paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,504
- 3,499
Sasa mbivu na mbichi zinaenda kubainika
Twende kazi
Twende kazi
Kwa hiyo unadhani alichosema Waitara ni uongo? Subiri majibu alafu uone.Hapo Jiwe ameshindwa kuifuta Chadema kaanza kutapatapa. siungi mkono uchunguzi fake.
Kwa hiyo unadhani alichosema Waitara ni uongo? Subiri majibu alafu uone.
Mimi naunga mkono uchunguzi. Huyu mwongo Lijualikali aaibike eti Mbowe kaiba Bill 8 uongo mtupu kumsingizia mwenyekiti.Hapo Jiwe ameshindwa kuifuta Chadema kaanza kutapatapa. siungi mkono uchunguzi fake.
😂Huyu jamaa wanasema anakubalika
Kwanini anatumia nguvu hivi
Udaku au mtu amesema mambo ambayo anayafahamu?Mimi sifatilii udaku
Acha kulalama..
Si tunataka kuwakomesha ccm?
Yani kwa vile sisi chadema ni safi, ngoja takukuru watuchunguze ili tuwafunge domo ccm.
Udaku au mtu amesema mambo ambayo anayafahamu?
Mshamba wewe CHADEMA sio jf, watu wako humu toka zama za Jambo na hawakusignup na wengine wako na multiple accounts so usije hadaiwa na ugeni wa account wakati mmiliki humjui ukambedha.Mtu ume join jF 2018 halafu unajifanya unaijua CDM?? Hovyo kabisa
Sasa wewe mwenye Iq kubwa mbona ndio umeshindwa.Sawa Ukishakuwa na Low IQ huwezi Kutofautisha Pumba na Mchele.
Kuwachomea ni kueleza ukweli au?Kwamba Mashinji huyu anayesusiwa salamu na akina Halima atahojiwa kuhusu chama cha akina Halima.
Kama hakuna upigaji ni vizuri au huo upigaji umhusu Mashinji pia tofauti na hapo hana sababu ya kutokuwachomea!
Na watu ndo sisi...hahahaUzuri ni kwamba CDM iko mioyoni mwa watu siyo kwa kulipwa 7000 kwa siku kama mataga
Mbona mnaanza kulialia na kuingia siasa?Acheni Takukuru ifanye kazi😁😁😁😁Huyu mkuu wa takukuru pamoja na kuwa ametoka kwenye taasisi inayo heshimika kama JWTZ lakini amekubali kutumika kunyanyasa wananchi wasio na hatia kwa manufaa ya CCM.
Hii ndio hatari kubwa ya kutumia wanajeshi sehemu ambazo sio zao
Wakisha zoea kupindisha mambo ipo siku watapindisha sehemu siyo lwa manufaa yao wenyewe.
Wait and see.
Sasa wewe mwenye Iq kubwa mbona ndio umeshindwa.
Kwani si ni uchunguzi tu? kuna kitu hutaki tukijue baada ya kubainishwa na uchunguzi? kufanya kazi yao wanapopata malalamiko ni kutumika?
Tulia mkuu, kama hakuna ulaji na matumizi mabaya ya Fedha, si Itakuwa ni heshima Kwa Chadema na Mh M/kiti Sana?
Lakini pia umaarufu wa Chama si utapanda? Hofu ya nini mkuu
Tulia ukamliwe