindie madaraka ambayo hawastahili kuwa nayo. Have you ever asked yourself why most of ccm leaders and members are complaining outside , but will never go out of the party? Its because they are serving their own stomach; they know what they achieve is only possible with ccm: We must do something we have never done before to remove these intolerable party: The responsibility of removing these guys is ours as normal tanzanians; the opposition parties are just coordinating it;but it should come from us! Take your party it can be done!
 
Serekali ya Tanzania ni masikini, watu wa Tanzania ni matajiri. Serekali ya Kenya ni Tajiri, watu wa Kenya ni masikini.
Chagua ni kipi bora
 
Juzi Zitto Kabwe aliulizwa hili swali kwanini sisi ni masikini, akajibu ni Kwasababu viongozi wetu wamechagua tuwe masikini.
Lakini Zitto na wewe si kiongozi mwenye dhamana ya jimbo?!, unapimaje umasikini wa wananchi katika jimbo lako!

ndio maana huwa naona wanasiasa wote lao moja..
 
Serekali ya Tanzania ni masikini, watu wa Tanzania ni matajiri. Serekali ya Kenya ni Tajiri, watu wa Kenya ni masikini.
Chagua ni kipi bora

wajidanganya hapo...angalia ripoti African Development Bank walitoa mwaka jana!
 
sisi WATANZANIA enzi ya nyerere tulikua hatujipendekezi kwa wa kubwa KENYA NI DARING wa wakubwahata siku 1 hawatapewa Riprt mbaya lakini hakuna Nchi yenye maisha magumu sasa ka KENYA WENYENAZO NI KABILA FULANI 2 hata hiyo Kesi ya the Hague hamna kitu pale inafutwa na hakuna mashitka lakini fanya TANZANIA dunia mzima itajua na dhamana hakuna hiyo ndio Dunia
..Mkuu unataka kusema Wakenya wanajipendekeza kwa Wakubwa ndio maana hawapo ktk hio list? kujipendekeza kupi huko ili nasisi tuige, kwamba huku kusafiri kote kwa Rais Kikwete huko kwa Wakubwa bado hakutoshi!!!!!!!
 
Serekali ya Tanzania ni masikini, watu wa Tanzania ni matajiri. Serekali ya Kenya ni Tajiri, watu wa Kenya ni masikini.
Chagua ni kipi bora
Mkuu umesoma vizuri hio ripoti hapo juu?, umeona vigezo wanavyotumia kupima umasikini? Unaposema watu wa Tanzania ni matajiri sijakuelewa unamaanisha nini
 
Wakenya waliamua kuwa KANU siyo baba wala mama yao. CCM bado tunaona CCM ndiyo baba na mama.
 
Shida ni moja tu wana jf wengi si washabiki wa maendeleo ila washabiki wa CDM, nayo ikiingia itachemka vile vile. tena inaweza kuchema vya kushangaza. wangeweka kigezo cha barabara za rami waone kama hatushindi Nchi nyingi duniani, kigezo cha shule za sekondari japo mnaziita yeboyebo lakini si wanapata maarifa japo kidogo? hayo ya kujua haki zao na kuitukana CCM huoni ni elimu hiyo? acha bana "mnyongemnyongeni lakini haki yake mpeni"(Freeman Mbowe)
 
Mkuu umesoma vizuri hio ripoti hapo juu?, umeona vigezo wanavyotumia kupima umasikini? Unaposema watu wa Tanzania ni matajiri sijakuelewa unamaanisha nini

wajidanganya hapo...angalia ripoti African Development Bank walitoa mwaka jana!

Namaanisha watu wa tanzania wana buying power, Wakenya wana borrowing power. Hao African development Bank waweke takwimu za total cash borrowed from banks in Kenya vis a vis Tanzania kwa bishara, kununua magari, nyumba au kujenga. Waweke pia no. of credit card holders in Kenya and Tanzania. You will find that Kenyans live in arrears while Tanzanians live in cash. Kenyans believe in the quote "live within your means even if you have to borrow to do so" How can you call a net borrower wealthy? I tend to believe hii crisis ya Europe na USA inatokana na tabia kama hizi za kukopa kopa alafu unaona you are now rich. Subiria fiscal cliff nyingine hapo Kenya.
 
Namaanisha watu wa tanzania wana buying power, Wakenya wana borrowing power. Hao African development Bank waweke takwimu za total cash borrowed from banks in Kenya vis a vis Tanzania kwa bishara, kununua magari, nyumba au kujenga. Waweke pia no. of credit card holders in Kenya and Tanzania. You will find that Kenyans live in arrears while Tanzanians live in cash. Kenyans believe in the quote "live within your means even if you have to borrow to do so" How can you call a net borrower wealthy? I tend to believe hii crisis ya Europe na USA inatokana na tabia kama hizi za kukopa kopa alafu unaona you are now rich. Subiria fiscal cliff nyingine hapo Kenya.

haya basi, show us the data you've used to arrive at these conclusions...
 
Mimi nadhani suala siyo utajiri wa rasilimali tulizonazo tanzania ndiyo chanzo cha kutokuwa maskini au tajiri, suala la msingi ni kuwa mimi na wewe tunaelewa nini kuhusu rasilimali tulizonanzo, how do we use them at each individual level, zipo ndiyo so what? tutakapoelewa nini cha kufanya or how to use them to our advantage then tunaweza kuona manufaa ya rasilimali tulizonazo.

Tukubali tusikubali wachache wanaoelewa ninachokisema wanafaidi sana maisha yao Tanzania na wanatushangaa mimi na wewe ambao tunaendelea kujiuliza kwanini tz ni maskini pamoja na kuwa na rasilimali nyingi.

Tubadilike na tujifunze namna ya kuzitumia rasilimali tulizonazo. Siyo serikali itakayokueleza namna ya kuzitumia bali ni weledi wako (bila kujali kiwango).

Leo katika Gazeti la Majira nimekutana na Repoti hii.
UMOJA wa Mataifa (UN), umeziweka nchi 48 katika kundi la nchi maskini duniani (LDCs), zikiwemo nchi 33 za Afrika, Asia (9), Pacific (5) na Caribbean (1).

Ripoti ya nchi maskini sana duniani ya mwaka 2012 iliyotolewa na Shirika la Biashara na Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNCTAD) kutoka Geneva, nchini Uswisi, ilisema idadi ya watu waliohamia Ulaya kutoka nchi maskini sana (LDCs) iliongezeka.

Ongezeko hilo ni kutoka watu milioni 19 mwaka 2000 hadi milioni 27 mwaka 2010, sawa na asilimia 3.3 ya wakazi wote wa nchi hizo.

Kwa mujibu wa ripoti ya nchi maskini sana duniani ya mwaka 2012, iliyotolewa na UNCTAD, ilisema nchi maskini sana duniani zinatoa asilimia moja ya wahamiaji duniani kote.

Imesema wahamiaji wanne kati ya watano kutoka LDCs, wanaishi katika nchi zinazoendelea (Kusini) na mmoja kati wa watano ndiye anaishi kwenye nchi zilizoendelea (Kaskazini)......
 
Tatizo watanzania tunapenda vya bure.wengi wetu tunapenda kutajirika kwa njia ya ubabaishaji.na kulalama.tusipoangalia kwa kubadilisha fikra jirani zetu watatupita huku sisi tukilalama oo tuna rasilimali nyingi lakini hakuna maendeleo.habu jiuliza kati ya wafanyibiashara wa tanzania wangapi wamewekeza nchi za jirani.na kama sivyo kwanini
 
Back
Top Bottom