Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Gen asiwe biased au double std na MaCCM kina Slow wakaguliwe, wote wanapewa ruzuku!!Kumekucha ufipani.
Gen asiwe biased au double std na MaCCM kina Slow wakaguliwe, wote wanapewa ruzuku!!Kumekucha ufipani.
TAKUKURU wakishamaliza uchunguzi wanapeleka kwa DPP? hiyodouble standard vepeee kamanda? kwani unajua matokeo ya uchunguzi tiari?....Hakuna mwenye tatizo na hilo, ila tunauliza tu ule uchunguzi wa Takukuru wa mbwembwe kuwa wamekamilisha uchunguzi wa tuhuma za kina Kange Lugola kwa 99%, hatua zimeishia wapi? Sasa kama uchunguzi wa kina Kangi Lugola ulishakamilika na hadi leo hakuna hatua yoyote, je hiyo ya cdm hatua si zitachukua baada ya miaka. Hapa ndio tutaona ile double standard tunayosema kila siku.
Sasa hizo zenye ushahidi Takukuru anaenda Kufanya nini sasa!!Mwambie huyo boss wa takukuru kuna ushahidi wa CAG juu ya upotevu wa 1.5Tr
Kama nawe una vielelezo pia peleka ili ukweli uwe dhahiri. Wenye hekima/busara huwa hawana makelele.CAG alidanganywa kuna deni la chama linalipwa. Kumbe ni deni hewa ambalo mmiliki wa Chadema alijitengenezea. Acha Pccb wapate ukweli alafu watu waende lupango.
Hahahaha...CAG alikanusha alipoulizwa na Rais, TAKUKURU wanafanyia kazi malalamiko, acha wachunguze ili wabaya wenu waumbuke kwa kuwasingizia na kuwachafua mkuu, hutaki mpate credit kuelekea kwenye uchaguzi japo muongeze idadi ya wabunge wafike angalau watatu (03)?Mbona zile 1.5Tr alizo zitaja CAG takukuru hawakukanyaga kuwaita wahusika na kuwahoji. Acheni uzuzu.. waoga sana kwenye uchaguzi.
Mkuu unabishana na M/kiti Wao chamani, achana naye Kesha patwa hofu kiasi anaelekea changanyikiwa, anafukuza watu ovyo kwenye Chama bila kosa lolote, huko si ndo kuchanganyikiwa mwenyewe!!!Mshamba wewe CHADEMA sio jf, watu wako humu toka zama za Jambo na hawakusignup na wengine wako na multiple accounts so usije hadaiwa na ugeni wa account wakati mmiliki humjui ukambedha.
Jana kuna jamaa yako nilimuambia subiri Pccb walifanyie kazi. Kwani hakukuambia?Kama nawe una vielelezo pia peleka ili ukweli uwe dhahiri. Wenye hekima/busara huwa hawana makelele.
Kwanini uchukulie negative kuwa ni kunyanyaswa wakati inaweza kuwatakasa kama hakutakuwa na ushahidi!Huyu mkuu wa takukuru pamoja na kuwa ametoka kwenye taasisi inayo heshimika kama JWTZ lakini amekubali kutumika kunyanyasa wananchi wasio na hatia kwa manufaa ya CCM.
Hii ndio hatari kubwa ya kutumia wanajeshi sehemu ambazo sio zao
Wakisha zoea kupindisha mambo ipo siku watapindisha sehemu siyo lwa manufaa yao wenyewe.
Wait and see.
Tril 1.5 zilitolewa majibu na PAC ila nyie mnalazimisha sababu hamna hoja tena.Mwambie huyo boss wa takukuru kuna ushahidi wa CAG juu ya upotevu wa 1.5Tr
POLE SANA,Jana kuna jamaa yako nilimuambia subiri Pccb walifanyie kazi. Kwani hakukuambia?
Hamna hoja subiri bunge livunjwe mgawane viti vya ofisi ya ufipa.POLE SANA,
Njozi za mchana kwenye mkeka wa kijiweni lumumba, zinakufanya uzidi kukonda.
TAKUKURU wakishamaliza uchunguzi wanapeleka kwa DPP? hiyodouble standard vepeee kamanda? kwani unajua matokeo ya uchunguzi tiari?....
Wasalimie na siku hiyo uje nao KUSHUHUDIA.Hamna hoja subiri bunge livunjwe mgawane viti vya ofisi ya ufipa.
Huo ndiyo utakuwa uchunguzi wa haki kuliko chunguzi zoteNi vizuri wqkiroka apo wqchunguze na CCM pesa wabazonunua wapinzani wqnatoa wapi.