TAKUKURU waanze kufuatilia hii michango holela kupitia kampeni za media

Kuna kampeni na uhamasishaji mbalimbali unaofanywa na vyombo vya habari kama vile kuwaombea michango watoto wenye magonjwa mbalimbali na baadae kuwapeleka kwenye matibabu ingawa ni mara chache sana tunapata mrejesho wa kiasi halisi kilichochangwa au hata taarifa kamili ya kilichojiri kwa mgonjwa.

Hoja hii inajikita katika mashaka ya kiasi gani hasa cha fedha huchangwa na kutangazwa kuwa kimechangwa??

Kuna haja kubwa ya TAKUKURU kufuatilia aina hii ya fursa ya upigaji.
Takukuru waanze na zile za TETEMEKO
 
Naanza na hii michango kupitia media...kama rambirambi zenye kupitia media zipo basi na zenyewe ni sehemu ya mjadala.

Hoja ya msingi ni Takukuru kufanya ukaguzi wa kina na ufuatiliaji...siamini kama watanzania wana roho nzuri ,huruma na uwezo wa kuchangia hivyo ..liko jambo nyuma ya pazia...ni Takukuru wenye nafasi ya kutuambia na pengine law enforcers wanaweza kulichukulia kwa umuhimu wa kipekee.
Unaonekana mwenye mashaka sana na namna Watanzania tunavyoitikia wito. Tulia, acha papara...tunasubiri TLS waanzishe harambee tuchange gharama za kuendesha kesi fulani. Hapo ndio mtajua kuwa tuna roho nzuri au mbaya!
 
Kuna kampeni na uhamasishaji mbalimbali unaofanywa na vyombo vya habari kama vile kuwaombea michango watoto wenye magonjwa mbalimbali na baadae kuwapeleka kwenye matibabu ingawa ni mara chache sana tunapata mrejesho wa kiasi halisi kilichochangwa au hata taarifa kamili ya kilichojiri kwa mgonjwa.

Hoja hii inajikita katika mashaka ya kiasi gani hasa cha fedha huchangwa na kutangazwa kuwa kimechangwa??

Kuna haja kubwa ya TAKUKURU kufuatilia aina hii ya fursa ya upigaji.
Kuna haja kubwa ya kutakiwa kumpima mtoa maada ni kwa kiasi gani amechanganyikiwa na makonda disease maana anasema alilolijua pia maombi yanahitajika kwako
 
Kuna kampeni na uhamasishaji mbalimbali unaofanywa na vyombo vya habari kama vile kuwaombea michango watoto wenye magonjwa mbalimbali na baadae kuwapeleka kwenye matibabu ingawa ni mara chache sana tunapata mrejesho wa kiasi halisi kilichochangwa au hata taarifa kamili ya kilichojiri kwa mgonjwa.

Hoja hii inajikita katika mashaka ya kiasi gani hasa cha fedha huchangwa na kutangazwa kuwa kimechangwa??

Kuna haja kubwa ya TAKUKURU kufuatilia aina hii ya fursa ya upigaji.

Tunaochanga sisi inakuuma nini wewe??Mbona RC wa Arusha amekula Rambirambi na hamjamgusa??
 
Naanza na hii michango kupitia media...kama rambirambi zenye kupitia media zipo basi na zenyewe ni sehemu ya mjadala.

Hoja ya msingi ni Takukuru kufanya ukaguzi wa kina na ufuatiliaji...siamini kama watanzania wana roho nzuri ,huruma na uwezo wa kuchangia hivyo ..liko jambo nyuma ya pazia...ni Takukuru wenye nafasi ya kutuambia na pengine law enforcers wanaweza kulichukulia kwa umuhimu wa kipekee.

Tunataka kuanza na Arusha,halafu Kagera mwisho Clouds
 
Michango inayohamasishwa kupitia media...mfano anaoneshwa jamaa mwenye matende ya miaka mingi sana ambayo yameshaharibu shape ya miguu...eti tunaanza kuombwa mchango wa kwenda India kwa upasuaji kitu ambacho sio rahisi kufanyika,watanzania wanaanza kuchangishwa hela...lakini mrejesho hakuna...na huyo mgonjwa anapotea katika mazingura tata....yaani husikii tena hizo habari.

Imebidi nikupe mfano maana unajidai huielewi.

Kwani umeombwa kuchanga?Inakuhusu nini??
 
Michango binafsi NI HIARI.
hata wakiomba michango ya Kujaza MAJI BAHARINI, ukishawapa hutakiwi kuja hapa na kupiga makelele.
Kuwasumbua TAKUKURU wahangaike na haya ni kuwajazia makorokoro kwenye majukumu yao
 
Kuna kampeni na uhamasishaji mbalimbali unaofanywa na vyombo vya habari kama vile kuwaombea michango watoto wenye magonjwa mbalimbali na baadae kuwapeleka kwenye matibabu ingawa ni mara chache sana tunapata mrejesho wa kiasi halisi kilichochangwa au hata taarifa kamili ya kilichojiri kwa mgonjwa.

Hoja hii inajikita katika mashaka ya kiasi gani hasa cha fedha huchangwa na kutangazwa kuwa kimechangwa??

Kuna haja kubwa ya TAKUKURU kufuatilia aina hii ya fursa ya upigaji.
Huwa zinawekwa namba za wagonjwa? au za hizo media?
 
Rudisheni rambirambi kwanza,watu tunachanga hela ili kuwafariji nyie mnazipangia matumizi mengine,mkiambiwa mmefulia mnakataa,bila rambirambi hiyo hospital ingejengwa vipi? Rudisheni rambirambi
 
Kuna kampeni na uhamasishaji mbalimbali unaofanywa na vyombo vya habari kama vile kuwaombea michango watoto wenye magonjwa mbalimbali na baadae kuwapeleka kwenye matibabu ingawa ni mara chache sana tunapata mrejesho wa kiasi halisi kilichochangwa au hata taarifa kamili ya kilichojiri kwa mgonjwa.

Hoja hii inajikita katika mashaka ya kiasi gani hasa cha fedha huchangwa na kutangazwa kuwa kimechangwa??

Kuna haja kubwa ya TAKUKURU kufuatilia aina hii ya fursa ya upigaji.

Hiyo michango tumetoa kwa hiari yetu tofauti na serikali mnavyoyalazimisha makampuni na walimu kuchangia MWENGE huko ndo ungewashauri Takukuru waanzie

[HASHTAG]#Serikali[/HASHTAG] ya ccm bila rambirambi haiwezekani
 
Mnajisahaulisha mlichofanya kura za maoni? Siku hizi TAKUKURU inashughulikia michango badala ya rushwa?
 
Back
Top Bottom