Takwimu za wahamiaji haramu zinatisha...!

Takwimu za wahamiaji haramu zinatisha...!

Gefu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2010
Posts
6,929
Reaction score
2,567
Eti kimbunga kimekamata wahamiaji haramu 12,470. Hao ndo waliokamatwa bado waliojificha.Kwa takwimu hizi sioni uhalali wa mkuu wa uhamiaji kuendelea kukaa ofisini mpaka sasa.
 
Hivi mnapata wapi hizo Takwimu wakati hata vitambulisho vya utaifa hamna? Mbona mhamiaji haramu namba moja Abdul Kinana jana alikuwa anaweka shada la maua kwenye kaburi la Mwalim Nyerere, je wale wasomali waliozagaa kariakoo wanauza computer na CD operation Kimbunga haiwahusu?
 
Hiyo namba mimi kwa maoni yangu ni ndogo sana. Wahamiaji haramu wanaweza kuwa hata mara 5 au zaidi ya hiyo namba.
 
wewe mwenyewe ni mhamiaji haramu ila kwa kuwa huna.....ndo maana unaita wenzako haramu
 
1/50 ya population ni wahamiaji haramu. wachina na wahindi ndo wanaongoza
 
1/50 ya population ni wahamiaji haramu. wachina na wahindi ndo wanaongoza

...wahindi na wachina tunawaogopa, wahindi wahongaji sana na wachina tunaogopa watatuzuia kwenda china kama walivyo mfanyia nyalandu alivyowatimua kkoo...
 
Hiyo namba mimi kwa maoni yangu ni ndogo sana. Wahamiaji haramu wanaweza kuwa hata mara 5 au zaidi ya hiyo namba.

...labda umejumlisha na wale wasomali wa kwenye makontena mkuu,..
 
Hivi mnapata wapi hizo Takwimu wakati hata vitambulisho vya utaifa hamna? Mbona mhamiaji haramu namba moja Abdul Kinana jana alikuwa anaweka shada la maua kwenye kaburi la Mwalim Nyerere, je wale wasomali waliozagaa kariakoo wanauza computer na CD operation Kimbunga haiwahusu?

...mkuu si umesikia wabongo kibao wamefikishwa mpaka rwanda kule wamekataa kuishi wanarudi,sijui wako kambini. kinachofanyika wanawafuata viongozi wa kijiji wao ndo wanasema kama huyu ni mbongo au sio so kama jamaa hakufahamu au unabifu nae unavuliwa uraia palepale kama ccm wanavyofanya...
 
Uhamiaji na Afisa Ajira mpitie sehemu hizi na muombe Permitt za wafanayakazi amabao si raia tupilia wazo la investment mbali
Synovate- Regent
Delloite- PPF Tower
Mining Consultant Firms oysterbay,masaki na Msasani Penisular such as Ophir,Dominion,Beach Petroleum hata Barrick mpite muulizie Work Permitt na Job description. Kilwa House pembeni ya Oysterbay hotel
Hyatt Kempinski hotel, Serena,Double Tree Hilton,Capetown Fish Market,Sleepway pale muombe permitt kwa kila mweupe mnayemuona.
Hotel zote za kariakoo muingie chumba hadi chumba na kuangalia waajiriwa na permitt zao.
Sinza Mori na kwingineko kuna malodge yamejaza watu tuna mashaka nao.
Muwe mna raid kumbi za starehe kama Maisha Club na makanisa pia .
Ngo zilizojaa Mikocheni A Regent kama Futures group, Imma World health na msibague rangi uliza kazi,muhtasari wa kazi na permitt maana wengine wana CTA tuu miaka nenda rudi
Kindergaten zote ziko nyingi sana DSM na shule.
Al uruba na Tansoma msiache kupita.
Fastjet pia msiache kupitia work permitt na Job description haiingii akilini Afisa rasilimali watu atoke Kenya wakati Tuna vyou na watu wenye experience na hiyo kazi.

Mkijitahidi kutenda haya tutaongeza pia pato kama fine ya wahamiaji haramu na kutoa nafasi kwa vijana wanaotembe na bahasha kutafuta rizki za vibarua
 
...mikoa ya kanda ya ziwa...

unafaa kuwa mhanga wa hili zoezi kwa kweli....japo mi siamini katika hilo kabisa ila this is what we've been witnessing na wapo wanao shabikia hilo....
 
Si tulisikia wako zaidi ya elfu 50, maana yake paoja na mbwembwe zoote zoezi hili limefanikiwa kwa chini ya 30%
 
Si tulisikia wako zaidi ya elfu 50, maana yake paoja na mbwembwe zoote zoezi hili limefanikiwa kwa chini ya 30%
...walitumia data za mtikila wakachanganya na zao ndo wakapata hiyo idadi, mwisho wa siku wanalazimisha wabongo kuwa wakimbizi ili wafikishe hiyo namba, si mchezo ....
 
unafaa kuwa mhanga wa hili zoezi kwa kweli....japo mi siamini katika hilo kabisa ila this is what we've been witnessing na wapo wanao shabikia hilo....

...ntakomaa kwannza ang'olewe mkuu wa kaya kwanza ndo waje kwangu maana madogo wa rwanda wanasema ni mwenzao kabisa kwa misingi hiyo unayo itaja...
 
Back
Top Bottom