minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,367
Nyinyi ni wachafu mjichunguze kwanza nyinyi kabla hamjaenda kuwachunguza wengineMlisema mpo safi sana sasa manachunguzwa amnalialia nini?
Nyinyi ni wachafu mjichunguze kwanza nyinyi kabla hamjaenda kuwachunguza wengineMlisema mpo safi sana sasa manachunguzwa amnalialia nini?
wanalia sababu wanaona c haki kuchunguzwa na aliyeteuliwa na mwenyekiti wa ccmMlisema mpo safi sana sasa manachunguzwa amnalialia nini?
View attachment 1460747
[/QUOT
Naona manatafuta pakutokea na mlisema mnahati safi sasa kelele za nini
Tayari lengo ni kusaka kisingizio cha kuahirisha uchaguzi kwani endapo chadema watasusia uchaguzi itabidi kuahirishaIngekuwa vyema uchunguzi ungefanyika baada ya Uchaguzi Mkuu - wakati huu unaweza kuleta hisia tofauti.
Nyinyi ni wachafu mjichunguze kwanza nyinyi kabla hamjaenda kuwachunguza wengine
CCM wameshindwa kuchunguza bilion 12 za Ndungai sasa wanaenda kudhoofisha chadema kisa uchaguzi mkuuwanalia sababu wanaona c haki kuchunguzwa na aliyeteuliwa na mwenyekiti wa ccm
Katika nchi ya wabambika kesi, ambapo tumeshuhudia Sugu asiye na kosa "akitumikia" kifungo, na mchakato wa rufaa yake kucheleweshwa kiasi kwamba hata alipokuja tangazwa "hana hatia" tayari ishakuwa JUSTICE DELAYED IS JUSTICE DENIED".Kwani si ni uchunguzi tu? kuna kitu hutaki tukijue baada ya kubainishwa na uchunguzi? kufanya kazi yao wanapopata malalamiko ni kutumika?
Chadema hata wakiwa safi watatafuta kisingizio wata-force chochote ili mradi wapate pa kuwakandamizaChadema ikishachunguzwa na kupewa clean certificate then inapanda chati.
Ndo Yale yalee!Kange bado anachunguzwa?
Ndungai alikula bilion 12 , na bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi Mbona Taifa limekaa kimya? Kipo wapi kivuko cha Dsm Bagamoyo?aiwezekana mbowe achukue bilioni 8.9 michango ya wabunge wa chadema alafu taifa likae kimya
Hukuna tatizo kukaguliwa,Watu wanachohofia ni hii Tabia yenu mpya mliyoanzisha hivi karibuni.Yaani mnakamata mtu kwa kesi ya kumpiga Mke wake,mkifika Mbele mnamfungulia kesi ya uhujumu uchumi.
Unajua, ninyi watu mnafurahisha Sana, aliyekuwa akiimba kuwa Chadema inasingiziwa, sijui Mbowe anaonewa na kusingiziwa Sana si ndo kina ninyi makamanda?
Sasa Chama kikifanyiwa upekuzi si ndo vizuri sasa kuubariki ukweli wenu makamanda?
Hamueleweki mpo kama Popo
Punguza maneno ya kichimvi, Moto ukichomwa shambani hata uwe wa kufukuza panya lazima majani yaungue. Takukuru watayoyoma na mtu.😂
Unajua, ninyi watu mnafurahisha Sana, aliyekuwa akiimba kuwa Chadema inasingiziwa, sijui Mbowe anaonewa na kusingiziwa Sana si ndo kina ninyi makamanda?
Sasa Chama kikifanyiwa upekuzi si ndo vizuri sasa kuubariki ukweli wenu makamanda?
Hamueleweki mpo kama Popo
Siyo kweli Mbona bilion 12 za Ndungai ni za mda mrefu hazijachunguzwa?Ndo Yale yalee!
Kaa kwenye hoja mkuu, la kama unaona uchungu tafuta kamba jitundike, Mzee atazaa watoto wengine,
Kila taasisi, kila mahali ambapo hapaeleweki kuhusu matumizi ya Fedha za walala Hoi patachunguzwa,
Zamu iliyopo sasa ni Chama kinachopianiwa na wanachama wake kuwa ni Safi!!!
Shida iko wapi mkuu
Siyo kweli Mbona bilion 12 za Ndungai ni za mda mrefu hazijachunguzwa?
Double standard,mpe mruke,mpe.Ndo Yale yalee!
Kaa kwenye hoja mkuu, la kama unaona uchungu tafuta kamba jitundike, Mzee atazaa watoto wengine,
Kila taasisi, kila mahali ambapo hapaeleweki kuhusu matumizi ya Fedha za walala Hoi patachunguzwa,
Zamu iliyopo sasa ni Chama kinachopianiwa na wanachama wake kuwa ni Safi!!! Ndiyo kipo kwenye zamu ya uchunguzi wa Takukuru na huwezi kuwapangia
Shida iko wapi mkuu
Wanajeshi hawapendi kupindisha mambo mmezoea kupindisha sana mlisema mko safi leo maji ya shingoHuyu mkuu wa takukuru pamoja na kuwa ametoka kwenye taasisi inayo heshimika kama JWTZ lakini amekubali kutumika kunyanyasa wananchi wasio na hatia kwa manufaa ya CCM.
Hii ndio hatari kubwa ya kutumia wanajeshi sehemu ambazo sio zao
Wakisha zoea kupindisha mambo ipo siku watapindisha sehemu siyo lwa manufaa yao wenyewe.
Wait and see.
Nje ya hoja mkuuHukuna tatizo kukaguliwa,Watu wanachohofia ni hii Tabia yenu mpya mliyoanzisha hivi karibuni.Yaani mnakamata mtu kwa kesi ya kumpiga Mke wake,mkifika Mbele mnamfungulia kesi ya uhujumu uchumi.
Takukuru wachunguze Ndungai akiwa Hosptal India kwanzaNdo Yale yalee!
Kaa kwenye hoja mkuu, la kama unaona uchungu tafuta kamba jitundike, Mzee atazaa watoto wengine,
Kila taasisi, kila mahali ambapo hapaeleweki kuhusu matumizi ya Fedha za walala Hoi patachunguzwa,
Zamu iliyopo sasa ni Chama kinachopianiwa na wanachama wake kuwa ni Safi!!! Ndiyo kipo kwenye zamu ya uchunguzi wa Takukuru na huwezi kuwapangia
Shida iko wapi mkuu