Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,152
- 10,683
Hivi hiki kimbunga hakiwaangalii wachina, wahindi, warabu hata kidogo?Eti kimbunga kimekamata wahamiaji haramu 12,470. Hao ndo waliokamatwa bado waliojificha.Kwa takwimu hizi sioni uhalali wa mkuu wa uhamiaji kuendelea kukaa ofisini mpaka sasa.