Aristides Pastory
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 348
- 60
ritz kweli we kiza kama ilivyo ccm ,wasomi ndio wanaotuibia karume hakuwa msomi ila alileta maendeleo znz.sasa mwangalie yule mpare profesa maghembe amesaidia nini nchi hii?wewe mwenyewe usomi wako badala ufanye kazi unashinda jf unaandika upuuzi tu
Hapo kwenye jina la Prof. MAGHEMBE yaani huyo ndiyo moja ya wasomi tuliyowaamini kumbe wanayao ya moyoni. Wizi wa maliasili na fedha za umma umehalalishwa na CCM halafu leo Kinana/NAPE hawalioni hilo.
#MABADILIKO NI LAZIMA...