DOKEZO TAKUKURU na Usalama wa Taifa, fuatilieni haya; nchi inahujumiwa. Kuna rushwa, urasimu na ufisadi mkubwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mm nasema kwa nia njema haya yooote mama hajui na wala hana nia njema na tanganyika yetu.
Mpk sasa yy yuko majuu. Napia alisema YY ameziba masikio.
 
Mm nasema kwa nia njema haya yooote mama hajui na wala hana nia njema na tanganyika yetu.
Mpk sasa yy yuko majuu. Napia alisema YY ameziba masikio.
Wasaidizi wake ndio wanaomuongoza!
 
We lazimisha mazoea ya kishamba na ya hovyo na huyo mwamba.

Hakunaga urafiki wa raia na askari sasa jibalaguze akuoneshe true-color ndo utajua kilichomnyima kuku kukojoa
Ww nawe umevurugwa wewe
hai TISS si watu TU km wewe!!!atanifanya Nini Kwa mfano sasaa!!!!
Kaaahh....Yaani mtu kaka angu wa damu afu unasema nyenyenye Hapa ..hebu nipishe na stress zako
 
Kule Tanesco walimleta muuza ving'amuzi na ambaye ofisi yake ina wafanyakazi hawafiki 50 nchi nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…