TAKUKURU yaanza kuichunguza CHADEMA kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

Ingekuwa vyema uchunguzi ungefanyika baada ya Uchaguzi Mkuu - wakati huu unaweza kuleta hisia tofauti.
Tayari lengo ni kusaka kisingizio cha kuahirisha uchaguzi kwani endapo chadema watasusia uchaguzi itabidi kuahirisha
 
Nyinyi ni wachafu mjichunguze kwanza nyinyi kabla hamjaenda kuwachunguza wengine

Tulikuwa na million 5 mwaka 2015 Leo tuna bill 20+ unataka wachenguze nini wakati kibubu kimejaa

Mchunguzwe nyie mnatafunahadi wake za watu
 
Kwani si ni uchunguzi tu? kuna kitu hutaki tukijue baada ya kubainishwa na uchunguzi? kufanya kazi yao wanapopata malalamiko ni kutumika?
Katika nchi ya wabambika kesi, ambapo tumeshuhudia Sugu asiye na kosa "akitumikia" kifungo, na mchakato wa rufaa yake kucheleweshwa kiasi kwamba hata alipokuja tangazwa "hana hatia" tayari ishakuwa JUSTICE DELAYED IS JUSTICE DENIED".
Mchezo huo umerudiwa kwenye kesi dhidi ya viongozi wa CHADEMA , ambapo wahalifu wa ukweli, CCM, NEC na Jeshi la Polisi, wameachwa. Wahanga, AKWILINA na CHADEMA, wamekosa haki. Na CHADEMA wakahukumiwa vifungo na faini hevi, baada ya kutumia miezi kibao wakihangaika na hiyo kesi feki, huku Ndugai akidai kwamba Mbowe ni mtoro bungeni.

CCM "wamefanikiwa" kudesign njia za kuwasumbua viongozi wa CHADEMA, kuwaondoa mchezoni kwa mfululizo wa kesi feki, kucheza na sheria ili waadhibiwe bila kihukumiwa, kwa kuhakikisha hawapati dhamana, nk.

Ni TAKUKURU hii hii iliyoletewa ushahidi kuhusu vitendo vya rushwa alivyofanya Alexander Mnyeti, enzi hizo akiwa DC, dhidi ya madiwani na wabunge wa CHADEMA , ili "waunge mkono juhudi". Takukuru "wakiukataa" ushahidi huo kwa kisingizio kuwa ilishavujishwa mitandaoni!
Lakini wenye akili tulijua TAKUKURU hawana ubavu kumpeleleza kipenzi wa Magufuli.

Chombo sahihi cha kufanya uchunguzi dhidi ya tuhuma hizi ni ofisi ya CAG. TAKUKURU ni rahisi kutumika ili kuwasumbua viongozi wa CHADEMA , kipindi hiki cha uchaguzi, ili kuwatoa mchezoni. Wanaweza kuwafungulia kesi feki kama zile zingine. CAG akishachunguza ripoti yake hatimaye hutua bungeni ambapo kila kitu kitaanikwa wazi. Huu ni mchakato ambao hautakuwa na manufaa sana kwa CCM.

Ndio maana "maagizo kutoka juu" yameelekezwa kwa TAKUKURU.
 
Kange bado anachunguzwa?
Ndo Yale yalee!

Kaa kwenye hoja mkuu, la kama unaona uchungu tafuta kamba jitundike, Mzee atazaa watoto wengine,

Kila taasisi, kila mahali ambapo hapaeleweki kuhusu matumizi ya Fedha za walala Hoi patachunguzwa,

Zamu iliyopo sasa ni Chama kinachopianiwa na wanachama wake kuwa ni Safi!!! Ndiyo kipo kwenye zamu ya uchunguzi wa Takukuru na huwezi kuwapangia

Shida iko wapi mkuu
 


Unajua, ninyi watu mnafurahisha Sana, aliyekuwa akiimba kuwa Chadema inasingiziwa, sijui Mbowe anaonewa na kusingiziwa Sana si ndo kina ninyi makamanda?

Sasa Chama kikifanyiwa upekuzi si ndo vizuri sasa kuubariki ukweli wenu makamanda?

Hamueleweki mpo kama Popo
Hukuna tatizo kukaguliwa,Watu wanachohofia ni hii Tabia yenu mpya mliyoanzisha hivi karibuni.Yaani mnakamata mtu kwa kesi ya kumpiga Mke wake,mkifika Mbele mnamfungulia kesi ya uhujumu uchumi.
 
😂

Unajua, ninyi watu mnafurahisha Sana, aliyekuwa akiimba kuwa Chadema inasingiziwa, sijui Mbowe anaonewa na kusingiziwa Sana si ndo kina ninyi makamanda?

Sasa Chama kikifanyiwa upekuzi si ndo vizuri sasa kuubariki ukweli wenu makamanda?

Hamueleweki mpo kama Popo
Punguza maneno ya kichimvi, Moto ukichomwa shambani hata uwe wa kufukuza panya lazima majani yaungue. Takukuru watayoyoma na mtu.
 
Ndo Yale yalee!

Kaa kwenye hoja mkuu, la kama unaona uchungu tafuta kamba jitundike, Mzee atazaa watoto wengine,

Kila taasisi, kila mahali ambapo hapaeleweki kuhusu matumizi ya Fedha za walala Hoi patachunguzwa,

Zamu iliyopo sasa ni Chama kinachopianiwa na wanachama wake kuwa ni Safi!!!

Shida iko wapi mkuu
Siyo kweli Mbona bilion 12 za Ndungai ni za mda mrefu hazijachunguzwa?
 
Ndo Yale yalee!

Kaa kwenye hoja mkuu, la kama unaona uchungu tafuta kamba jitundike, Mzee atazaa watoto wengine,

Kila taasisi, kila mahali ambapo hapaeleweki kuhusu matumizi ya Fedha za walala Hoi patachunguzwa,

Zamu iliyopo sasa ni Chama kinachopianiwa na wanachama wake kuwa ni Safi!!! Ndiyo kipo kwenye zamu ya uchunguzi wa Takukuru na huwezi kuwapangia

Shida iko wapi mkuu
Double standard,mpe mruke,mpe.
 
Huyu mkuu wa takukuru pamoja na kuwa ametoka kwenye taasisi inayo heshimika kama JWTZ lakini amekubali kutumika kunyanyasa wananchi wasio na hatia kwa manufaa ya CCM.

Hii ndio hatari kubwa ya kutumia wanajeshi sehemu ambazo sio zao

Wakisha zoea kupindisha mambo ipo siku watapindisha sehemu siyo lwa manufaa yao wenyewe.

Wait and see.
Wanajeshi hawapendi kupindisha mambo mmezoea kupindisha sana mlisema mko safi leo maji ya shingo

Kama nyie ni wasafi mnaogopa nini na hati zenu safi
 
Ndo Yale yalee!

Kaa kwenye hoja mkuu, la kama unaona uchungu tafuta kamba jitundike, Mzee atazaa watoto wengine,

Kila taasisi, kila mahali ambapo hapaeleweki kuhusu matumizi ya Fedha za walala Hoi patachunguzwa,

Zamu iliyopo sasa ni Chama kinachopianiwa na wanachama wake kuwa ni Safi!!! Ndiyo kipo kwenye zamu ya uchunguzi wa Takukuru na huwezi kuwapangia

Shida iko wapi mkuu
Takukuru wachunguze Ndungai akiwa Hosptal India kwanza
 
Back
Top Bottom