vipik2
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,803
- 2,186
Seleli walimfanyia fitna sema tu jamaa ana utu sana, akakubali yeishe...
Ndani ya CCM yakikufika huna pa kwenda ndugu, unabakia na mkeo mnalia kwa kupokezana!!
Selelii elimu ndogo ilimponza hasa pale alipotumika na kundi la ant Lowassa kuinyonga Richmond na kweli walinyonga lakini nao walipo strikeback Selelii alijikuta akiwa pekee mbugani ndipo maajabu ya kura za maoni mtu wa tatu kuchaguliwa badala ya mshindi ambaye naye alipewa kesi ya utata wa uraia, mchezo huu ulikuwa umesukwa ukasukika ila mwisho wa yote wenzie waliponea chupuchupu kukosa ubunge kama yeye na kwa kumwonea huruma ndio akalambishwa u board member kule TANAPA, STAMICO etc allahamdulilah viposho vinamuwezesha kuishi na kupata Kahawa mtaani pale Nzega